Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Dogog ni wewe!. Waarabu hadi leo ni maktili duniani hakuna, labda kwa sababu ni walemavu wa viungo kwa kuwa ni inbred. Hao wareno wanafanya nini? Usitafute faraja "waarabu na wafuasi wao ni mashetani na wataendelea kuwa mashsetani hadi watakapokiri kwamba ao ni mashetani na kutafuta mabadiliko".
huna akili ww ,nimekuita bwana mdogo sababu akili zako ni sawa na za watoto wadogo.jaribu usionyeshe ujinga wako mbele za watu
 
Dogog ni wewe!. Waarabu hadi leo ni maktili duniani hakuna, labda kwa sababu ni walemavu wa viungo kwa kuwa ni inbred. Hao wareno wanafanya nini? Usitafute faraja "waarabu na wafuasi wao ni mashetani na wataendelea kuwa mashsetani hadi watakapokiri kwamba ao ni mashetani na kutafuta mabadiliko".
Na wale wanaua watoto wadogo ambao hawajui chochote utasemaje,bwana mdogo huna akili za kufikiria kama punda
 
huna akili ww ,nimekuita bwana mdogo sababu akili zako ni sawa na za watoto wadogo.jaribu usionyeshe ujinga wako mbele za watu

Nimesema wewe ni lipumbavue. Hakuna binadamu kamlii anaywezea kuwatenganisha waarabu na ushetani isipokuwa shetani mwenyewe unayemwita bwana. Pumbaveu kabisa wewe tena huna maana kama mzoga wa mbwa aliyekula matti ya bwana wako.

Wewe na maarabu wote na wanaoishi katika ujinga kama wako i mashenzi mashetani wote!. Kama hutaki ukweli kunywa sumu uwahi mabikira kuzimu!. pumbvaue.

Hauna tofauti na maabudu shetani!

 
Nimesema wewe ni lipumbavue. Hakuna binadamu kamlii anaywezea kuwatenganisha waarabu na ushetani isipokuwa shetani mwenyewe unayemwita bwana. Pumbaveu kabisa wewe tena huna maana kama mzoga wa mbwa aliyekula matti ya bwana wako.

Wewe na maarabu wote na wanaoishi katika ujinga kama wako i mashenzi mashetani wote!. Kama hutaki ukweli kunywa sumu uwahi mabikira kuzimu!. pumbvaue.

Hauna tofauti na maabudu shetani!


sina muda wa kupoteza kujibishana na kula kulala
 
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu.., ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile.., iliwezekanaje..????!!!

slaves510x492.gif

Watumwa ndani ya minyororo.., wameridhiiika wenyewe..., eti wanapigwa picha!

2006_2637.JPG

Mtoto mtumwa huko Zanzibar.., hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula..., hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa.., linahusiana na yale mambo flani yale..

reward2.jpg

Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.

SlaveShackle_450x397.jpg

Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana.., ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo.., pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa

anamtoboa enka.., u neva know..!

166367_o.jpg

Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu.., yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni waafrika wenzetu kabisa...!!! hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman..., haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho wanyanyasaji wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi..!
Sina cha kuongeza katika nukta hizo mkuu! Umemaliza yaliyo mengi na ndio maana mtu alipata kuandika "miafrika ndivyo tulivyo!"
 
Utumwa mamboleo! Ndio maana hata sasa tunaingia mikataba mibovu pasina kujali vizazi vijavyo ama hatma ya nchi zetu itakuwaje! Watawala wanawaza kuendelea kutawala ikibidi kwa kurithishana kama sio kutawala maisha! Iwe mvua iwe jua!

Iko haja tupimwe akili kwa kutulia kwetu hata kwenye maumivu huenda tunayo kasoro katika bongo zetu
 
Utumwa mamboleo! Ndio maana hata sasa tunaingia mikataba mibovu pasina kujali vizazi vijavyo ama hatma ya nchi zetu itakuwaje! Watawala wanawaza kuendelea kutawala ikibidi kwa kurithishana kama sio kutawala maisha! Iwe mvua iwe jua!

Iko haja tupimwe akili kwa kutulia kwetu hata kwenye maumivu huenda tunayo kasoro katika bongo zetu
Na huu kwenye picha hapa chini sio utumwa mamboleo?
fd45d5620322ab793bf900bef65b5788.jpg

 
Na huu kwenye picha hapa chini sio utumwa mamboleo?
View attachment 522275
Inawezekana ukawa ni utumwa mamboleo lakini ni kwa nani na kwa ajili ya nini! Inawezekana sana pia ukawa si utumwa kama vile ambavyo ule mwingine usivyotajwa kuwa ni utumwa! Utumwa mbaya ni ule unaomnyima mtu fursa ya kutumia akili zake kupembua na kuchambua kwa kina bali kuamini katika yale aliyokaririshwa na akakariri vilivyo pasi na kuchagua mbivu na mbovu, Ndio maana watumwa wengi mamboleo hawataki kutafuta uhuru kutokana na utumwa mamboleo zaidi ya kueneza chuki kwa mambo wasiyoyafahamu badala ya kufanya tafiti ama kutumia tafiti za watafiti mahiri waliopo ama waliopita.

Ziko fursa nyingi katika utumwa mamboleo hazitazamwi kama fursa bali starehe kwani wengi wa watumwa mamboleo hawatumii fursa hizo kujinufaisha. Mathalan yapo magari, njia za mawasiliano na teknolojia zingine lakini ni watumwa gani mamboleo wa Afrika wanaotaka kujitoa kwa kunufaika na utumwa huo hawataki kutazama India, China, Korea, Malaysia nk. walitokaje!! Utumwa wa Afrika umebaki katika kutazamana sura na majina huku tukishindwa kunufaika Kitaifa kama waliojitambua wakanasuka sisi tunajinufaisha binafsi pasi kuijua kesho yetu kwa vizazi vyetu.
 
Kuna maswali nilikuwa najiuliza kuhusu utumwa lakini sipati majibu. Ila baada ya kuangalia hizi picha nimetambua hasa tatizo lilikuwa wapi

Kwanza waafrica tulikuwa hatujitambui kabisa ndiyomaana mzungu ambaye kipindi hicho tayari anajitambua na huko kwao competition katika maishaa ilishakuwa kubwa, Alipofika Africa akatake advantage ya ujinga wetu na kututawala. Ni ujinga kwa sababu haiwezekani mtu mmoja mwenye bunduki hawezi akawashurutisha kundi la watu zaidi ya10 na mkashindwa kumzidi nguvu...

La pili waafrika tulijaaliwa nguvu na rasilimali nyingi lakini wenyewe tulishindwa kuzitumia ht nguvu zetu akaja mtu mwingine kuzitumia nguvu zetu wenyewe kujitajirisha.

Hitimisho, mzungu alipokuwa akitutawala alihakikisha hatutakuja kujitambua wala kufanikiwa kumfikia yeye kwa chochote katika miaka ijayo, sijui alitumia njia gani ila anafanikiwa kwa kiasi kikubwa.. Ndo sababu kubwa hadi Leo nchi nyingi za kiafrika zinasuasua katika maendeleo ya mambo mengi.. Mfano mkubwa Tanzania Leo ni zaidi ya miaka 50 ya Uhuru lakini hakuna maendeleo.. Hata katika soka pia huko ndo kabisa kila siku ni vilio..

Kikubwa hatutakiwi kukata tamaa katika kutafuta majibu ili yaje kuwasaidia wajukuu zetu vizazi vinavyokuja
 
Niliuzwa kama mtumwa mara tatu Chad na Libya'
29 Novemba 2017
Mshirikishe mwenzako
Harun Ahmed 27, now in GermanyHaki miliki ya pichaHARUN AHMED
Harun Ahmed ni mmoja tu kati ya maelfu ya vijana kutoka Ethiopia ambao wamejaribu kufunga safari ndefu kupitia jangwa la Sahara hadi Libya, lengo lao kuu likiwa kufika Ulaya.
Sasa ana miaka 27 na huishi Ujerumani.
Amesimulia BBC jinsi alivyonunuliwa na kuuzwa mara tatu na wafanyabiashara ya kuuza watumwa.
Baadhi ya nyakati, alizuiliwa miezi kadha na waliokuwa wamemteka, akateswa na hata kunyimwa chakula.
Hii ndiyo hadithi ya maisha yake.
Nilizaliwa wilaya ya Agarfa katika eneo la Bale jimbo la Oromia nchini Ethiopia.
Niliondoka Ethiopia kwenda Sudan mwaka 2013.
Baada ya kuishi mwaka mmoja na miezi kadha Sudan, nilianza safari kwenda Libya nikiwa na wahamiaji wengine - tulilipa dola 600 kila mmoja kwa waliokuwa wanatusafirisha.
Tulikuwa watu 98 kwenye lori.
Tulisafiri kwa siku sita katika jangwa la Sahara na tukafika eneo moja katika mpaka wa Misri, Libya na Chad ambapo wanaowasafirisha wahamiaji kubadilishana wahamiaji.

Tulikuwa tumekumbana na matatizo mengi safarini.
Kuna watu wenye silaha ambao wangetusimamisha huko jangwani ghafla na kutuibia kila kitu.
Watu walilazimika kuketi mmoja juu ya mwingine na joto lilikuwa kali ajabu.
'Hawakuwa kama binadamu'
Katika eneo hilo la mpakani, kundi la majambazi lilituteka nyara sote na kutupeleka Chad. Walitusafirisha kwa siku mbili jangwani na kutupeleka hadi kwenye kambi yao.
Walikuwa na silaha kali. Na walizungumza Kiarabu na lugha nyingine.
Walileta gari na kusema kwamba wale miongoni mwetu ambao wangelipa dola 4,000 kila mmoja wangeweza kupata fursa ya kuingia kwenye gari hilo.
Lakini wale ambao hawangeweza wangesalia humo kambini.
Hatukuwa na pesa hizo lakini tulizungumza wenyewe na kuamua kwamba tujifanye kwamba tulikuwa na pesa hizo tupate fursa ya kuingia kwenye gari hilo.
Tulisafiri kwa siku nyingine tatu na kufika eneo ambapo huwa wanawauza wahamiaji.
Wale waliotuchukua walitwambia kwamba walikuwa wametununua dola 4,000 kila mmoja na kwamba tusipowalipa pesa hizo basi hawangetwachilia.
Kulikuwa na wahamiaji wengine kutoka Somalia na Eritrea ambao walikuwa wamekaa huko kwa zaidi ya miezi mitano.
Walikuwa wameteswa na kuteseka sana. Hawakuonekana kama binadamu.
Tuliteseka sana pia.
Walitulazimisha kunywa maji moto yaliyokuwa yamechanganywa na mafuta ya petroli ili tuwalipe pesa haraka.
Walitupatia chakula kidogo sana, mara moja kwa siku.
Walitutesa kila siku.
Baadhi ya wahamiaji kutoka Somalia na Eritrea ambao walitumiwa pesa na jamaa zao walifanikiwa kuondoka.
Lakini Waethiopia 32, mimi nikiwepo, tulikaa huko kwa siku 80 kwa sababu hatungeweza kuwalipa.
"Hamtatulipa pesa zetu, hivyo tutawauza," wafanyabiashara hao walitwambia.
"Hatukuwa tunapata chakula kwa zaidi ya miezi miwili na tulikuwa tumedhoofika sana, kwa sababu ya hilo mwanamume ambaye walitupeleka kwake akatununue alikataa kutununua akisema, 'hata hawana figo'."

Mtu mwingine kutoka mji mmoja wa Libya unaofahamika kama Saba alifika na kutununua dola 3,000 kila mmoja.
Lakini huko Saba, baada ya kusafiri kwa siku nne, tulifanyiwa mateso ya kikatili.
Walitutesa na kutufunga vifungashio vya plastiki vichwani, kutufunga mikono yetu nyuma mgongoni, na kuturusha kichwa kwanza ndani ya mitungi mikubwa iliyokuwa imejaa maji.
Walitupia kwa kutumia nyaya.
Baada ya mwezi mmoja wa mateso na kupigwa, baadhi yetu tulifanikiwa kuwasiliana na jamaa na marafiki kwa simu na kupata dola 3,000 ambazo tulitakiwa kulipa.
Walituruhusu kuondoka lakini kabla hatujafika mbali, watu wengine walitushambulia na kutufungia katika jumba moja kubwa, lililofanana na ghala la kuhifadhia mizigo.
Walitwambia kwamba tusipowalipa dola 1,000 kila mmoja, hawangetuachilia.
Tuliendelea kuteswa na kupigwa. Tuliwapigia jamaa zetu nyumbani tena na kuwaomba watupe pesa tena. Waliuza mifugo, mashamba na mali yao nyingine waliyokuwa nayo na kututumia pesa hizo.
Hadhi ya wakimbizi
Baadaye, tulikwenda mji wa Trablois ambapo wahamiaji wengi huishi.
Hali huko ilikuwa heri kidogo.
Tulifanya kazi kwa miezi kadha, kazi zozote ambazo tungepata na kisha tukavuka bahari ya Mediterranean kwenda Ulaya.
Mwanzo nilifika Italia na kisha nikavuka na kuingia Ujerumani.
Namshukuru Mungu kwamba nilifanikiwa kupata stakabadhi zangu kama mkimbizi na maisha yamekuwa mazuri hapa, lakini siwezi kusahau niliyoyapitia.
Kusema kweli, nilichokosa nilipokuwa naondoka nchini mwangu ni ujuzi na maarisa.
Ningekwenda shuleni au hata nifanye kazi huko.
Niliwaona watu wengine wakiondoka na hilo, pamoja na hali ya siasa, ilinishawishi nami kuondoka na kuikimbia nchi yangu.

Tulimzika mmoja wa marafiki zetu katika mpaka wa Misri na Libya.
Wengine wawili waliachana nasi tukiwa Saba; sijui kama wako hai au la.
Msichana mwingine alitumbukia kwenye bahari ya Mediterranean lakini wengine walifanikiwa kufika Ulaya. Chanzo: BBC Swahili.

Mhanga wa utumwa afunguka.
 
USISHANGAE KWA WAKATI WAO ILIWEZEKANA ,MBONA NASI BADO NI WATUMWA...? BMK lenye watu wasiofikia 1000, linatuamulia jinsi ya kututawala na kugawana mapesa kibao hali ya kuwa tunaona na hatuchukui hatua yeyote..... au we huoni kuwaq ni utumwa mamboleo.......?
Mkitaka tuondoe utumwa wa kiuchumi kwanza tuache kutumia mifumo ya kibiashara kwa kutumia haya makaratasi yanaitwa pesa. Turudishe barter trade kule hawatatudhibiti na upuuzi wa fedha yako inathamani ndogo yangu ina thamani kubwa, hapa lete shaba nikupe jogoo, lete gari nikupe thahabu, lete urembo nikupe viungo toka pemba n.k.

Pili tuachane na dini za kinyonge kwa ajili ya wanyonge kitawaliwa na wenye nguvu.
Eti anakuambia kuuwa ni dhambi kisha anaenda kuwapa taarifa wakuu wake waliopo ulaya namna ya kukutawala na kukuchukulia mali asili zako.
 
Mzungu/Mwarabu hawezi akafanya lolote lile kwa faida ya mtu mweusi.., sana sana ataficha ukweli na kukudanganya kwamba anakusaidia..., ni uongo tu.., CCM inabidi wazinduke..., nafuu tuka-deal na wachina tu..,
ANGALIA TAWALA ZA ASIACYA WACHINA NA WAJAPAN NA WAKOREA UTAPATA JIBU NI KWA SABABU GANI WANAJIELEWA
 
Mkitaka tuondoe utumwa wa kiuchumi kwanza tuache kutumia mifumo ya kibiashara kwa kutumia haya makaratasi yanaitwa pesa. Turudishe barter trade kule hawatatudhibiti na upuuzi wa fedha yako inathamani ndogo yangu ina thamani kubwa, hapa lete shaba nikupe jogoo, lete gari nikupe thahabu, lete urembo nikupe viungo toka pemba n.k.

Pili tuachane na dini za kinyonge kwa ajili ya wanyonge kutawaliwa na wenye nguvu.
Eti anakuambia kuuwa ni dhambi kisha anaenda kuwapa taarifa wakuu wake waliopo ulaya namna ya kukutawala na kukuchukulia mali asili zako.
Eti mjerumani kaleta dini Tanganyika inasisitiza mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na upande wa kulia akuongezee kipigo, wakati huo huo Kinjikitile Ngwale aling'oa miche ya pamba shambani kwa alieleta dini kisha jamaa wakalipiza kwa kuuwa watu mamia kwenye vita vya majiamaji.
Mkwawa aliwauwa wajerumani wachache hawakumsamehe ilibidi hadi ajiuwe lakini hawakuisamehe hata maiti yake wakakata kichwa na kukipeleka kwao.

Dini hizi zetu pendwa za waarabu na wazungu zilizoanzia mashariki ya kati zote hazijakataza kumiliki watumwa, bali walijitahidi tu kuwekeana sheria namna ya kuwatumia watumwa.
MAONI YANGU:
Mungu yupo lakini nahisi mafundisho ya hizi dini yamekuwa twisted kidogo kwa manufaa ya vikundi flani vya wajanja.
 
Slavery brings miseries. Lakini dini ya mwarabu haijakataza utumwa kama dini ya mzungu pia haijakataza. Nahisi hata nabii fulani alikuwa na watumwa wake au maswahaba wake walikuwa na watumwa. Kama yeye hakuwa nao lakini wafuasi wake walioleta mafundisho yake ya dini walimiliki na kuuza watumwa.
 
Back
Top Bottom