Utumishi fuateni Sheria

Utumishi fuateni Sheria

Kwa idadi ya watu waliomba ukilinganisha nafasi zilizopo lazima wafanye hivyo , ila hawa jamaa mm nawakubali sana wako very professionalism.
 
Ukute wewe ndiyo wale wanaotembezwa sijuwi maandamano ya kumfanya ni nini Samia, yaani
Pole sana ndugu, stress za kufeli zimekufanya unipakazie mambo ambayo ww mwnyw huna uhakika nazo ๐Ÿ˜‚
 
Pole sana ndugu, stress za kufeli zimekufanya unipakazie mambo ambayo ww mwnyw huna uhakika nazo ๐Ÿ˜‚
Lakini si inawezekana. Kuhusu hili la watu kuteswa na serikali dharimu ya Ma CCM, hata wewe nakusemea.
 
Back
Top Bottom