Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
On Point ...🙏🙏Utume na unabii vyote vipo na vinafanya kazi.
Sema kuna mengine yanapangwa chini ya carpet, hivyo umma huwa unaandaliwa kisaikolojia kupitia manabii na mitume feki ili jambo likitokea lisiwe geni masikioni mwao na kuzua taharuki.
Unatajataja logic.Hakuna utamaduni huo labda ni sababu hujielewi na huelewi hata unachobishania. "Utabiri wenu" upi? Just try to calm down and understand my point of view. Naona umepanic na ndo maana unakuwa huna logic. From the beginning i have never spoken about any faith. I just tried to let you understand that you gave a stupid illogical example. Now you have panicked. Just calm down so that you understand my point of view young man.
Kama umeshindwa kujua maana ya logic hata ku google tu unadhani nikikuambia utaelewa? Wala. Usipanic just calm down ulitoa mfano wa kipuuzi. Illogical.Unatajataja logic.
Nimekuuliza logic ni nini, hujajibu.
Inaonekana unatumia maneno ambayo huyajui.
Huelewi hata Socratic Method halafu unatupatupa tu neno logic, logic.Kama umeshindwa kujua maana ya logic hata ku google tu unadhani nikikuambia utaelewa? Wala. Usipanic just calm down ulitoa mfano wa kipuuzi. Illogical.
Huelewi hata Socratic Method halafu unatupatupa tu neno logic, logic.
Umeshindwa ku define logic ni nini unaniambia ni Google?
Logic ni nini, kwa maneno yako. Au hujui?
Naam.
Wakitabiri mambo elfu yasipotokea si habari.
Kikifanana na kilichotokea, nusu tu, wanajaza server kwa kelele za ujinga mtupu.
Nimeuliza mji umetajwa? Wapi? Wamelala mbele. Hawajarudi kujibu.
Ukisema jua litachomoza kesho hautakuwa umetabiri ila ukisema kesho jua halitachomoza na lisichomoze kweli apo utakuwa umetabiri,Kikichotabiriwa ni nini hasa? Kwamba Trump atapigwa risasi?
Nikisema jua litachomoza kesho na mimi nitakuwa nimetabiri?
Apparently umesoma lakini hujajifunza kitu.Ha ha ha... Oh you meant Socratic Irony ambayo wewe huijui. Mimi nimemjibia maswali Socrate. Nimesoma Philosophy na nimesoma Politics.
Kifupi hawa ni watu wanaopenda mambo ya miujiza miujiza na uchawi uchawi.Kabisa ,wanajaza server tu na bla bla bla zao ,ili tukubali kwamba walitabiri inatakiwa iwe 100% true kwa waliyoyasema ,kusema tu kwa ujumla huo siyo utabiri.
Manabii feki wanabashiri tu kwa ujumla ,kikitokea kitu ambacho kinakaribiana na uhalisia wanapita nacho 😀😀
Apparently you did not get the irony.Ukisema jua litachomoza kesho hautakuwa umetabiri ila ukisema kesho jua halitachomoza na lisichomoze kweli apo utakuwa umetabiri,
Asiyejua maana haambiwi maana.Apparently umesoma lakini hujajifunza kitu.
Huwezi kujibu hata what is logic.
Msemo huu ungekuwa kweli, watu wasingeenda shule.Asiyejua maana haambiwi maana.
Unafahamu maana ya neno mantiki? 0Msemo huu ungekuwa kweli, watu wasingeenda shule.
Unanukuu vimisemo tu bila mantiki.
Mimi ndiye nilianza kukuuliza swali hilo, hukujibu, sasa unaniuliza mimi?Unafahamu maana ya neno mantiki? 0
Ungekuwa unajua ungejibuMimi ndiye nilianza kukuuliza swali hilo, hukujibu, sasa unaniuliza mimi?
You are boring me to death.
I am sending you to my ignore list, from here I will no longer see what you post.