Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

Utumwa wa Tume ya Uchaguzi Tanzania: Wasemavyo Maaskofu wa TEC

Jambo la pili. Ni vigumu kujua ni kiasi gani cha mchango uliofanywa na Nyaraka hizo mbili, Kenya na Zambia katika kuleta matokeo ya chaguzi zao, mbali ya uhusika wa mambo mengine mbalimbali yaliyokuwepo katika nchi

Ufafanuzi: Ktk waraka huu ukiondoa orodha ya maaskofu na kufuta maneno BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA, halafu ukasoma maelezo yanayobaki, hakuna kitu kitakuonyesha kuwa huu ni waraka wa TZ. Inawezekana ni pengo la makusudi au vinginevyo.

So, nimezitaja nyaraka za kenya na zambia kama mkakati wangu wa kuweka transition kutoka ktk general christian grand narrative na kuingia ktk application yake kwenye nchi husika. Sina sababu ya kuweka details zaidi kama hizo unazozitaja.

Asante.
 
Ni maoni yangu kuwa kiasi cha TZS 1,000,000,000/= zinahitajika ili kufanikisha ajenda ya Tume Huru ya Uchaguzi. Yaliyotokea juzi wakati wa kulipa faini ya viongozi waliofungwa yanaonyesha kuwa Freeman Mbowe anao uwezo wa kutafuta fedha hizi kwa haraka. Tunaomba mchango wako Mhe. Ramark!
Nimesoma yote uliyoandika huko juu kumjibu aliyeleta maswali yake.

Jambo moja ni wazi kutokana na majibu yaliyotolewa.

Hii tayari ni April - ambayo pia itapita haraka sana kabla ya jambo lolote juu ya ajenda hii kufanyika.

Ningejua kiswahili chake fasaha ningekiandika: 'This is an exercise in futility.'

Hakuna mda kabisa mbali ya kuamua kuahirisha uchaguzi hadi hapo sheria itakapokuwa tayari.

Kama hilo la kuahirisha haliwezekani, ni bora CHADEMA waelekeze nguvu zao zote kwenye njia mbadala kuliko kuendelea na kazi hii itakayowapotezea wakati na kufifisha juhudi zao katika hiyo mipango mingine.
 
Ningejua kiswahili chake fasaha ningekiandika: 'This is an exercise in futility.'

I strongly disagree. Other things being equal, This is a fecund exercise. We only need 60 days to finalise the NEC reform project.
 
Mama Amon,
Samahani.
Nilishasoma mwanzo kabisa baada ya wewe kubandika hiyo mada na nikaacha maoni yangu juu yake hata kama sikuchangia kilichokuwemo.

Hebu fikiri - nitaweza vipi kujua niliyoandika hapo juu bila ya kusoma ulichoweka huko juu?

Umeghafirika. Najua unakinga kifua, lakini chukua mda kuelewa kilichoandikwa na wengine. Sio kazi rahisi kujibu hoja zote zinazotokana na mada uliyoiweka toka kwa wasomaji mbalimbali.

Nina hakika kabisa na nilichoandika hapo na sina sababu hata moja ya kufuta chochote.
 
I strongly disagree. Other things being equal, This is a fecund exercise.
Then let's agree to disagree, because it is almost a conviction, that to change the law at this point is an exercise in futility.
 
Kalamu1,
Nimekuuliza: unacomment kwenye bandiko lenye timestamp gani?

This is an academic exercise. Ukifanya review ya kitabu first edition wakati tayari kuna second edition hiyo ni exercise in futility, kama unavyopenda kusema.

Reference ipo, hujaiona, yet you cant show remorse! Sad.
 
Waraka wa TEC nimeshauweka ktk marejeo
Fair enough.
Naamin wapinzan wanamajibu mazur na ndiyo maana hakuna miswada
Wamekwishatambua haiwezekani katika hali iliyopo sasa.

Hakuwezi kuwepo na ushirikiano toka upande wa pili, usioona maslahi ya aina yoyote kwao.

Inashangaza kidogo kuona matumaini ya watu kwa jambo ambalo tokea mwanzo, hata kabla ya sababu ya kutokuwepo na wakati wa kutosha iliyopo sasa, wakifurahia uwezekana wa wasiopenda haya mabadiliko sasa ndio wawe waungamkono wa jambo hili.

Sijui sababu zitakazobadili msimamo wao huo zitakuwa ni zipi?
 
Kalamu1,
Mkuu kalamu1 msimamo wangu uko bayana, huwa siyumbi kwenye misimamo yangu. Sina tatizo kabisa na unachosimamia, na ninaheshimu kabisa mtazamo na kuheshimu mbinu unazopendekeza. Ila mimi bila tume huru ya uchaguzi, siko tayari kupoteza muda wangu kupiga kura.

Iwapo kutakuwa na jitihada zozote za kweli za kupata tume huru nitashiriki kwa uwezo wangu wote, lakini iwapo tume huru haitapatikana mimi na wengi wanaoamini ninachoamini hatutapiga kura. Siyumbi kwenye hili hata kwa ushawishi wa aina gani.
 
Kalamu1,
It harms little to give it a try, provided that time is not among the factors assumed to tip the scales toward an impossibility side.
 
tindo, Kushawishi watu Kutoshiriki upigaji kura hakujawahi kuiyumbisha CCM hata kidogo. Tuliona Zanzibar na pia uchaguzi wa serikali za mitaa, they don't care so long watajitangaza washindi. Njia pekee ni kusema #NoTumehuruNoUchaguzi.

Kuhakikisha hata ikibidi pachafuke, lakini uchaguzi usifanyike hadi tumehuru iwepo. Ni bora kuahirisha mchakato wa uchaguzi miezi sita kushughulikia tume huru kuliko kukubali miaka mitano ya utawala usio halali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkongwe Mzoefu,
Uhitaji wangu ili niweze kushiriki uchaguzi ni iwapo kutakuwa na tume huru kwa njia yoyote, tume hiyo ipatikane kwa hiari au kwa machafuko, ila sio kushiriki huku tume ikiwa sio huru. Sijali ccm kujitangaza washindi, lakini sio nikapange mstari wa kura kisha matokeo yachakachuliwe.
 
Then let's agree to disagree, because it is almost a conviction, that to change the law at this point is an exercise in futility.
Unajua historia ya mabadiliko ya katiba?

1995 mabadiliko ya uchaguzi WA madiwani ulifanywa wakati?

Nami niliamini hatuna muda ila nimefuatilia nimegundua even 30 days are enough to execute the project

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuendelee na darasa letu.

Mama amon
Hatuhitaji sheria au mswada WA kubadili sheria, kinachotakiwa ni kubadilishwa katiba basi.

Mabadiliko 12 ya katiba yalifanyika kabla ya uchaguz WA 1995 ni mawili pekee ndiyo yalifanyika baada ya uchaguzi ni mabadiliko yaliyobeba sura na ibara nyingi kidogo has a ya mwaka 2000 soma mabadiliko ya 13,ya mabadiliko ya nchi mwaka 2000

Hivyo mswada WA mabadiliko ya 15 ya katiba ya nchi ya mwaka 2020 kwa mixing at is muktadha wa madhumuni ya tume za kijaji zilizundwa pamoja na mabadiliko ya siasa ya karne 21. Uandaliwe hilo ndilo liwe jina LA mswada.

Serikali huwa inapokea maoni toka kwenye tume za kijaji ktk mabadiliko ya katiba sasa sijui ni nani atainitiate hili serikali kuwa tufanye table research ktk hizo tume za kijaji KISHA tupate mswada utakaopelekwa na notisi ya serikali baada ya kujadiliwa na baraza LA mawaziri kwenye bunge ili kupitisha KISHA raisi kusainiwa na kuanza kutumika Siku inayofuatwa.

Au ipelekwe bungeni na mtindo WA Members Motion? Je, itakubalika.


Ebu tuendelee kutafuta mbinu ya kuingiza mswada huu bungeni kupitia hizo njia mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu WA ibara ya 98:1(a na b) NEc si lazima ipate kura theluthi mbili ya wabunge ili ipite.

Ibara ya 99 na ibara ndogo na vifungu vyake bado vinatoa mbunge kupeleka hoja hii bungeni bila wazir kuipeleka hivyo, tunachohitaji wabunge wàamue mabadiliko haya pamoja na mbadiliko mengine yatakayogusa bunge na watu wake ili iwe na mvuto kwa wabunge ili hoja hii itazamwe kitaifa.

Kazi iliyopo ni watafutwe wabunge vinara 150 ili waibebe hii ajena ili kutafuta nayeye kura ya mbunge mmoja
Hapo sasa ni lobbying na ujasusi ndiyo utumike kupitisha haya mabadiliko ya katiba na masharti yaliyomo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile hukumu haijafa .hukumu ya bob chacha wangwe imefubazwa tu haijafa ile.hata kenya walipita tunapopita mpaka palipo.japo wao model yao haikuwa passive kama yetu
Makala nzuri sana, nilishangazwa sana na uamuzi wa mahakama ya rufani wa kuifuta hukumu ya mahakama kuu iliyopiga marufuku wakurugenzi wa halmashauri na miji kuwa wasimamizi wa uchaguzi.

Tume haiko huru kabisa, mbali na mwenyekiti wa tume kuna mtu anaitwa mkurugenzi wa uchaguzi wa tume, huyu pia ni mteule wa rais na ndio bwana mipango wa kuiba kura.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama Amon,
Watu wanafikiri tume ya uchaguzi inaundwa na watu wasiyotoka kwenye jamii.

Ni vigumu kwa jamii isiyo na elimu na uelewa wa mambo kutenda haki.

Yako mazingira mengi sana yanayokwamisha ufalme wa Mungu.

Mazingira haya yanaanza chini kabisa ngazi ya familia na yanapanuka mpaka ngazi ya utawala na mamlaka.

Tazama kwa mfano, mfumo wa ndoa katika jamii zetu ; utaona unapinga ufalme wa Mungu.

Familia ambayo ndiyo kilele cha jamii na taifa yenyewe inapinga ufalme wa Mungu ; je hiyo inaweza kutenda au kusimamia haki?

Ninachotaka kusema hapa ni kuwa tunataka maendeleo, lakini hatujui nini tufanye ili tupate maendeleo.

Makosa yetu yako kwenye ndoa na familia. Hapa ndipo ufalme wa Mungu unapingwa vikali.

Hizi taasisi au mamlaka, mathalani tume ya uchaguzi zinaaksi mfumo wa ndoa na familia zetu.

Ukweli ni kwamba hakuna chama chochote cha siasa au tume ya uchaguzi inayoweza kubadilisha matokeo ya uchaguzi kama jamii husika ina elimu na uelewa wa mambo.

Ukitazama kwa mfano, sheria mama na sheria zingine zinavyosema juu ya tume ya uchaguzi, mtu makani anaelewa kabisa jamii hii elimu, uelewa wake wa mambo ni wa chini kabisa au haupo.

Tusifikiri makosa yako kwenye tume ya uchaguzi katika kufanya ufalme wa Mungu usifike. Kosa letu kubwa ni mfumo wa ndoa na familia turudi huko turekebishe na ufalme wa Mungu utafika.
 
It harms little to give it a try, provided that time is not among the factors assumed to tip the scales toward an impossibility side.
On the contrary.
It harms a lot for CHADEMA diluting its meagre energy on an issue that has little success, especially with the little time remaining.
 
Back
Top Bottom