UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

Kumbe unaruhusiwa kuitoa baada ya mwaka? Mimi sijui naomba kujua na kuuliza sio ujinga, mfano let say nimewekeza 100M baada ya mwaka nikataka niichomoe 100M yote ili niifanyie mambo yangu mengine naruhusiwa kuitoa yote?

Mwaka mbali. Unaruhusiwa kuichomoa baada ya miezi 3. Ni Mimi ndo nimeamua kuichomoa baada ya mwaka nikitumai biashara ninayoifanyia itakua stable. Inshallah. In short unaweza kuitoa kuanzia miezi 3. So ni ww uichomoe baada ya miezi 3,4, miaka 10 n.k.
 
Mwaka mbali. Unaruhusiwa kuichomoa baada ya miezi 3. Ni Mimi ndo nimeamua kuichomoa baada ya mwaka nikitumai biashara ninayoifanyia itakua stable. Inshallah. In short unaweza kuitoa kuanzia miezi 3. So ni ww uichomoe baada ya miezi 3,4, miaka 10 n.k.
Sawa mkuu, hio ni nzuri sana ila watu hawajui kumbe unapata faida aiseee pesa yako ipo pale pale ila kila mwisho wa mwezi unaingiza pesa safi sana mkuu
 
Inategemea una vipande vingapi. Huu mfuko minimum ni vipande 88,394. So chukua sh 1 X 88,394 vipande....unapata sh ngapi. Kuna watu wanavipande mpk 100,000,000. Fatilia bro usikurupuke
Acheni maneno mingi. Tuambieni hicho kipande kimoja unakinunua kwa Sh. ngapi?
Mfano ukiwa na vipande 90,000 unatakiwa uwe umewekeza kiasi gani cha pesa???
Tunasubiri majibu na siyo porojo.
 
Hata kama kipande kimoja ni sh 100 bado hiyo ni biashara kichaa.

Kwa mtu mwenye akili ya biashara, milioni 100 unafanya kitu kitakachokuingizia kipato kikubwa mara dufu ya hilo gawio la UTT.

Hii mambo ya UTT ni kwa ajili ya watu wenye pesa wasiokuwa na akili za biashara. Siwalaumu, binadamu tumetofautiana akili.
 
Hata kama kipande kimoja ni sh 100 bado hiyo ni biashara kichaa.

Kwa mtu mwenye akili ya biashara, milioni 100 unafanya kitu kitakachokuingizia kipato kikubwa mara dufu ya hilo gawio la UTT.

Hii mambo ya UTT ni kwa ajili ya watu wenye pesa wasiokuwa na akili za biashara. Siwalaumu, binadamu tumetofautiana akili.
Biashara siyo makalio hadi kila Mtu awe na kipaji hicho, tafiti vizuri kisha uje unishukuru.
 
Ila kipande kimoja unajua ni sh ngapi[emoji3][emoji3][emoji3] yani mbongo kapewa sh 1 toka kwenye sh 115 sijui alizoweka anaonaa kaulaaa[emoji1787]
Yaani inatia huruma sana!!!

Mfano, kipande kimoja cha UTT ni sh 144. Ukiwa na vipande 50,000 utakuwa umelipia sh 5,700,000 yaani 50,000 X 114 = 5,700,000
Sasa eti unawekeza 5,700,000 halafu unapata faida ya sh 50,000 tu kwa mwezi.
Huu ni ujinga wa kiwango cha standard gauge!! 😂😂😂
 
Hata kama kipande kimoja ni sh 100 bado hiyo ni biashara kichaa.

Kwa mtu mwenye akili ya biashara, milioni 100 unafanya kitu kitakachokuingizia kipato kikubwa mara dufu ya hilo gawio la UTT.

Hii mambo ya UTT ni kwa ajili ya watu wenye pesa wasiokuwa na akili za biashara. Siwalaumu, binadamu tumetofautiana akili.
Wewe bado haujaelewa ila mimi nmeelewa

Yaan ipo hivi ukiondoa pesa zako zooooote ambazo unazo kuna pesa ambayo haina cha kufanyia yaan kwa wafanyabiashara hio ipo, sasa ili hio pesa isiende kukaa bure tu bank ndio unaenda kuiweka UTT ili kila mwezi uingize pesa kuliko kuweka bank tu bure haifanyi kazi yoyote

Hio ni kwa wale wenye pesa zisizo na mawazo wewe km pesa zako za mawazo huwezi maana unawaza kufaidika kesho yaan unawaza uweke million 1 leo alafu kesho uvune billion 1, km ndio wazo lako ni hilo UTT hapakufai

Kwa nilivyomuelewa mdau UTT ni long term investment & wealth creation

Nilipofurahi ni pale aliposema ukiweka 100M unaweza ukaitoka kuanzia miezi 3 na kuendelea ukaachana nao ukaendelea na mambo zako zingine ukitaka tena unaenda tena unaweka hivyo tu, sasa ubaya upo wapi hapo?
 
Yaani inatia huruma sana!!!

Mfano, kipande kimoja cha UTT ni sh 144. Ukiwa na vipande 50,000 utakuwa umelipia sh 5,700,000 yaani 50,000 X 114 = 5,700,000
Sasa eti unawekeza 5,700,000 halafu unapata faida ya sh 50,000 tu kwa mwezi.
Huu ni ujinga wa kiwango cha standard gauge!! 😂😂😂
Fikiria mara 3 mkuu wewe sio mfanyabiasha that's why ila kwa wafanyabiashara sio 50,000/- tu hata Tshs 1 kwa mwezi ina thamani kubwa saaana tofauti na vile unavyoelewa
 
Tatizo kubwa la waafrika ni ubishi usiokuwa na maana yotote UTT Wana mifuko sita, thamani ya vipande inatofautiana, mtoa madam amezungumzia Bond fund ambapo bei ya kipande ni sh. 114 , amesema Kila kipande gawio ni sh. 1, sasa inategemea una vipande vingapi. Narudia tena tusiwe wabishi tutafute taarifa sahihi kwenye vyanzo sahihi.
Tatizo siyo usahihi wa taarifa. Tatizo ni hiyo faida inayopatikana. Hiyo faida ni ndogo sana ukilinganisha na kiwango cha pesa unachowekeza.

Hata kama una vipande 1,000,000 bado faida yake haiendani kabisa na kiwango cha pesa utakachokuwa umewekeza.

Mfano, vipande 1,000,000 ikiwa kila kipande utanunua kwa sh 114 ni sawa na uwekezaji wa sh 114,000,000 (milioni mia moja na kumi na nne).

Sasa hebu fikiria, eti, unawekeza milioni 114 halafu unasubiria milioni 1 tu kwa mwezi? Hiyo ni akili au matembele???? 😂😂😂😂
 
Thaman ya nyumba Huwezi linganisha na hivyo vi-asilimia uchwara mnavyodanganywa huko.

Hayo Ni mambo ya baadhi ya wazee wastaafu wa serikali wasio akili za upambanaji
Nadhani kuna tatizo mahali, mkuu naomba ufanye utafiti binafsi hata kwa mwezi mmoja then urudi hapa. Utt kuna mifuko Ina Compound interest ambayo ndio msingi mkuu wa uwekezaji. Huwezi linganisha return ya nyumba na faida au interest toka Liquid Fund hata kidogo, narudia tena hata kidogo. Lam ready to be corrected.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo siyo usahihi wa taarifa. Tatizo ni hiyo faida inayopatikana. Hiyo faida ni ndogo sana ukilinganisha na kiwango cha pesa unachowekeza.

Hata kama una vipande 1,000,000 bado faida yake haiendani kabisa na kiwango cha pesa utakachokuwa umewekeza.

Mfano, vipande 1,000,000 ikiwa kila kipande utanunua kwa sh 114 ni sawa na uwekezaji wa sh 114,000,000 (milioni mia moja na kumi na nne).

Sasa hebu fikiria, eti, unawekeza milioni 114 halafu unasubiria milioni 1 tu kwa mwezi? Hiyo ni akili au matembele???? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi ni believer wa time na ni long term investor, I believe on magic of Compound interest

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Yaani inatia huruma sana!!!

Mfano, kipande kimoja cha UTT ni sh 144. Ukiwa na vipande 50,000 utakuwa umelipia sh 5,700,000 yaani 50,000 X 114 = 5,700,000
Sasa eti unawekeza 5,700,000 halafu unapata faida ya sh 50,000 tu kwa mwezi.
Huu ni ujinga wa kiwango cha standard gauge!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Soma theories of Wealth creation then urudi hapa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Wewe bado haujaelewa ila mimi nmeelewa

Yaan ipo hivi ukiondoa pesa zako zooooote ambazo unazo kuna pesa ambayo haina cha kufanyia yaan kwa wafanyabiashara hio ipo, sasa ili hio pesa isiende kukaa bure tu bank ndio unaenda kuiweka UTT ili kila mwezi uingize pesa kuliko kuweka bank tu bure haifanyi kazi yoyote

Hio ni kwa wale wenye pesa zisizo na mawazo wewe km pesa zako za mawazo huwezi maana unawaza kufaidika kesho yaan unawaza uweke million 1 leo alafu kesho uvune billion 1, km ndio wazo lako ni hilo UTT hapakufai

Kwa nilivyomuelewa mdau UTT ni long term investment & wealth creation

Nilipofurahi ni pale aliposema ukiweka 100M unaweza ukaitoka kuanzia miezi 3 na kuendelea ukaachana nao ukaendelea na mambo zako zingine ukitaka tena unaenda tena unaweka hivyo tu, sasa ubaya upo wapi hapo?
Bado akili itakuwa imelala tu. Hata kama una pesa benki ambayo haina kazi bado ukiwa na akili ndefu utatafuta kitu cha kufanya chenye faida ya maana kuliko hiyo faida ya UTT.
Unafanya biashara, una milioni 500 benki kama akiba. Kwanini usitumie akili kufanya kitu cha maana kuliko kuwekeza UTT??

By the way, kuna disadvantages za kuwekeza kwenye UTT ambazo hamjaziongelea. Mfano, kuna kitu inaitwa inflation risk na pia kuna interest rate risk.

Tusidanganyane, hakuna faida ya asilimia 100 pasipo risk.
 
Back
Top Bottom