Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaweza kufluctuate kulingana na aina ya mfuko unaowekeza na mabadiliko katika mfumo.Thamani ya vipande haishukagi?
Na ukitaka kuchukua hela yako, unauza vipande vyako? Ama unaichukua tu?
Shukrani Kiongozi[emoji120].Inaweza kufluctuate kulingana na aina ya mfuko unaowekeza na mabadiliko katika mfumo.
Mfano kwenye mfuko wa Umoja wanawekeza sehemu ya pesa katika hisa hivyo hisa zikishuka huwa thamani ya kipande inaweza kushuka pia.
Ila kuna mfuko wa Liquid fund ambao wenyewe huwekeza katika hatufungani za muda mfupi (short term bonds) ambazo huwa na interest rate ya karibu uhakika (kufeli ni iwapo tu serikali ifeli). Hivyo hizi kwa kawaida zinakuwa stable zaidi na ni ngumu vipande thamani kushuka.
Hivyo ni kuangalia tu wewe unapendelea zaidi kiasi gani cha risk na aina ya uwekezaji na kuchagua mfuko ambao utakufaa.
Ukitaka kurudisha pesa yako unauza vipande vyako. Unatembelea ofisi zao na kujaza fomu ya kuuza vipande. Malipo hutegemea na aina ya mfuko.
Kuna mfuko wa Umoja huwa ni siku 7 hadi 10 za kazi... Pia kuna mfuko wa Liquid wenyewe ni siku 3 za kazi pesa inakuwa imeingia katika akaunti yako ya benki. Kuna mifuko mingine pia ambayo sifahamu kwa undani muda wa kulipwa ila range ni hiyo.
Siyo Kweli, Bei ya kipande kwa bond fund haijafika hata 150. Ni 113.88 hivi
[emoji23]nimeshangaa mnoHadi wewe mkongwe hufahamu utt ni dse and government regulated?
Siumii mkuu nakushangaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Kupanga ni kuchagua na kuchagua ni kupanga. Kila la kheri huko kwenye huo uwekezaji wenu.Kwanini unaumia wakati hela ni yangu?
Kwanini unaumia wakati hela ni yangu?
Shida nnayoona hapa kwa wanaobeza UTT ni hawajui kuhusu kitu kinaitwa compound interest.
Kwanza niseme ndio iwapo una biashara yenye faida basi kupata 100k kwa mwezi kutoka UTT utaona ni jambo dogo. Ila lengo la UTT si kulinganishwa na biashara bali ni kukupa kipato kutoka kwenye pesa ambayo haizalishi kwa muda huo. Hii inaweza kuwa savings ama pesa uliyopata kwa mkupuo na bado haujaipangia matumizi. Badala ya kuweka beki ni vizuri ikae UTT ili angalau ishalishe kitu.
Turudi kwenye compound interest na jinsi ya kuitumia na UTT ili kufanya savings vizuri kwa ajili ya utaporetire.
Tutumie mfano wa jamaa ambaye ameweka 10m. Na tuseme kwa mwaka UTT Inatoa faida ya 10% kwa mwaka. Na pia tuseme jamaa ana mpango wa kuretire baada ya miaka 20. Na mwisho tuseme jamaa kila mwezi ana uwezo wa kuongezea 100k kwenye akaunti yake ya UTT.
Kwa kutumia calculator iliyopo hapa: Compound Interest Calculator | Investor.gov baada ya miaka 20, jamaa atakuwa amechangia jumla ya milioni 32 katika mfuko. Ila salio lake litakuwa milioni 150. Hivyo atakuwa amepata ziada ya milioni 120 kwa ajili ya kuretire huku akichangia 100k tu kwa mwezi.
Mnaweza kutumia calculator hiyo ili kuona jinsi kushiriki katika mfuko wa UTT unaweza kuwa na manufaa kwa savings za muda mrefu.
Sasa huoni hata kama una vipande 50000 ambavyo thamani yake ni milioni 70,000 bado utapata nyongeza ya Tsh 50000 pekee kama gawio ndo hilo
Duuh labda kama mtu huna mawazo kabisa ya biashara au ni mtu mvivu.
10mil upate elfu 87 kwa mwezi ni bora utafute center nzuri mjini ufungue mpesa na wakala wa crdb/nmb.
Mtu anataka aweke pesa leo mwezi ujao aangalie salio limeingia akanunue crown atambe mtaani 😄Hawana akili hao. Hawawezi kukuelewa kwa sababu watz wengi wanaangia Leo na si kesho. Yan wanata utajiri wa hrk hrk ilhali wamejaa umaskini, uwezo wa kufikiria Mdogo. Hawana commitment na consistency. Inshort wako hovyo sana
UTT AMIS ni Taasisi ya Serikali.Kwa nini majina ya ajabu kama vipande. Watu bado wanalea majeraha ya Kalynda, tena anajitokeza mwingine na utapeli. Kwanza hilo jina vipande ni tosha kuanza kuwa na shaka. Ebu tuelrze wenye kampun ni nani na wako wapi, maana wasijekuwa nje ya nchi ambapo hatuwapata wakiisha tuibia. Ukiskia kuna kampuni inalipa riba tosha kwa mwezi juwa uk karibu kuliwa. Watatoa mgao kuhaKIkisha watu wanawaamini. Baadaye watapandisha dau au watu kuongeza dau kwa sababu walikuwa wakipata elfu kumi, ishirini, thelathini. Tukishaanza kuamini tunaamuwa faida ibaki hukohuko ili dau liwe kubwa. Wengine wataongeza mtaji. Kufumba na kufumbua mtaambiwa ofisi zimefungwa, wahusika hawaonekani. CHUNGA SANA.
Yaan Ni upuuzi ninunue kipande kwa tsh 853 afu kila mwezi nipate gawio la sh.1Waste of money and time... yani hai reflect hata inflation rate..
Akili za kiwaki Hizi[emoji16]Ila kipande kimoja unajua ni sh ngapi[emoji3][emoji3][emoji3] yani mbongo kapewa sh 1 toka kwenye sh 115 sijui alizoweka anaonaa kaulaaa[emoji1787]
Hi ni biashara ya Watu wasio na akili za upambanaji, yaan wale kula kulala kwa shemejAsee hapo inamaana 8,530,000 unapata 10K ili kupata laki 1 yabidi uwekeze 85,300,000
Kea mtu anayejua kuitafuta pesa mjini,Bado haijakaa sawa, ina maana gawio itakuwa 0.0087 ya fedha uliyowekeza; mfano ukawekeza milioni 10, utapata gawio la 87,719.
NB: Hakuna taasisi ambayo iko tayari kukufanyia kazi wewe kwa faida
Huu Ni uchizi pro max[emoji4]Hujafanya kazi yoyote, lakini umeweka hela yako.
Yani uweke Milion 5, upewe around Elfu 50 (44+)kwa mwezi? Hahaha aisee!
Mambo ya kiwaki Sana haya,Came on man..huu ni undezi wa ajabu yani niweke 10m nipata 88k per month..umasikini huu tunautafuta wenyewe huku tukitajirisha wengine.
#MaendeleoHayanaChama
Asituchote akili uyo[emoji16]Kwamba ukiweka mil 8 unapokea laki 8 kwa mwezi??? unadhani UTT ni mabwege etii 😀 😀 😀