Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

Naamini hujafika unakopaswa kufika ili uwaze sawa na dunia ilivyo.

Maadili pia ni sehemu ya maisha tunayopaswa kuishi kwa adili umewahi kuchunguza kwa ushahidi wenye mashaka na usionamashaka kugundua maadili ni nadharia ngumu ambayo hatuwezi kuishi?

Ukweli kwenye dunia hii unategemea dunia inataka nini kwa wakati huo.
Hata unayemuamini sijui ni mama yako atakwambia ukweli unalingana na mahitaji ya dunia hiyo.

Ukipata nafasi ya kusoma,
Kasome falsafa pure au falsafa na maadili ujue namna ya akili inavyoweza toa majibu ambayo si kweli lkn yanaweza kuaminika ni kweli kwa watakao msikia.

Kasome falsafa utakayofundishwa na walatini then utagundua dunia ndivyo ilivyo.
Hoja yako inaweza kuwa kama hii

Mungu amekufa.

Utalijibu hilo swali?

Mpaka sasa unaona pos or neg unaona kuna majibu na ushahidi _ hivyo ndivyo ilivyo kwa fikra zako juu ya demokrasia, siasa, ukweli , udikteta na maisha kama si malezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguz hauhairishwi.
Lakini bado kuna nafasi ya kujenga hoja ya kuahirisha uchaguzi ili kuweka mazingira bora zaidi. Swali ni nani ataijenga?
Na hasipeleke hoja hii mtu hata mmoja bungeni wala kwa tume vilevile rais

Tunataka uchaguzi huru na wa haki.

Ban ya shughuli za kisiasa inaendelea chini ya wingu ka corona. Nani anafaidika?

Nec baada ya kukutana kuhairishwa haikuwa hoja labda kwenye mkutano ujao wa wadau lkn litakataliwa.


Tumieni akili ya kuzaliwa kupata majibu ya maswali ambayo hujajiuliza wala kuulizwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Mkuu uko sahihi, unavo amini! But Dunia uionavyo sivo ndivo ilivyo! the vice versa is true! Maadili simply means ''mwenendo mwema'' kile unachoona chema, wengine ni si chema kwao! so for this kind of theme!
Nakataa Maadili siyo nadharia ngumu, kimtazamo na kimatendo, wahusika wakuu wa Maadili ndiyo wagumu!

Dunia ni watu ikiwa ni pamoja na wewe kwa wakati, siyo tufe, Ukweli kwenye Dunia unakutegemea. mwana Dunia, remember ''Life is how you make it''
Hiyo falsafa pure unayosema ni Bado unarudia neno ''Propaganda'' km nilivo bainisha hapo awali! unless other wise hujui maana yake!

Kuhusu Falsafa ya Latin, hizo ni akili zao, mazingira na wakati wao! Mbongo yako inasemaje? siyo usizisome, siyo kwa sababu alisema M-latin basi unaibeba km lilivo, toa changa moto zako dhidi ya mapungufu yao then ibuka na yako! yanayo endana na wewe, ndo tunacho kifanya humu!

Suala la Mungu amekufa? hilo jambo jengine, wakati mwingine, nevertheless, hakika nasema Mimi Nyarusare ni Mungu. narudia! seriously! ''Am God'' Even Jesus knows!. Jibu ni sijafa!

Laa! hasha siyo fikra zangu! bali suala la historia ya fikra za ulimwengu wa siasa, Pos! and Dons!...inategemea muhitaji anataka nini! wapi na kwa wakati gani.
 
Pole

Maana hujanielewa
 
Ni makala iliyoshiba vema na imesheheni uhalisia wa kinachoelezwa na Watanzania wazalendo!!

Asantee Sana bandiko hili mujarabu

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Tume ya uchaguzi ni huru kwa maneno lakini si kiutendaji. Karibu viongozi wakuteulewa mara nyingi wanatetea ugali wao. Hawasimamii haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupitie hii pia kufahamu nini nilikuwa namaanisha kwenye michango yangu hapo juu.
Utumwa wa bunge la jmt na wabunge wake
 

Kosa lako ni moja. Unadhani kwamba serikali ya CCM inamiliki madaraka na kwamba wanayo hiari ya kuayaachia au kuyang'ang'ania. Madaraka yako mikononi mwa umma, na serikali ya CCM ni wakala tu. Umma unaamua nani akalie ofisi ya uwakala na yupi asikalie. Badilisha mtazamo wako, halafu tujenge hoja zilizonyooka.
 
Walaka upo biased sana! Maaskofu wanapokubali kutumika kwa maslahi ya kikundi cha siasa hapo ujue tunayo shughuli! Nyuma ya pazia ya haya yote tunamuona Mbowe @et al! Ktk maeneo yote ya kulenga ktk kutoa salamu za pasaka tume ya uchaguzi ndio lililopewa kipaumbele! Tume huru ya uchaguzi inamahusiano gani na mfungo wa pasaka? Sijui huu ujumbe umetoka kwa Mungu na kufikishwa kwa watumishi wake!? Au ni waumini wamefanya 'petition!?
All in all huu siyo ujumbe wa wananchi wa kawaida! Bado hoja yangu ipo palepale, raia wa kawaida hawana shida na tume ambayo kama ilivyo inauhuru! Hawa watumishi wa Mungu, wanapaswa wajitathmini kama wanawakilisha Mungu wa namna gani kwa aina na 'source' ya ujumbe wanaofikisha kwa jamii!
Kwa kuwa sio wananchi wanaotaka hiyo tume, bali ni shinikizo la vikundi vya vinavyo taka ruzuku, ni wazi watatumia kila hila kushawishi vikundi au hata wanachama wao kutimiza agenda yao maana hamna sera wala agenda yenye mashiko ya kuuza kwa wananchi!
Umekurupuka na povu jingi sana kwa kuleta huu walaka/salamu kama ushahidi! Pole kwa kukuangusha maana huu siyo ushahidi unaotakiwa hapa! Hao watumishi walioandika hawatuwakilishi sisi raia wa mtaani! Hatujui nini kiliwakuta mpaka wakaandika hayo walioandika nachoweza kukuhakikishia, hayakuwa mawazo ya waumini wao waliowengi! Wanajua walikoyatoa!
Narudia tena, ni unafiki wa hali ya juu kujidai mnadai tume huru ya uchaguzi wakati ninyi wenyewe mnawanyongea mbali wanachama wenu kwa kutokuwa na uhuru na uwazi ktk vijichaguzi vyenu ktk vijikundi vyenu!
Watu kama hawa ndio wapewe kushika dola ni hatari sana maana kama huna uaminifu kwenye vidogo hatutarajii muujiza ukipewa vingi....mtanyongelea haji Mbowe et al you lack legitimacy!
 
Huyo umma ni nani vile!? Si ndio huyo ameiweka ccm kunako dola? Au umma maana yake ni wewe na Mbowe? Hayo makelele na mapovu yenu kwa kukosa sera na agenda yanakera😑😑😑😑😑😑!
 
CCM wanaona upinzani kuingia ikulu ni sawa na uhaini.Suala la kushindwa uchaguzi halipo kwenye agenda zao!
Sasa nyie wapinzani muende ikulu kwa agenda na sera ipi? Mkatuuze au!?
Huko mliko tu mambo yenu yapo shagharabagala...afu mpewe dola ili mtuuze kwa mabeberu!?
 
Huyo umma ni nani vile!? Si ndio huyo ameiweka ccm kunako dola? Au umma maana yake ni wewe na Mbowe? Hayo makelele na mapovu yenu kwa kukosa sera na agenda yanakera😑😑😑😑😑😑!

Una uhakika kuwa umma ndio umeiweka CCM madarakani? Fanya utafiti tena vide uchaguzi wa 2015 na huu wa 2019. Utakuja hapa kuniomba msamaha.
 

Hero, hakuna mahali nimeongelea "walaka." Kwa hiyo sina la kukujibu.
 
Una uhakika kuwa umma ndio umeiweka CCM madarakani? Fanya utafiti tena vide uchaguzi wa 2015 na huu wa 2019. Utakuja hapa kuniomba msamaha.
Kukuomba msamaha kwa kuwe wewe ndio umma na hukuiweka ccm!?
Mama Amon, are in your right mind?
Ccm ipo madarakani ki katiba kwa kuchagukiwa na watu wengi! Mie mwenyewe nilikuwa kwenye safari ya matumaini...lakini nawashukuru sana walioirudisha Ccm chini ya Magu!
Kipindi hiki sitafanya makosa tena kupoteza kura yangu ukawa wala chadema! Ccm ndio chaguo langu, hayo magenge ya ruzuku siyahitaji!
 
Una uhakika kuwa umma ndio umeiweka CCM madarakani? Fanya utafiti tena vide uchaguzi wa 2015 na huu wa 2019. Utakuja hapa kuniomba msamaha.
Kukuomba msamaha kwa kuwe wewe ndio umma na hukuiweka ccm!?
Mama Amon, are in your right mind?
Ccm ipo madarakani ki katiba kwa kuchagukiwa na watu wengi! Mie mwenyewe nilikuwa kwenye safari ya matumaini...lakini nawashukuru sana walioirudisha Ccm chini ya Magu!
Kipindi hiki sitafanya makosa tena kupoteza kura yangu ukawa wala chadema! Ccm ndio chaguo langu, hayo magenge ya ruzuku siyahitaji!
 
Hero, hakuna mahali nimeongelea "walaka." Kwa hiyo sina la kukujibu.
Hizo salamu zako za pasaka na maaskofu uliotaka uwe uthibitisho wa wananchi kudai tume wakati tayari ipo!
Afu nyie mnadhambi yaani mpaka mnawapuruta watumishi wa Mungu wawasaidie kufanya 'dirty works'! Mungu anawaona, shauri yenu!
 
Madaraka yako mikononi mwa umma, na serikali ya CCM ni wakala tu. Umma unaamua nani akalie ofisi ya uwakala na yupi asikalie. Badilisha mtazamo wako, halafu tujenge hoja zilizonyooka.
Bado ni yaleyale tu! Siasa!! Umma! siyo Umma! but (TPTB) = the power that be, Easy going ba-Tanzania? are walking dead,comfortably asleep and love it, hawajui why? hela zinapotengenezwa? hapo ndiyo umma wenu ulipo! (TPTB), chunguza Duniani kote, Umma wa Dunia uko hapo! mind you; mtizamo wangu kinzani, hau nyookei hapo kwako!

Tanzania/Africa siyo kisiwa, ipe Mapana na marefu yake, ukite kwenye mizizi ya tatizo, huyo wakala wenu, anajua mchezo na ana guts kuliko upinzani, na mizizi ya tatizo, wengi hamlijui, mnatupoteza maksudi kwa faida zenu! haka kajamaa ka Lisu kana jua mengi sana!

Mysterious Global Elites has been there for Decades, Deep state. they rule, and monopolizes all valuable resources on Earth that suit their needs! and no matter what may, they are chosen by blood to control the World Government..if you don't believe me just try to contest!

I think weye u miongoni wao, an expert in propaganda, twisting Languages which come across with the truth, na unakusanya opinion mkazifanyie kazi. Nchi inajengwa na mawazo kinzani, pasi na badili wakala hovyo. mfano, China. TPTB Hana nafasi kwao, yes! walijua kabla.

Sheria ya Historia iko ivi ''ukiruhusu kubadili wakala hovyo nchi haita stabilize'' ukitaka fanya lkn hapatakalika! sasa tufanye?... walevi watakubali! hawa TPTB ni fragile, wakala akikosea tu, wanatumia Umma unaodhania, NGO's pinzani zinaweza tumia mwanya huo! kuwa wakala.

THINK TANK tunajua mna nguvu tele, endapo mtajua umma wa kawaida unataka nin, mtajipachikiamo the same people! kwa hadaa ya ''mtoto wa mkulima'' au ooh! mimi mpinzani nataka mabadiliko!, ili mbakiemo, mfano kina Mabere Marando! Zitto! Mrema, Lowasa nk! km iktokea CCM kushindwa basi ni umma wa TPTB umeamua, kwa kutanguliza wanuka Moshi wa Mafuta ya Mienge!! wasiojua A'' wala B'' pa kuanzia ni Zanzibar!

Leo hii hkn Mwafrica atatumia nguvu ya Umma wao! kwa faida ya Mwafrica na akafanikiwa, mifano ni mingi! km ikitokea not in my watch! ....cause Peace is a battle, it's not won so easily, it demand humility, Sacrifices from every one, it requires strong committeemen and visionary political wills. hapa wapinzani puppets ni kinyume, huta fanya maamuzi ya tija kwa nchi yako bila Breton-wood institutions kukupa go ahead!

NGO's za Mkoloni mweusi, mlio wengi, wali/wana watumia, the so called ''Umma'' ili kupanda na kupata mafanikio kisiasa, kiuchumi, lkn mbinu na Mamlaka viko palepale!. kifupi! ukweli uko wazi ni fursa adimu kwao! na wewe umeona jicho la fursa! Ok! so nibadilishe mtizamo wangu, and you get what you want from me, in turn you will show me how stupid I'am!
 
Siasa ndivyo zilivyo! usipojua siasa, utahanagaika km hivi! ukikataa matokeo hujui siasa, hata kama tungekupa unachotaka kingepotea kirahisi, tungekupa kura zetu usingejua sababu ya wewe kuwapo pale, kifupi ungetusumbua! sasa tuwape wanaojua? au wasio jua?

Tujengee imani! msione aibu kukodi wanasiasa, anakushindisha akimaliza basi anaenda zake! atakuja tena ukimuhitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…