Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Unajua unafiki ndio mlionao.
Kila siku mimi huwa nawaambia kuwa harakati zenu sio za ukombozi wa haki au usawa bali ni za itikadi, itikadi za kitapeli.
Uturuki amerusha makombora huko Syria kurudisha mashambulizi kama vile Israel anavyofanya akichokozwa. Ila macho yenu yote yamekaa Israel, kwa maana basi tu mna chuki na wale wasio fanana na nyie.
Kila siku mimi huwa nawaambia kuwa harakati zenu sio za ukombozi wa haki au usawa bali ni za itikadi, itikadi za kitapeli.
Uturuki amerusha makombora huko Syria kurudisha mashambulizi kama vile Israel anavyofanya akichokozwa. Ila macho yenu yote yamekaa Israel, kwa maana basi tu mna chuki na wale wasio fanana na nyie.