Shida ipo sana tu,ila huwezi fananisha na cross border conflicts.Kwenye internal conflicts wanawake na Watoto wakifa hakuna shida?
Bro kwani shida ya wa Kurd ni nn? ?Wakurdi ni wakorofi sana.
Wanasabisha mauaji IRAN,IRAQ,SYRIA na UTURUKI.
Hao hawafai hata kuonewa huruma,hadi sasa wanavuruga amani katika mataifa manne.
Mbaya zaidi wanatumika hata na mataifa hasimu mathalan Israel inawatumia sana wakurdi kuitibu Syria na Iran.
Hahaha kwenye post yangu umesoma neno SUDAN?Wewe ndio usome kuelewa nadhani wewe ndio hujaelewa .
Anachokifanya uturuki kwa wakurd si ndicho anafanya Israel kwa Hamas na Hizbullah,sasa mbona hauko upande wa wakurdi kama ulivyo lwa hamas,houthi na hizbullah?Propaganda uchwara zitawapeleka wapi?
We mleta mada nani kakwambia wanaopigana ni Syria na Uturuki!?
Uturuki imejibu shambulizi la Kurdish PKK group, aliyeshambulia ni kurdi sio serikali ya Syria.
Na kama haujui Syria ilishatoa authority ya Uturuki kushambulia maeneo yeyote ambao Kurdi wapo,maana kurdi ni chanzo moja wapo cha kuharibu amani Syria.
Uturuki haijawahi kuacha mtu asiye na hatia akahangaika,hao wote watafikiwa na misaada inayostahili.
Hadi Sasa Uturuki ime host more than 2 millions Syrians Kusini mwake,na kuna hadi mji unaitwa LITTLE DAMASCUS ndani ya UTURUKI. Hiyo yote ni kuwasaidia wasyria wanaopitia changamoto za vita.
Hizi habari za propaganda hazitawafikisha popote, uzuri mnaongea na watu wanaojielewa
Kurdi ni kabila miongoni mwa makabila ya kiajemi toka enzi zile za uajemi/Anatolia.Bro kwani shida ya wa Kurd ni nn? ?
Matakwa yao ni yapi mpaka wanaonekana ni wabaya kwanzia turkey Syria na Iraq???
Kitu gani wanachokosea Ambayo ww unaona wapo wrong huku Palestine wapo sawa?
Kurdish nao wanapambania Uhuru wao (Kurdistan) ambao huku Palestine unasema ni freedom fighters uku ni magaidi hahaha why mnakua na double standard za kijinga?
Palestina ni taifa sio kabila.Anachokifanya uturuki kwa wakurd si ndicho anafanya Israel kwa Hamas na Hizbullah,sasa mbona hauko upande wa wakurdi kama ulivyo lwa hamas,houthi na hizbullah?
*Indonesia.Waislamu wakikaa bila kuuana,au kutesana sidhani kama huwa wana pata utulivu huko kwenye mafuvu yao.
Dini ya MNYAZI Mungu.
Tena cha kuongezea,hawajaridhika kuleta fujo katika mataifa manne Uturuki,Syria,Iran na Iraq bali wanahusika na kutumiwa na Mossad ku destabilize serikali ya Iraq na Syria,pia wanahusika na matukio kibao ya kushambulia Iran kwa suicide bombing hususan Baluchistan province.Anachokifanya uturuki kwa wakurd si ndicho anafanya Israel kwa Hamas na Hizbullah,sasa mbona hauko upande wa wakurdi kama ulivyo lwa hamas,houthi na hizbullah?
Uko very shallowKurdi ni kabila miongoni mwa makabila ya kiajemi toka enzi zile za uajemi/Anatolia.
Palestina ni taifa lenye makabila linalopambania uhuru wake.
Kurdi wanapostahili kukaa ni Iran,kwanini wanaleta fujo Iraq,Syria na Uturuki!?
Kama wanataka ardhi si wangejikita Iran!?
Tena ni kabila moja linaleta fujo.
Kabila moja unaleta fujo mataifa manne mazima!??
Hahaha you know nothing Jon snowPalestina ni taifa sio kabila.
Kurdi ni kabila,kurdi ardhi yake ni IRAN SIO UTURUKI.
KWANINI ALETE FUJO UTURUKI,SYRIA,IRAQ!?
JE Palestina Kuna sehemu ameleta fujo zaidi ya kudai ardhi aliyoikalia Israel!??
Mbona mnaongea mkiwa hamuna ujuzi wa mambo!??
Embu ongeeni mkiwa na utafiti.
Huyo Bashar Al Assad mwenyewe alishakubali Uturuki kuwashambulia kurdi kwasababu kurdi ni moja wapo ya vikundi vilivyosababisha kuvunjika Kwa Syria.
Wewe na Assad nani anajua zaidi!?
Ardhi yao Iko Iran lile ni kabila la kiajemi kwanini lilete fujo hadi Iraq na Uturuki na Syria nchi ya kiarabu?
ππππππππUmejitia kidole mwenyewe.Uko very shallowView attachment 3156994
Nakupa hint tu nenda kaifuatilie historia kuanzia kuja kwa jamii ya turkmeni kutoka Central Asia kuja Persian gulf /Anatolia hadi kuanzishwa Kwa Ottoman Empire.Hahaha you know nothing Jon snow
Hahaha inafurahisha sana kwa mjinga kujifanya mwerevu hahaha nilikwambia Soma kuelewa sio kuuliza.ππππππππUmejitia kidole mwenyewe.
Unajua historia ya hayo maeneo kabla hayajawa hivyo!??
Unajua hiyo Kurdistan imezukaje hapo!?
Nipe jibu kwanza maana naona naongea na mtu MJUAJI ASIYE NA KITU KICHWANI.
Soma koment yako apo juu harafu uje usome hii koment utajua unakosea wapiNakupa hint tu nenda kaifuatilie historia kuanzia kuja kwa jamii ya turkmeni kutoka Central Asia kuja Persian gulf /Anatolia hadi kuanzishwa Kwa Ottoman Empire.
Hadi Ottoman Empire kuvunjika Kuna jamii mbili ziliruhusiwa kuanzisha taifa ambazo ni ARMENIA NA AZERBAIJAN.
Kwanini Kurdi walikataliwa kuunda taifa!?
Umejiuliza kwanini!??
Nimeongea kauli jumuishi maana Kuna mwenzako alitoa mfano wa Sudan ilhali Sudan Kuna waislam pia.Hahaha kwenye post yangu umesoma neno SUDAN?
Aiseeee shule wewe ulienda kusomea ujuha ama!?Hahaha inafurahisha sana kwa mjinga kujifanya mwerevu hahaha nilikwambia Soma kuelewa sio kuuliza.
Una shida katika akili.Soma koment yako apo juu harafu uje usome hii koment utajua unakosea wapi
Umeshindwa ata kusoma ramani mkuu?? Hahaha very funAiseeee shule wewe ulienda kusomea ujuha ama!?
Hiyo ramani uliyoleta wewe ulikusudia nini!?
Au unaanza kupinga ulichokileta!?
Dumb ass .
Okay twende taratibu,wewe ulikusudia nini kuleta hiyo map!??Umeshindwa ata kusoma ramani mkuu?? Hahaha very fun