Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

very true ...watu weusi hatupendi .. na hilo nisehemu ya uthibitisho kuwa tunachuki za wenyewe kwa wenyew""
 
Mkuu

Mtu anapoku-misquote ni lazima uweke mambo sawa pasi kuangalia utakuwa nje ama ndani ya mada.

We mwenyewe badala ya kujikita kwenye mada umeishia kuwa Kofi Annan(ndio uungwana)

Umesomeka hata hivyo.
hahaaa
 
Huu ndio ukweli,lakini historia inapotoshwa.Waarabu waliitwa na wenyeji kuja kuwakomboa kutoka makucha ya kireno.
Acha uwongo" yaelekea una mahaba na hao waarabu ...period...katika historian ya uislam kuna mtu anayefahamika kama bilali alikuwa ni mtumwa wakati wamtume "" huyu bwana alikuwa ni raia wa Ethiopia aliyekuwa utumwani Makka"" haya kama waarabu waliitwa na " wazanzibar waje kukomesha utawala wakireno huyu bilali alipelekwa na nani saudia "" halafu watu wengine waongo nyie ...hzi dini mnazozikumbatia ndio matokeo ya utumwa wenyew...yaani unaamini kabisa Jamaa alivyosema kuwa waarabu waliitwa na waafrica wazanzibar ili wawasaidie kumfukuza mreno "" haya kama ukweli ndio huo na ikawaje tena waafrica hao hao wakawa chini ya utawala wa surtan waliyemuita aje awasaidie.....jinga kabisa
 
mkuu .hebu jitahidi kuisoma historia vyema kwanza ndio uanze kusema kuwa Africa tumeletewa maendeleo na hao wakoloni..Africa tulianza kuendelea kabla hata ya ujio wa hao wakoloni...unamjua mansa musa wewe "" na historia ya Mali empire " nadhani unamjua ramises " aka kwajina lingine farao kwa taarifa yako tu nikwamba misri imeshawahibkuwa dola kubwa kabisa ulimwenguni " chini ya utawala wa farao " na ilitawala mpaka huko kaanani "" Africa imeshawahi kuitawala mpka middle east chini ya utawala wa Queen of Sheba "" in short sisi ndio watu wa kwanza kuleta maendleo duniani ...na unapaswa kutambua kuwa hapa east Africa hiki kizazi chetu cha sasa kimehamia tu ""so kizazi kilicho hamia hapa hakikuchukua muda mrefu kuweza Ku survive kikajikuta kina kutana na wimbi LA huo utumwa
 
huyo "" KAvurugwa achana nae ..waarabu ndio waliotangulia kuanza kuja Africa wameanza kuja tangu karne ya 7 mpaka ya 16 ...wakati huo wanakuja technology ya camera ilikuwa ikowapi "" technology iliyokuwa inatumika ni michoro tu ""

wazungu wao wameingia Africa kuanzia karne ya 18 mpaka mpaka ya 20 ...mpaka hapo tunaweza kuonakuwa Hawa watu wote niwabaya hakuna hata Mwenye afadhali...ijapokuwa awali waarabu wakati walipokuja walikuwa wanajifnya kama wafnya biashara huku wanatangaza dini " kisha baada ya hapo wakaja na hiyo mbinu mpya ya biashara ya utumwa ""ijapo kuwa nikweli kwamba utaumwa ni kitu chenye historia pana na upo karne nyingi mnooo" kabla hata ya ujio wa masihi...hata wazungu wameshawahi kupitia katika hiyo hali "" ya utumwa pia...ila kinachotuumiza sisi ni kwasababu ndio race ya mwisho kutoka katika huo utumwa " na bado sasa tupo katika mapambano ya utumwa wa kifikira
 
hahaaaa sasa ndio umefanya nini !?? umetoka kukemea katika content yako ya kwanza dhidi ya binaadamu kuwa brain washed " na kumuona mtu Mwenye kipato kuwa ndiye mwenye thamani umefika mbali zaidi mpka hatua yakusema kuwa "" suala kama hilo linapaswa kukemewa ..halafu ktika content hii umejisahau na kumuona mwarabu anachokifnya nikitu sthiki duhhh" kwli tuko brain washed yaani unaji contradict ur self ...hatari sana hii..ukichopaswa kufanya nikuendelea kukemea hzo desturi mbovu kama kweli zipo " katika Jamii zote " za kiarabu na kiswahili .kichina.kizungu" ama kihindi " na sio kutoa statement inayoonyesha kuwa unawaunga mkono " kwa ubaguzi wao huo ..kisa tu hata watu weusi wanafanya hivyo...kwahiyo kama watu weusi wanakosea basii nihalali na hao waarabu kukosea ?
 
Laani ipi tena hali wao ndo wanakufanya uishi hata smartphone utumiao wametengeneza wao
kwahiyo hii smart phone " imetengenezwa na kampunia ya kikristo/Muslim "" acha bangi basiiii ""
 
ili uweze kujikita kwenye mambo muhimu yenye maendeleo nivyema kuweza kutambua ulipotoka ndio utaweza kutambua unakopaswa kwenda...

Ni hivyo kamanda wangu....kuna watu wanaamini waarabu walitesa babu zetu...binafsi siamini hicho kitu. Maana hata picha ya kudanganyia hatuna i mean "evidence"
 
Ni hivyo kamanda wangu....kuna watu wanaamini waarabu walitesa babu zetu...binafsi siamini hicho kitu. Maana hata picha ya kudanganyia hatuna i mean "evidence"
mkuu....kama wewe ni Muslim bila shaka utakuwa wamjua bilali bin wabaa...mbona huyu mtu alikuwa utumwani saudia ..na mtume ndiye alikuja kumuokoa toka mikononi mwa waarabu wenzie....wajua waarabu walitangulia kuja Africa kabla ya mzungu"" walikujanamo karne ya 7 mpka ya 16 " wakati huo hata camera hazikuwepo ...amino hivyo ndugu waarabu nao aalishiriki katika hiyo dhambi...na kuna wakati walikuwa wanashirikiana na kina mkwawa " kubadilishana mali " na walifaulu mpka kumbadilisha dini mkwawa "" kabla mjerumani hajaja na kuwageuzia kibao
 
Mwafrika ndo primitive race katika historia. Na hata sasa, Afrika ndo inaendelea kuwa eneo lenye maendeleo duni kiuchumi, kisiasa, kidemokrasia na katika nyanja zote. Kumbuka alichokisema Trump watu wakapiga kelele. Historia inaonesha na hadi miaka mia moja ijayo Afrika itaendelea with Nkurunziza style hakuna maendeleo.
 
Ndio maana katika hiyo picha ya mwisho nikasema nimepata jibu
 
Acha uwongo" yaelekea una mahaba na hao waarabu ...period...katika historian ya uislam kuna mtu anayefahamika kama bilali alikuwa ni mtumwa wakati wamtume "" huyu bwana alikuwa ni raia wa Ethiopia aliyekuwa utumwani Makka"" haya kama waarabu waliitwa na " wazanzibar waje kukomesha utawala wakireno huyu bilali alipelekwa na nani saudia "" halafu watu wengine waongo nyie ...hzi dini mnazozikumbatia ndio matokeo ya utumwa wenyew...yaani unaamini kabisa Jamaa alivyosema kuwa waarabu waliitwa na waafrica wazanzibar ili wawasaidie kumfukuza mreno "" haya kama ukweli ndio huo na ikawaje tena waafrica hao hao wakawa chini ya utawala wa surtan waliyemuita aje awasaidie.....jinga kabisa

Ndo upeo wake wa kufikiri mkuu usimtukane. Kaishakuwa brainwashed mpaka hajielewi.
 


Slavery haikuanzia kwa waafrika...Utumwa haukuanzia kwa weusi....hata wazungu na mataifa mengi tu utumwa ulikuwepo...Saxons huko Europe waliwafanya watumwa wazungu wenzao...Huko China nako kulikuwa na utumwa wa kabila moja kuwafanya watumwa kabila jingine...Tazama movie za akina za Spartacus...hizo ni movie lakini zina ukweli wake...tazama movie au seasons za kikorea...Tofauti na utumwa wa watu weusi ni kuwa umechanganyika na ubaguzi wa rangi...weusi walionekana kama binadamu wa hali ya chini lakini wanaoweza kuhimili kazi nzito tofauti na wazungu...Weusi wanaweza kuhimili baridi na joto, siyo wazungu...halafu utumwa wa weusi ulikuwa, nadhani, wakati wa Industrial revolution...kwa hiyo kuna factors nyingi mno za utumwa wa weusi...ila ni kweli utumwa umerudisha nyuma maendeleo ya kisayansi ya Afrika...Milions of people (africans) died...lakini utumwa mpaka leo upo...housegirls kwenye majumba ya matajiri ni watumwa wa aina yake...
 
Soma vizuri kwa kutulia ndio utaelewa hakuna sehu nimesema ANAFANYA KITU STAHIKI.... usitunge maneno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…