Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Akili za kitumwa zinajulikana tu
 
Kuna watu wanajisahaulisha hayo mkuu. Wana utumwa wa fikra kuona wale wanaowaabudu hawakukamata wala kutesa watumwa, walifanyiwa uungwana sana na wale wazungu kwenye merikebu. Wanapeana sumu na kuzieneza wakisahau Argentina ilijaa watumwa toka Syria na nchi zingine za kiarabu.
 
HAPO Denmark ulipo ni mtumwa
ndio mtumwa wa kujitakia siyo kulazimishwa! Sikinyooshewa mtutu kuja huku. Sasa bongo huko 2009 kurudi nyuma Maisha niliyoish nikikumbuka bora niwe mtumwa tu Denmark
 
Alitumikishwa na nani? [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Picha ilipigwa mwaka 1974, lakini alikuwa utumwani miaka ya mwishoni mwa miaka ya 1800, il aliweza kuwa-out leave watumwa wenzake wote wa kipindi hicho hadi akaweza kuwa the last formet slave alive mwaka huo wa 1974. Nadhani mimeeleweka. Alikuwa akitumikishwa kwa nani in the 19th century, nani atajua?
 
Warabu ni watu hatari sana kwa wafrika
 
tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu
Walihasiwa
 
Jiuliza pia inawezekana vipi viongozi wachache wakaiingiza nchi Kwenye m ikataba ya ajabu Kwenye Karne hii iliyojaa wasomi.
 
Mtoa post kuwa makini na post yako. Mana naona kama una propaganda na utumwa na uwarabu ktk picha zako mimi sija ona sehemu zanzibar wala mwarabu. Ila nime ona watumwa na wazungu
 
Kuna picha moja hapo. kuna watumwa wako wengi na askari mweusi hii ina maana gani?. Then hiyo picha wako ndani ya kanisa la mkunazini je? Hawa walikuwa ni waarabu?. MIE NATOA CHALLENGE yoyote mwenye picha ilio pigwa ya mwarabu sio ya kuchora. Anipe na akitafuta atizame za wazungu amezipata wapi? ACHENI PROPAGANDA ZA KIJINGAAA.
 

Rudi usome historia vizuri! Hivi unajua ni kwa nini wachina hawaivi na wajapani?? Utumwa ulikuwa ni biashara na km biashara nyingine yoyote ile kulikuwa na vigezo na pia taratibu za kuifanya.

Kumbuka kwamba wote tulikuwa tunatambulika km binadamu na iliwabidi slave masters pia kutumia gharama kupata watumwa. Yawezekana kipindi cha afrika kuingizwa kwenye biashara kilikuwa late na hivyo ikawa shida kidogo na ndio maana tunaweza kuja na hizi argument za kisasa.

Huwa nikizionq hizi picha pale slave market Zanzibar mwili huwa unasisimka ila kwa uelewa tu unarudi kuamini kwamba it was a way of life.
 
Maneno haya yanadhihirisha kuwa utumwa haukuletwa na wakoloni:

Kabla ya wakoloni kuja, Mukama alikuwa absolute ruler, kwa maana kwamba, neno lake lilikuwa ni sheria na ardhi yote ilikuwa ni mali yake.Kadhalika hata watu, mifugo na misitu vyote vilikuwa ni mali zake.

Yanapatikana hapa: Ijue historia ya Wahaya wa Kiziba ''Wenye Kagera Yao''
 
Ukisoma historia vizuri, utagundua kwamba wahindi walikua wakitumiwa kama watumwa kwenye mashamba ya Brazil. Ila walikua wakisumbuliwa sana na magonjwa tofauti na waafrika ambao magonjwa yalikua hayawasumbui sana.
 
Kila kizazi kina changamoto zake. Mbona kizazi chetu kimeshindwa kujinasua kwenye lindi la umasikini ingawa tuna rasilimali za kutukuka? Mbona tunaendelea kuchagua viongozi wala rushwa na mafisadi wakati tunajua hawatatuletea maendeleo? Kiufupi tuna fanya madudu mengi sana......ingawa tuna utasikilizwa WA kuamua tofauti. Kwa hiyo usishangae vizazi vya baadae kutushangaa tulikuwa tunatumia akili gani......ndo maana hata hao ndugu zetu watumwa tusiwalaumu......ni changamoto ya kizazi chao waliyokumbana nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…