Arabian queen
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 2,557
- 4,824
Sio waarab wote wanatumia izo misk na shabu,waliosoma wanajua madhara yake.aya nitakuja kuchukua na misk na shabu waarabu mna mambo nyie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio waarab wote wanatumia izo misk na shabu,waliosoma wanajua madhara yake.aya nitakuja kuchukua na misk na shabu waarabu mna mambo nyie?
anapatikana wapi? na mjamzito anaruhusiwa kutumia?
Hamna mila iyo ya kusihi ukweni.mm mwarabu lkn sjawah kuskia io hoja.waarabu ni kama watu wengine tu,kinachotizamwa ni dini tukwanza ukubali kuishi ukweni
ni kweli misk inaondoa nuksi?Sio waarab wote wanatumia izo misk na shabu,waliosoma wanajua madhara yake.
asante sana ngoja nichanganye udongo na hii ya huyu mdau sijui hinna nione matokeoMpigie umuulize 0769302206
asante sana ngoja nichanganye udongo na hii ya huyu mdau sijui hinna nione matokeo
inshalah kesho nazama kariakoo shimoni .napenda vitu natural sana .hizi cosmetic za mchina ovyo sana watu wanachanika tu ngozi.watanzania tu wajinga sana.Mungu katupa ngozi nzuri tunaziharibuHahahaha
Jaribu utupe mrejesho.
Binafsi nnautummia sana huu udongo, yaani kila wiki mara moja nnafanya mud bath kwa udongo wa Bi Zainab, nnajisiriba mwili mzima siachi sehemu.
kipilipili kitarefuka kweli?H
hee kumbe udongo wa ktk nywele bado siijui ntaifollow io link niicheki,but huo wa usoni ninao ndo ninaotumia.
eti kusuka huwa kunarefusha nywele? unaweza kurefusha nywele bila kusuka?Hamna mila iyo ya kusihi ukweni.mm mwarabu lkn sjawah kuskia io hoja.waarabu ni kama watu wengine tu,kinachotizamwa ni dini tu
kipilipili kitarefuka kweli?
nmesahau kuandika,ndio kusuka kunarefusha nywele,mm pia nasuka.eti kusuka huwa kunarefusha nywele? unaweza kurefusha nywele bila kusuka?
H
hee kumbe udongo wa ktk nywele bado siijui ntaifollow io link niicheki,but huo wa usoni ninao ndo ninaotumia.
zitakua normal tu hazibadiliki,hata zikibadilika itakua kdg snNywele c ztabadlka rang xx o
Nywele c ztabadlka rang xx o
hinna si inabadili rangi ya nywele?Hhhh alag nme
nmesahau kuandika,ndio kusuka kunarefusha nywele,mm pia nasuka.
Hina ile fresh ya unga,mm natumia lkn naona haijanibadilisha,mra nyingi nywele zinabadilika pale ukimaliza kutia hinna,alaf ukaziacha nywele kavu,ndo hua zinabaki na rangi kwa mbali,ukipendelea mafuta ktk kichwa inakua mara chache snhinna si inabadili rangi ya nywele?