JINSI YA KUTENGENEZA SHAMPOO YA KUKUZA NYWELE HARAKA NA KUFANYA ZIWE NA AFYA.
vifuatavyo ni vitu vya asili ambavyo utachanganya vyote kupata shampoo yako.
1. ALOVELA GEL
Chukua ute WA alovera vijiko kadhaa weka kwenye chupa yako. Tikisa vizuri
Alovera inatabia ya kuifanya nywele ikue haraka, iwe yeñye afya, inaondoa mba na muonekano WA asili zaidi.
2. ASALI
Inatabia ya kupambana na bacteria na fangasi wanakua kwenye nywele hivyo kuondoa miwasho kwenye nywele, inasaidia nywele zilizokatika zijae vizuri na kukua Kwa haraka. Lakini pia inasaidia nywele kua na harufu nzuri na kua laini ya kupendeza.
Ongeza vijiko kadhaa kwenye mchanganyiko wako WA alovera
3. MAFUTA YA MNYONYO( CUSTOR OIL)
Ni moja ya mafuta mazuri Sana Kwa nywele , yanafanya nywele kua nzito, kukua haraka na kusaidia nywele iliyonyonyoka.
Pia ongeza vijiko kathaa vya mnyonyo kwenye mchanganyiko wako na tikisa vizuri
4. NDIMU
Ukitaka nywele yako ing'ae Kwa mda mfupi na kukua haraka basi kwenye shampoo yako isikose ndimu. Tumia ndimu mbili kubwa kuongeza kwenye mchanganyiko wako WA shampoo na uanze kuona matokeo kuanzia week mbili.
5.MAJI YA UA ROSE
Haya yataifanya nywele yako inukie vizuri, lakini pia inasaidia kupambana na mba. Hufanya maotea ya nywele kukua vizuri na kua na nguvu. Ongeza vijiko vichache kwenye mchanganyiko wako.
KUMBUKA
sio lazima kua na vitu vyote hivyo Kwa wakati mmoja. Vichache utakavyopata vinatosha kutengeneza shampoo(sabuni ya nywele)
vifuatavyo ni vitu vya asili ambavyo utachanganya vyote kupata shampoo yako.
1. ALOVELA GEL
Chukua ute WA alovera vijiko kadhaa weka kwenye chupa yako. Tikisa vizuri
Alovera inatabia ya kuifanya nywele ikue haraka, iwe yeñye afya, inaondoa mba na muonekano WA asili zaidi.
2. ASALI
Inatabia ya kupambana na bacteria na fangasi wanakua kwenye nywele hivyo kuondoa miwasho kwenye nywele, inasaidia nywele zilizokatika zijae vizuri na kukua Kwa haraka. Lakini pia inasaidia nywele kua na harufu nzuri na kua laini ya kupendeza.
Ongeza vijiko kadhaa kwenye mchanganyiko wako WA alovera
3. MAFUTA YA MNYONYO( CUSTOR OIL)
Ni moja ya mafuta mazuri Sana Kwa nywele , yanafanya nywele kua nzito, kukua haraka na kusaidia nywele iliyonyonyoka.
Pia ongeza vijiko kathaa vya mnyonyo kwenye mchanganyiko wako na tikisa vizuri
4. NDIMU
Ukitaka nywele yako ing'ae Kwa mda mfupi na kukua haraka basi kwenye shampoo yako isikose ndimu. Tumia ndimu mbili kubwa kuongeza kwenye mchanganyiko wako WA shampoo na uanze kuona matokeo kuanzia week mbili.
5.MAJI YA UA ROSE
Haya yataifanya nywele yako inukie vizuri, lakini pia inasaidia kupambana na mba. Hufanya maotea ya nywele kukua vizuri na kua na nguvu. Ongeza vijiko vichache kwenye mchanganyiko wako.
KUMBUKA
sio lazima kua na vitu vyote hivyo Kwa wakati mmoja. Vichache utakavyopata vinatosha kutengeneza shampoo(sabuni ya nywele)