Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mkuu wanaboa Sana hawa utumishi. Imagine mtu katoka kilometer 250 kufuata interview kapata 78 anakatwa. Kwanini wameainisha kwenye Sheria zao kuwa 50% ndiyo kiwango Cha chini??Yote maisha Ndugu yangu usikate tamaa
1/3. Ipo kihesabu na kisheriaHamna mkuu wanaboa Sana hawa utumishi. Imagine mtu katoka kilometer 250 kufuata interview kapata 78 anakatwa. Kwanini wameainisha kwenye Sheria zao kuwa 50% ndiyo kiwango Cha chini??
Si wangesema tu watakavojisikia(watakavoshauriana na mme/mke) wake
Kwenye Written pass mark siyo hamsini, inategemea na ufaulu na nafasi zinazoshindaniwa, kwani nafasi moja inashindaniwa na watu watatuHamna mkuu wanaboa Sana hawa utumishi. Imagine mtu katoka kilometer 250 kufuata interview kapata 78 anakatwa. Kwanini wameainisha kwenye Sheria zao kuwa 50% ndiyo kiwango Cha chini??
Si wangesema tu watakavojisikia(watakavoshauriana na mme/mke) wake
Unachanganya mambo hiyo unayoongelea ni pass marks za kwenye ushindani! Lakini ili uajiriwe serikali marks zako zinatakiwa zianzie 50 kwa hiyo mkiwa zaidi ya 100 itategemea mambo mengine lakini wote mmefaulu ila wenzio wanaweza anza kupangiwa kitio wewe ukabaki na hapa naongelea oralNisiwachoshe. Kama mliamua kiwango Cha chini ni 50%, haya mambo ya kuishia 80% mmeyatoa wapi??
Sasa Kulikuwa na ulazima Gani wa kuweka 50% si ingebaki siri Yao tu.Unachanganya mambo hiyo unayoongelea ni pass marks za kwenye ushindani! Lakini ili uajiriwe serikali marks zako zinatakiwa zianzie 50 kwa hiyo mkiwa zaidi ya 100 itategemea mambo mengine lakini wote mmefaulu ila wenzio wanaweza anza kupangiwa kitio wewe ukabaki na hapa naongelea oral
Tanzania Sheria hazifuatwi na yeyotePole sana ndugu mwalimu, yani huna tofauti na aliyepata 0 😂 ndo mana wengi wao hawakutaka usaili mana wanajijua
View attachment 3215824
Tayari 😂😂😂 nenda kapitie handbook yao mkuuNisiwachoshe. Kama mliamua kiwango Cha chini ni 50%, haya mambo ya kuishia 80% mmeyatoa wapi??
huyo 0 hana tofauti na aliyepata 68 hii ni ajabu sana aisee hawa utumishi mmmhPole sana ndugu mwalimu, yani huna tofauti na aliyepata 0 😂 ndo mana wengi wao hawakutaka usaili mana wanajijua
View attachment 3215824
Mm naona sawa tuu 😂Huy
huyo 0 hana tofauti na aliyepata 68 hii ni ajabu sana aisee hawa utumishi mmmh