Utumishi fuateni Sheria

Utumishi fuateni Sheria

Nisiwachoshe. Kama mliamua kiwango Cha chini ni 50%, haya mambo ya kuishia 80% mmeyatoa wapi??
Pole jamaa.

Kikaango cha wote hicho.

Jipange kuwakabili sekretarieti usinde kichwakichwa.

Fuatilia kanuni za usaili utaelewa.
 
Mimi nililiwa kichwa usahili wa afya nikaja na nyuzi za kutia huruma humu ndani badae nikaeleweshwa nikawaelewa utumishi

Sasa hivi napambana na kuhakikisha najiaandaa vema kwa kila interview na namshukuru Mungu kuna interview moja tulikuwa watu mia tatu na kitu nikafanikiwa kupita oral


Utumishi wako fair ukikosa acha kulaumu laumu tafakari wapi ulikosea ujipange upya mimi niliwatukana sana utumishi ila ni ugeni wa jiji.


Mchakato w utumishi upo wazi japo kuna suala nimekuuliza mkuu wangu ikikupendeza naomba nikucheki dm
Chukua huu ushauri utakusaidia, ukiendelea kulaumu watu ukajiona huna hutaa ufanikiwe kwenye usaili, Katika chombo ambacho kinajitahidi kutenda haki ni Sekretarieti ya Ajira. TAMISEMI walikuwa wanaouza sana hizi ajira
 
Back
Top Bottom