Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Naona siku hizi mmekuwa mashostito duh!!

sema la ukweli sijawahi kuona FF ukiongea hivi am scaring OMG!!!

What is going on!!



Huwa unanisoma kwa uoga tu, kama alionao Lukuvi aka Islamophobia. Nisome bila uoga utanielewa tu.
 
Hhhaaha! Na kweli natakiwa nikutazame kwa mapana zaidi Madam.

Faizafox kaeleza kwa ufasaha kuhusu waafrika kujiona wanyonge. Marehemu Prof. Ali Mazrui katika moja ya vitabu vyake alilifafanua vizuri jambo. hili. Kwa maelezo zaidi tafuta kitabu cha Franz Fanon " How Europe underdeveloped Africa.
 
Sasa wewe unashangaa nini?? Wewe mwenyewe mbona bado mtumwa hapo ulipo?
 
Faizafox kaeleza kwa ufasaha kuhusu waafrika kujiona wanyonge. Marehemu Prof. Ali Mazrui katika moja ya vitabu vyake alilifafanua vizuri jambo. hili. Kwa maelezo zaidi tafuta kitabu cha Franz Fanon " How Europe underdeveloped Africa.
How Europe Underdeveloped Africa kiliandikwa na Walter Rodney.
 

Wakati mwingine najiuliza maswali yasiokuwa na majibu, mbali na haya usemayo je hujajiuliza kwanini dereva mmoja amebeba abiria 70 kalewa na anakimbiza over limit mpaka kusababisha ajali lakini abiria wamekaa kimya wote, au bado woga wa zamani umenasa kwenye damu
 

Katika hii dunia yote ni waafrika tu ndio waliacha imani zao na kufuata imani za kigeni..., na ni hao hao ndio wamekuwa duni kuliko watu wote. Wachina-Bhuddism, Wahindi-Hinduism, Wajapan-Shintoism, Waarabu-Islam, Wazungu- christinanity, Waisrel-Jews, Wa-Afrika-???!!!!!***#####@@@
 
Umeongea vema kaka. Hizi dini kazi zake ni kumtishia mtu mweusi kuhusu after life, as if wao walishakufa na kufufuka ili watuambie wanayotuambia. Ndio maana leo hii waafrika ni shida sana, hatuna utamaduni, hatuna chochote, family zetu zimeporomoka. Nadhani ni wakati sasa tuachane na utumwa wa akili, tujitambue, tuenzi vitu vyetu, tuboreshe na tudumishe utamaduni wetu. Tuhuishe sayansi ya kiafrika. Vinginevyo, baada ya miaka 50 ijayo, bala la Afrika halitakuwa na mwenyewe.

 

View attachment Five Pillars of Afrikan Spirituality.pdf
 

Thank you... and that was my point as well... TUNA KITU KWENYE UBONGO

We tend to be ok with anything.. sijui ni kwanini

One time nilikua naenda Tanga kwa basi, dereva alikua very rough, high speed and careless - kati ya watu 45 ni wawili tu ndio tuliopiga kelele na tuliishia kushushwa njiani kwa kujifanya tunajali sana

kuna mwanasayansi anaitwa Watson... sidhani kama alikosea
 
Hivi hiki kitabu angekua ameandika mtu mweusi mngekikubali kwa kiwango hiki..?!
Walter Rodney alikuwa mtu mweusi na aliwahi kufundisha chuo kikuu cha Dar miaka ya sabini. Kwa asili alikuwa anatoka Guyana;
Born into a working-class family, Walter Rodney was a very bright student, attending Queen's College in the then British Guiana (now Guyana), where he became a champion debater and athlete, and then attending university on a scholarship at the University College of the West Indies (UCWI) in Jamaica, graduating in 1963 with a first-class degree in History, thereby winning the Faculty of Arts prize.Rodney traveled widely and became very well known internationally as an activist, scholar and formidable orator. He taught at the University of Dar es Salaam in Tanzania during the period 1966-67 and later in Jamaica at his alma mater UWI Mona. He was sharply critical of the middle class for its role in the post-independence Caribbean. He was also a strong critic of capitalism and argued for a socialist development template
In 1969, Rodney returned to the University of Dar es Salaam, where he served as a Professor of History until 1974.[SUP][2][/SUP]
Rodney became a prominent Pan-Africanist, and was important in the Black Power movement in the Caribbean and North America. While living in Dar es Salaam he was influential in developing a new centre of African learning and discussion.
 
Ahsante sana kwa kunifungua macho..., lakini huu ndio utumwa wenyewe.., i am sure originally ukoo wao haukuwa ukiitwa rodney.., perhaps walikuwa wanaitwa pondamali or something lyk that..
 
Kama ccm ni chama kilichogeuzwa pango la mafisadi kimewezekana kuonekana ni kawaida; ndivyo utumwa kwa aliyetumikishwa enzi izo ulivoonekana ni kawaida.
 
kila siku inapozungumzwa siasa inaletwa dini kwa mtazamo ni vigumu sana kuwatoa CCM katika utawala
 
kila siku waethiopia wanapakiwa kwenye makontena wakiwa njiani kwenda SA wanakufa kwa kukosa hewa nani anawalazisha kwenda utumwani
 
Ww mzawa wacha chuki na.waarabu hao wazungu waliowatesa waafrika amerika kaskazini,kusini,jamaica haiti,Trinidad, Honduras, brazil,cuba,cape verde,porto Rico, Bahamas,colombia,san salvador,equador,brazil,Venezuela, Argentina na nk ni wazungu ww na.wakaleta misalaba yao kwa nguvu ya upanga tazama filamu Roots kunta kunte, ukienda bara la arabu utaona wenyw asili ya waafrika ni.wafalme,ma price, na matajiri wakubwa nenda QAtar,Saudi Arabia,Oman, KuwAit, Bahrain nenda au uliiazia walio enda watu weusi wenye asili ya uafrica wana hadhi gani huko? Hata dubai wakaone wana hadhi kubwa sasa waaarabu haqakuchukua watumwa kulima mashamba, ila chuki ya uarabu imepandikizwa watu waone wabaya,sasa mbona dini yao mnaikubali basi muache uislaam kila muafrika anaekwaza ma uarabu aache dini hio atafute dini nyengine huwezi ukaupenda uislaam ukamchukia alieuleta
 
ndio maana tangu mwanzo nilisema kwamba ni ngumu mwarabu kuweza kufanya haya peke yake.., historia imechakachuliwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…