Kaka ukubwa wa malalamiko yako haulingani na kiwango cha elimu yako.
1. Ukitaja bishara ya watumwa, Wazungu na Waarabu wanun uzi, sawa. Nani mwuzaji? Unaelezaje hao machifu na viongozi Waafrika waliotunza wafungwa na sehemu ya watu wao wenyewe kama watumwa, wakifurahi kupata nafasi ya kuwauza mara Wazungu na Waarabu walifika?
2. Unadai "Rangi pekee" na kukataa mfano Japani kuwatumia Wachina na Wakorea kama watumwa?? Basi huna aibu kupiga makelele katika jambo ambalo hujui kitu? Kila ambacho hujasikia lakini hupendi habari ni propaganda? Sawasawa mkuu, uhuru wa kuota ndoto ni haki ya kibinadamu! (ukipenda propaganda, angalia sababu kwa nini kundi kubwa la watu katika Ulaya MAshariki wanaitwa "Slavonic" ("slave people") hadi leo (pamoja na Warusi, Wapoland, Waukraine..) - "propaganda" inadai kwamba mababu yao miaka 1200 iliyopita walivindwa kama watumwa na kuuzwa kwa idadi kubwa kwa Waarabu na Waturuki... Ila kama ni ukweli unasemaje??)
Ukubwa wa Elimu yangu huujui kaka, umeamua kutamka tu!
Mwuzaji kama machifu wa kiafrica, walishawishiwa na, wafanya bishara Wazungu, kwa vitisho au kupewa, Mali, pombe na siraha km Bunduki, Mizinga, ili kuvamia falme nyingine, zilizo kuwa dhaifu,
Mpaka leo wanafanya ivo km unabisha Lisu anakuja kukuongoza subiri uone picha kamili! hapo unapoishi kuna Platinum utaondolewa km mvamizi tu! tena sasa kwa Lisu atakuja Mjermani mwenyewe! ndo utajua Tanganyika ya mjermani au yako!
sometimes hata familia nyonge tu zilivamiwa kwa nguvu tu! chief akiwakatalia atachukuliwa yeye na familia yake! in fact walikuza soko hilo miaka hiyo na mpaka leo wanafanya ivo!! km hujui wanatuhitaji sana kuliko unavo dhania!!! kwa kisingizio cha ukimbizi!
Angalia wamesababisha wakimbizi maksudi tu, tena kwa kanda zote za Africa ili mkimbie kimbie tu mtajijenga saa ngapi? EA, hapa (Al- Shabab) analeta shida, Boko haramu! (W/ Africa hawali), na sasa Msumbiji hapo tayari, Tanzania ni kikwazo kwao!!
Hakuna tajiri Mwafrica mwenye nguvu za fedha kununua siraha nje, chakula, Matibabu, Escaping route to save heaven!! za hao magaidi hkn!! Naapa kwa jina la Yesu hakuna ,....... Al shaabbu wapigane!!
basi hapa ujue ndo tabia ileile walio tumia ya kukamata watumwa kwa kutumia wenyeji, kitukuu chako kitakacho rithi akili zako! kitahoji kuwa ilikuwa ni Waafrica wenyewe kwa wenyewe!! ni km
Aliye Muua Gadaffi siyo walibya!! lkn Historia itaandika ni walibya! Saddamu Hussein alinyongwa na Wa-Iraki kweli?? unaamini ivo kaka? Idd Amin hakuwa na Ubavu wa kumpindua Obote!! alisaidiwa na Israel!! zaidi akawageuka ndo maana hakukaa sana!
Ni kama unavoona leo ilivo, Ma Rais wengi wa Africa ya leo ni vibaraka wote tena, wakubwa na wanawekwa na Mataifa ya Magharibi au wafuate Siasa za kimagharibi hawana tofauti na Ma chief wa kale,
wale waliungwa mkono na wafanya Biashara za watumwa!!! tena hao hao wazungu wenyewe kina Willyberforce wakajidai wema eti wakawaamulia kukomesha utumwa! Mwee!! na mkatii sasa hapo nani alifanya bishara hiyo?
hawakukomesha ila walijiimalisha kwa Makoloni yao! na mkatii kwa nini hamkuwapinga kama mliweza kuuza watu si mlikuwa na hela za kutosha kuwapinga? au mlikuwa mnawapa bure hao watu,
kwa nini hamkuwakataa wakoloni kama machifiu weusi !!hela za kuuza watumwa si mlikuwa nazo? mpaka kesho! Bongo ni coloni la mjermani na anakuja soon! !
ukiwa Rais Lugumya kama Jiwe! Patrick Lumumba, Nyerere, Tafawa Balewa , Malcom x, Muammar Gaddafi huyu alifika mbali mpaka akachana katiba ya UNO hadharani, Martin Luther wa USA, nk! ni wengi mno!
Haki ya Mungu! ukiwa km hawa? cha moto utakiona, hivi unajua Jiwe yuko wapi? kiburi cha kujiona eti waafrica tuna mali nyingi tunaweza kujitegemea na kweli akakusanya kodi na kununua midege 12 cash bila change! na
kutokuhudhuria maksudi vikao vya UNGA, tena kwa kejeli mbaya! kili mcost Mazima, tena aliwadharau waziwazi, bila kificho!! na kuwaita wezi wa dhahabu, tu! matajiri akawapuuza! wakamtumia Lisu kumwelimisha kuliko unavoweza dhania!! yuko wapi leo?
Hata ivo walikuwepo machifu wenye Roho mbaya, km Ganga zomba!! Tip tip! ambao waliwaonea watu wao! km unavoona leo wachawi ndg kwenye familia yako ambao hawakupendi tu bila sababu!
tena siyo wa mbali ni wa karibu mnoo! pengine shangazi yako anakuroga! hao wapo mpaka kesho humu na mnarogana kweli! sasa wa hivi atashindwaje kula deal na mkamata watumwa ili ukauzwe? tangu enzi za Biblia yapo hayo! km yusufu alivouzwa! na nduguze!
Ni sawa na Jiwe alivo mtandika shaba Lisu! maksudi tu! halafu akakaa kimya! Yule kijana wa kihindi katekwa maksudi tu! tena na weusi! serikali ikapiga kimya mpaka leo!! Mimi nikishika U-Rais nitaweka wazi haya yooote! sasa wkt wa utumwa ilikuwa ivoivo
Ila weupe ni wajanja wa kukwepa Lawama! ukiwa na akili isiyo pana utaona km weusi walijitakia wao! nikuulize ya leo uliyoona leo Gaddafi alijitakia? au
NATO ilikuwa na mkono pale?? hakuna Mwafrica/nchi yeyote iliyoweza kumtikisa Gaddafi! bila msaada wa weupe! lkn Historia itaandika Ni walibya wenyewe walifanya! basi na utumwa ivoivo! na
kule walikoishi watumwa weusi ndo pana Maendeleo hatari! yaani Super power countries zote zilifika hapo zilipo ajili ya Mtumwa mweusi tu! ndo zinasumbua mapaka kesho!!
ukiona Mweupe yeyote wanajifanya watumwa ni waongo wanatamani kuwa ivo ili wajihusishe na Taifa teule la Mungu ambalo lilipewa km adhabu ya kukosana na Mungu!!! Mchina hakumudu kazi za suruba mpaka leo! wewe umedanganywa sana rudi ukasome tena upya!
kilicho wa boost wachina ni Mapinduzi ya viwanda tu! km haitoshi watumwa wengi weusi walipelekwa Duniani kote ikiwemo china lkn huko pia weusi wengi waliuawa! New found Land ilifunga kazi! ajili vibarua wengi walihitajika ajili ya mashamba makubwa!
Wajapani wote asili yao ni uchina ya kusini, na Korea zote mbili tena wana fanana hasa! walikwenda na kurudi visiwani japani kidogo kidogo km wavuvi tu! baadae wakakomaa! wale wachina walikuwa watawaliwa lkn siyo watumwa! na
hata hao wachache walioonekana km watumwa hawaku treati-wa km waafrica walivo fanywa! kwa sababu walivo jaribu ivo walikufa km nzige! Ulaya yoote km ilivo asili yake ni Anglosaxson, Greek, Roma ya kale nchi hizi zilianza km vijiji vya wavuvi!
hao Slavonic walikuwa ni weusi kutokea mashariki ya kati! na pia kulikuwa na weusi majenerali wengi tu kwenye Jeshi la Alexander de great!
Sasa nakufundisha kitu adimu hakuna Taifa la Waarabu funguka! wale waarabu wako ni Machotara wa kiswahili na Wazungu! km ilivo kwa wagunya, wapemba wa bongo, coloured wa south! kwani unaona hawa wapemba wanawapenda muungano na weusi?
hata humu JF hakuna mpemba hata mmoja!! ukizaa na mpemba mama mweusi atafichwa ndani! hawajichanganyi kiviile na weusi kamwe!! watajitenga tu! kwenye jamii zao! ndo walivyo km mataifa yako hayo unayosema!
ile africa kaskazini yooote ni ya weusi ila hawa ndg zetu machotara hawatutaki! na iliwahi tabiriwa na Nabii Daniel kuwa ''km ilivo Udongo na madini ya Chuma havitashikamana kamwe!'' ndo km hii!! kamwe mweusi na mgunya hawataishi pamoja kiviile!
basi ndo waarabu wako hao na Africa ya weusi! wao wana ARAB LEAGUE! si unaona wengi wakutoka Iraq, Iran, wanakimbilia Ulaya japo hawakubariki!! Africa hawapataki wana chuki na Africa! ndo maana hawaitambuia AU,
Hata maudhurio yao waarabu ni hafifu mnoo! isipokuwa Gaddafi tu aliitambua na kuhudhuria vikao vyote! na kuingia pale ukumbini Ads ababa ni bure kwa wenye nia njema na Africa unasikiliza wee hata maswali unaruhusiwa kuuliza! kwa heshima zoote!