KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
Mkuu sijakusoma.Hauna vigezo.
Ka ni ivo, bora nijivue pendo.kwanza ukubali kuishi ukweni
hinna si inabadili rangi ya nywele?
NdioNywele zako zikiwa nyeusi haibadili, kama una mvi itabadili zitakuwa nyekundu.
Welcome dearAsante kwa somo lako zuri.Wengi watapata faida.
ShukraniWelcome dear
Aunt Zainab yupi mwenzenu napenda nywele zangu niko tayari kuziangaikia balaa ila siweki dawa kabisa
Kajaribu dear uo udongo wa nwyle ukipata results nijulishe nkirudtz na mm niununueAsante sana FaizaFoxy
Huku nliko nanunua supermaket tu upo special ktk mapaket yake,kwa tz sehem nyngi i hope upo sjajua sehem gani but wapatikana uko.Hina ya Unga napata wapi my dear ?
Arabian queen
Kweli? Huachi sehemu? Hata kwa bi Faiza?Hahahaha
Jaribu utupe mrejesho.
Binafsi nnautummia sana huu udongo, yaani kila wiki mara moja nnafanya mud bath kwa udongo wa Bi Zainab, nnajisiriba mwili mzima siachi sehemu.
Kweli? Huachi sehemu? Hata kwa bi Faiza?
Unapatikana wap uo udongoKwa udongo wa Aunt Zainab nnauhakika zinarefuka, labda ziwe mbirikimo.
Shukran Da' Faiza.Ngoja nimtafute huyo seller labda kipilipili changu kitafika had kiunoni [emoji1] [emoji1]Arabian queen
Mbona unajihangaisha sana kwa mayai na ghasia zote hizo? Aunt Zainab ana udongo wake wa ajabu sana, unapaka tu kichwani kama conditioner na matokeo yake kuanzia siku ya kwanza ni ajabu kabisa. Nywele zinaacha kukatika, nywele zinakuwa na nguvu na zinaota kwa kasi ya ajabu, hata kama ulikuwa na kipara cha madawa ya nywele zinarudi, jionee: Unatokwa na nywele? Una kipara? Jionee maajabu ya Aunt Zaynab's Natural Super Clay
Halafu hilo jimama la ki Tamim, jiarabu lenzako hilo.
Pia udongo wake kwenye ngozi ndiyo funga kazi. Kuliko liwa kuliko dawa yoyote ile ya ngozi.