Utunzaji wa nywele za asili

Utunzaji wa nywele za asili

Haya ninayoyaandika nimefanya mimi na nikaona matokeo yake ndani ya mwezi tu matumizi ya hinna ya unga na mayai.

Kila baada ya siku nne uwe na utaratibu wa kupakaa mchanganyiko wa hina na mayai, iwe na paste nzito kiasi, upake katika mizizi ya nywele, ukimaliza kupaka nywele zifunike kwa mfuko maalum ili zipate joto kwa muda wa masaa mawili,

Baada ya hapo zioshe kwa maji na shampoo, lakini maji yawe ya baridi yasiwe ya motooo au vuguvugu, yani yawe maji ya kawaida. Baada ya kuziosha zikaushe kwa taulo

NB: Nywele hazichanwi zikiwa na maji zimerowa kwani zitasababisha kung'oka kwa nywele na kusababisha upunguf wa nywele. Nywele zikishakauka. Paka mafuta ya nazi, au your favourate muhimu upake katika mizizi ya kichwa.

Na wakati unapaka mafuta kichwani kichwa kiinamishe chini, kiangalie chini ndio upake mafuta kichwa chako husaidia msukumo wa damu kufikia katika kichwa vizuri na kupata stimulation kwa kutumia ncha za vidole huku ukifanya massage kichwa taratibu kwa mda wa dakika tano, ukimaliza anza kuzichana taratibuu mpaka zilainike na uzibane.

NB: Jaribu kwa siku uchane nywele mara mbili asbuh na jion, na nywele muda wote ziwe zenye mafuta. jizoeshe kufanyia massage kichwa chako kila wakati unaopaka mafuta kichwani.

Uhai wa nywele ni mafuta kama ilivyo uhai wa binadamu utakuepo iwapo kuna maji.
 
Nywele zako zina dawa au ni asili??
Kama ni asili je asili gani?
Muafrika, muhindi, muarabu
Ili tujue tunaanzia wap
Nywele zangu za asili,mwarabu,but hio mask inatumika kwa yyte yule na matokeo ni ayoayo,mm nlikua nina nywele mwisho chini ya maskio tu coz nlizikata,nlipoanza io mask na kumasage kichwa kila siku ,ndani ya mwaka tu asaiv zimefika chini ya makalio,so every months ilikua inaleta mabadilko makubwa.alaf ukianza kufanya io mask yani huwez kujiona kama zinakua ila waliokua pemben yako ndo wataona mana,inakuza na kujaza nywele kwa kasi,hina inasaidia kukaza mizizi ya nywele kukatikakatika(kung'oka)mayai yana protein yanasaidia ktk ukuzaji wa nywele .
 
Mayai yanakazi gan kwenye nywele
Kiini cha yai kina sulphur ina stimulate(kusisimua)mizizi ya nywele na kuongeza ukuaji wa nywele.
Ute wa yai ndio protein yenyew ambayo inasaidia mizizi ya nywele kua imara ktk kuzuia ung'okaji wa nywele pia inamadini mengine ambayo inasaidia nnywele kutotoka toka.kwaio yai inaimarisha mizizi ya nywele na kuleta ukuaji mzuri wa nywle
 
Nywele zangu za asili,mwarabu,but hio mask inatumika kwa yyte yule na matokeo ni ayoayo,mm nlikua nina nywele mwisho chini ya maskio tu coz nlizikata,nlipoanza io mask na kumasage kichwa kila siku ,ndani ya mwaka tu asaiv zimefika chini ya makalio,so every months ilikua inaleta mabadilko makubwa.alaf ukianza kufanya io mask yani huwez kujiona kama zinakua ila waliokua pemben yako ndo wataona mana,inakuza na kujaza nywele kwa kasi,hina inasaidia kukaza mizizi ya nywele kukatikakatika(kung'oka)mayai yana protein yanasaidia ktk ukuzaji wa nywele .
Napenda sana nije nimuoe mwarabu.
 
Haya ninayoyaandika nimefanya mm na nkaona matokeo yake ndani ya mwezi tu....matumizi ya hinna ya unga na mayai..

Kila baada ya siku nne uwe na utaratibu wa kupakaa mchanganyiko wa hina na mayai, iwe na paste nzito kiasi, upake ktk miziz ya nywele, ukimaliza kupaka nywele zifunike kwa mfuko maalum ili zipate joto kwa muda wa masaa mawil,

baada ya hapo zioshe kwa maji na shampoo, lkn maji yawe ya baridi yasiwe ya motooo au vuguvugu, yani yawe maji ya kawaida.
Baada ya kuziosha zikaushe kwa taulo

NB.. Nywele hazichanwi zikiwa na maji zimerowa kwani zitasababisha kung'oka kwa nywele na kusababisha upunguf wa nywele.
Nywele zikishakauka. paka mafuta ya nazi, au your favourate muhimu upake ktk mizizi ya kichwa .

Na wakati unapaka mafuta kichwan kichwa kiinamishe chini ,kiangalie chini ndio upake mafuta kichwa chako husaidia msukumo wa damu kufikia ktk kichwa vizuri na kupata stimulation kwa kutumia ncha za vidole huku ukifanya massage kichwa taratibu kwa mda wa dakika tano.ukimaliza anza kuzichana taratibuu mpk zilainike na uzibane.

NB.. Jaribu kwa siku uchane nywele mara mbili asbuh na jion, na nywele muda wote ziwe zenye mafuta. jizoeshe kufanyia massage kichwa chako kila wakat unaopaka mafuta kichwan.
Uhai wa nywele ni mafuta kama ilivo uhai wa binadamu utakuepo iwapo kuna maji.
Hivi mnapesa za kuchezea? Nywele nyingi huongeza matumizi ya sabuni buaana eeh!!!
 
Arabian queen

Mbona unajihangaisha sana kwa mayai na ghasia zote hizo? Aunt Zainab ana udongo wake wa ajabu sana, unapaka tu kichwani kama conditioner na matokeo yake kuanzia siku ya kwanza ni ajabu kabisa. Nywele zinaacha kukatika, nywele zinakuwa na nguvu na zinaota kwa kasi ya ajabu, hata kama ulikuwa na kipara cha madawa ya nywele zinarudi, jionee: Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay

Halafu hilo jimama la ki Tamim, jiarabu lenzako hilo.

Pia udongo wake kwenye ngozi ndiyo funga kazi. Kuliko liwa kuliko dawa yoyote ile ya ngozi.
 
Back
Top Bottom