Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

Utumwa katika picha: Hivi iliwezekana vipi? Mbona Waarabu, Wahindi, Wachina hawakufanywa slaves?

tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu
Oman ina asili ya watu flan weusi, ila mwarabu kutokana na kuwekeza akili kwenye ngono, kitu cha kwanza kufanya kwa wale watumwa ilikuwa kuwahasi, ili kusiwe na uzazi wowote. Tafuta speech za PLO Lumumba, kuna moja kazungumzia hilo
 
hawa waarab walikuwa ni wafanyabiasha (middlemen) ya watumwa kwahiyo waliwauza sekta zenye kuwahitaj kama kwenye viwanda, mashamba, n.k kwa kadir ya mahitaj ya nchi husika hivyo hawa hawakuwa wanawachukua kwaajili ya matumiz yao ila ni kwenda kuwauza kutokana na sehem kubwa ya uarabun ni jangwa hivyo mashamba ni shida
Biashara ya utumwa ilianza muda sana, watumwa walienda pia uarabuni kama wafanyakazi wa ndani pamoja na kufanya kazi kwenye mashamba tende na mizabibu.
 
A very deep thread, I hope itakua sticky

Tuna issues kwenye ubongo mkuu

I have always been asking myself, how come mwarabu mmoja au wawili wanaswaga watu mia?? lakini angekua mbantu ndio anaswaga wenzake, wangemgeuka na kumla nyama

We ahve demostrated a lot of inferiority kiasi kwamba ni vigumu kuamini kama we are not inferior
Kuna siku Mugabe alisema watu wa Africa kusini wanaweza kuwapiga na kuwachoma waafrika wenzio ila hawewezi hata kuangusha sanamu la mzungu.
 
tena yapasa kujiuliza hao watumwa kibao kutoka EAST AFRICA na kusafirishwa kwa majahaz kwenda kwa majini magaidi KIZAZI CHAO KIPO WAPI??? mbona wa west africa kizazi chao kipo america?? historians naomba mnijibu
Wengi walihasiwa na wengine kugeuzwa mapunga (wangese) hivyo hawakuongezeka kama waliopelekwa Amerika na Ulaya.

Pia mwarabu alikuwa katili mno kiasi kwamba mtumwa hakupata huduma sahihi za afya na chakula hivyo wengi walikufa haraka kabla hawajazaana.
 
Slavery kama biashara yoyote ina key 3 players ambao
1.Source of Supply
2.Middlemen
3.End User /Consumer

Hapa ukiisoma vizuri utaona Namba
1. Machifu na Watemi
2. Waarabu
3. Wazungu

Ni kama unavyoona sasa hivi Corrupted leaders ndio chanzo kikubwa cha unyonywaji wa resources zetu
 
Kwa mfano ukiangalia mtu kama Tip Tippu upande wa mama alikuwa na Nasaba ya Chief Fundikira hii ilimfanya aheshimike na hata kuogopwa na Machifu wengine
Tikiti bovu liko shambani mwako mbona kwa Mangi Meri Chifu wa Wachaga hawakuchukuliwa au hata kwa Wamasai
 
utumwa mwingine unatokana na kupungukiwa akili kichwani
 
Inawezekana ukawa ni utumwa mamboleo lakini ni kwa nani na kwa ajili ya nini! Inawezekana sana pia ukawa si utumwa kama vile ambavyo ule mwingine usivyotajwa kuwa ni utumwa! Utumwa mbaya ni ule unaomnyima mtu fursa ya kutumia akili zake kupembua na kuchambua kwa kina bali kuamini katika yale aliyokaririshwa na akakariri vilivyo pasi na kuchagua mbivu na mbovu, Ndio maana watumwa wengi mamboleo hawataki kutafuta uhuru kutokana na utumwa mamboleo zaidi ya kueneza chuki kwa mambo wasiyoyafahamu badala ya kufanya tafiti ama kutumia tafiti za watafiti mahiri waliopo ama waliopita.

Ziko fursa nyingi katika utumwa mamboleo hazitazamwi kama fursa bali starehe kwani wengi wa watumwa mamboleo hawatumii fursa hizo kujinufaisha. Mathalan yapo magari, njia za mawasiliano na teknolojia zingine lakini ni watumwa gani mamboleo wa Afrika wanaotaka kujitoa kwa kunufaika na utumwa huo hawataki kutazama India, China, Korea, Malaysia nk. walitokaje!! Utumwa wa Afrika umebaki katika kutazamana sura na majina huku tukishindwa kunufaika Kitaifa kama waliojitambua wakanasuka sisi tunajinufaisha binafsi pasi kuijua kesho yetu kwa vizazi vyetu.
Utumwa ni utumwa tu
 
Slavery kama biashara yoyote ina key 3 players ambao
1.Source of Supply
2.Middlemen
3.End User /Consumer

Hapa ukiisoma vizuri utaona Namba
1. Machifu na Watemi
2. Waarabu
3. Wazungu

Ni kama unavyoona sasa hivi Corrupted leaders ndio chanzo kikubwa cha unyonywaji wa resources zetu
Watu wanalaumu waarabu na wazungu bila kusoma historia. Angalia Kabaka Mutesa wa Uganda alivyokuwa anagawa watumwa kwa waarabu and that was just 1854. Soma kitabu cha Speek alivyogawiwa watumwa wa kike akaamua kuwagawa kwa wapagazi wake ambao waliondoka nao mpaka Zanzibar. Siyo hao tu hata akina Rumanyika na wengine walikuwa wakishinda vita, wale mateka wanauzwa kwa waarabu. Mababu zetu ndo waliuza ndugu zetu na siyo hao tunaowalaumu ingawa kwanini utumwa? Bado hata sisi tuna watumikisha watu majumbani mwetu kwa ujira wa elfu 20, je huo si utumwa wa ndani?
 
Watu wanalaumu waarabu na wazungu bila kusoma historia. Angalia Kabaka Mutesa wa Uganda alivyokuwa anagawa watumwa kwa waarabu and that was just 1854. Soma kitabu cha Speek alivyogawiwa watumwa wa kike akaamua kuwagawa kwa wapagazi wake ambao waliondoka nao mpaka Zanzibar. Siyo hao tu hata akina Rumanyika na wengine walikuwa wakishinda vita, wale mateka wanauzwa kwa waarabu. Mababu zetu ndo waliuza ndugu zetu na siyo hao tunaowalaumu ingawa kwanini utumwa? Bado hata sisi tuna watumikisha watu majumbani mwetu kwa ujira wa elfu 20, je huo si utumwa wa ndani?
Siku zote nimekuwa nikiamini kabisa, kwa mazingira yetu ya kiTanzania, wafanyakazi wa ndani hasa wa kike, ni watumwa 'in the very sense of the word'.
 
Unajua for most of us utumwa ni kama hadithi za kufikirika tu.., ni ngumu sana kuamini kwamba eti mwarabu mmoja mwenye bunduki ya kipuuzi anaweza akateka watu 100 wenye akili zao, akawafunga minyororo wote na kuwasafirisha for miles bila shida yoyote ile.., iliwezekanaje..????!!!

slaves510x492.gif

Watumwa ndani ya minyororo.., wameridhiiika wenyewe..., eti wanapigwa picha!

2006_2637.JPG

Mtoto mtumwa huko Zanzibar.., hapa anakula adhabu kali ya kusimama na gogo la kilo 30 kwenye jua kali bila viatu kwa muda usiopungua masaa 8 bila kula..., hii ni kwa kosa la kimbwa sana sitalitaja hapa.., linahusiana na yale mambo flani yale..

reward2.jpg

Hapa tunaona mbwa mmoja wa kizungu aliekuwa anaitwa T.H Williams akitoa tangazo linaloahidi donge nono la dollar 100 ya mwaka huo, (August 4, 1853) kwa yeyote atakaemrudisha mtumwa wake mrembo sana. Huyu binti Emily bila shaka alimlewesha kwa yale mambo yetu mpaka ana mtafuta kwa nguvu namna hii.

SlaveShackle_450x397.jpg

Hapa mtumwa akiwa kwenye maumivu makali sana. Sina uhakika sana.., ila inawezekana alikuwa natengenezewa bangili ya kufungwa mnyororo.., pia huyu mbwa wa kizungu inawezekana alikuwa

anamtoboa enka.., u neva know..!

166367_o.jpg

Hii picha ndio imenifanya nianze kupata majibu ya swali langu.., yaani hao askari wanaowachunga wenzao kama ng'ombe wa maksai ni waafrika wenzetu kabisa...!!! hapa ni kwenye shamba la mpira (rubber plantation) lililokuwa likimilikiwa na wabelgiji na hao ni wakongoman..., haya ni mambo ya kimbwa kabisa. hiki ndicho wanyanyasaji wanachotufanya watanzania kwa kutumika na watu wa pua ndefu na ndevu nyingi..!
Myahudi alikuwa mtumwa kwa Mmisri, Mchina alikuwa mtumwa kwa Mjapani
 

Yaani huyu mzee ni level za Nyerere kabisa, anaitwa nani huyu?
 
kila nikiona picha za watumwa naona wazungu wakiwa na watumwa lakini sioni picha ya mwarabu na watumwa ila za kuchora tu
 
Back
Top Bottom