Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijui wewe mwenzetu sisi wengine tunazo za kutosha!Kwani hata leo WAAFRIKA tuna akili...?
Kwenda kumwaga mamilioni kwa former slave master huko Mecca kwa minajili ya kuhiji ni UTUMWA PIA.
Utumwa unaoshika kasi kwa sasa ni wa premier na merian betting wa wahindi na wazungu!
Huwezi kuwa mkweli ikiwa hutataja warabu ambao diyo walikuwa makatili na vinara wa kuchukua watumwa East Aafrica. Kinyume cha hapo, una agenda zako binafsi zisizo na maslahi wala tija kwa taifa.
Mm natamani kuona picha halisi ikimuonyesha muarabu akichunga watumwa waafrika kama tunavyo ona picha halisi za wazungu na watumwa waafrika.
Maendleo ya technolojia za picha na uandishi hayakuanzia kwa waarabu.
Hata kama ingelikuwapo, ukatili na unafiki wa waarabu kwa vyovyote vile kama ungeanikwa vile walivyowfany watumwa, waarabu wangeuliwa na kila mtu duniani.
Waarabu hawajwahi kuwa binadamu tangu mwanzo wao. Ukiwaona wanajifanya binadamu, ni kwa sababu wanahitaji msaada sawa na simba akiwa mgonjwa anavyotoa machozi ili ahurumiwe. Waarabu ni zaidi ya wanyama pori.
Maendleo ya technolojia za picha na uandishi hayakuanzia kwa waarabu.
Hata kama ingelikuwapo, ukatili na unafiki wa waarabu kwa vyovyote vile kama ungeanikwa vile walivyowfany watumwa, waarabu wangeuliwa na kila mtu duniani.
Waarabu hawajwahi kuwa binadamu tangu mwanzo wao. Ukiwaona wanajifanya binadamu, ni kwa sababu wanahitaji msaada sawa na simba akiwa mgonjwa anavyotoa machozi ili ahurumiwe. Waarabu ni zaidi ya wanyama pori.
Ila wayahudi ndio washenzi sana.. refer kumtundika mtini
Ila jamani mimi niliishi Uarabuni miaka 3. Kiukweli waarabu wengi hawana u binadamu hasa kwa mtu mweusi. Bado wanaona mtu mweusi ni mtumwa tu. Nimeshuhudia mabinti wengi wadogo kutoka Africa hasa kutoka Ethiopia wanapoletwa uarabuni, ukiwakuta Airport kwakweli utaguswa tu maana nilishuhudia walikuwa kama 50 wanaongozwa kama ng, ombe na waliingizwa kwenye chumba kimoja nakufungiwa kumsubiria wakala aliyewaleta ili aje akamilishe taratibu za immigration halafu awagawe kwa watu walioweka order ya House girl. Na kinachofanyika huyo Agent anachukuwa Passport zao ili wasiweze kutoroka. Hivyo hata apate mateso kiasi gani hataweza kuondoka hadi wakala aliyewaleta akubali. Na hata maslahi yake yote yanalipwa kwa huyo wakala ndipo alipwe yeye kiasi atakachopangiwa na huyo wakala. Nilikuta kesi nyingi za nyuma za kuteswa na wengine kufariki kwakutupwa ngorofani na wake za matajiri zao wanapokuwa na hisia kuwa huenda wakafanya mapenzi na waume zao. Na kwavile nimeshaishi na wazungu basi kwa mtazamo wangu naona angalau Mzungu anathamini Utu na ubinadamu hata kama atakunyonya. Pia tukumbuke kuwa japokuwa biashara ya utumwa iliwanufaisha wazungu na waarabu lakini ni wazungu ndio walioanzisha campaign yakukomesha biashara hiyo. Mwarabu hakuwa hata na wazo hilo
Hujui hata ulichokiandika,umesukumwa na chuki zako binafsi tu ndio maana ukaandika huo Utumbo wako hapa! Tumia kichwa kufikiri badala ya Makalio
Huo ni mtazamo wako na chuki zako binafsi dhidi ya waarabu.
Umeandika kwa kuwa unajua kuandika tu lakini hukujibu na hukunipatia nilicho kihitaji.
Na sidhani kama unaweza kunipatia ukizingatia unasukumwa na mihemuko ya chuki
Ww mpuuzi ndio maana unaabudu sanamu la mzungu.Kwa ufupi miarabu ni uzao wa shetani. Ukitaka kujua neda Maka. Period.
Wwe toa hoja. Matusi hayabadilishi ukweli. Wewe ni Sodoma Product nini? Kwa akili yako hukosi kuwa mtoto wa baba na biti.
Huwezi kuwa mkweli ikiwa hutataja warabu ambao diyo walikuwa makatili na vinara wa kuchukua watumwa East Aafrica. Kinyume cha hapo, una agenda zako binafsi zisizo na maslahi wala tija kwa taifa.