National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Binadamu tuna ubinafsi sana💯
Ukizingatia mipaka tumeichora wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu tuna ubinafsi sana💯
Ukizingatia mipaka tumeichora wenyewe
Hao raia nchi zingegawana tu waachie hicho kipande kifanye kinavyotakaBinadamu tuna ubinafsi sana
Watubu kwa nani? Hayo ni majanga ya kawaida tu.Waache kuungeza maumbile ya wanadamu. #Matako #Matiti
Kama Nchi wanatakiwa watubu
Pamoja na Haiti, Iran, Marekani na New Zealand. Hasa Haiti kila mwaka lazima tetemeko lipite. Lile la 2010 karibu 1 million walipoteza maisha.Uturuki, Japan, Indonesia zipo kwenye fault lines.
Fikiria Trauma tu wanayopitia. Hakuna hali mbaya kwa mtu kuishi kwa hofu. Nimeona picha ya mama flani wa Uturuki Aljazeera alivyokuwa dah Mungu awatangulie.Ingekuwa kuna kuhama nchi, wangekuja kuishi hata Tanzania. Mungu awape faraja na amani
Dah!...Mungu awalinde
Halafu kuna maeneo yamejaa binadamu wajinga kupita maelezo.Morocco nayo ipo ukanda wa matetemeko ya ardhi. Hii dunia ilivyo, kuna maeneo mengine ni vimbunga, mengine ni ukame, volcano na mafuriko. Kuna maeneo maeneo mengine ya dunia hata hali ya hewa ni nzuri ajabu
Unapo muweka Mungu katika Sentensi yako ujue unazungumzia maswala ya Imani hivyo hakikisha unaelewa hiloMungu wako ni sadist?
Maswala ya imani yanampa authority Mungu mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye mabalaa kama haya?Unapo muweka Mungu katika Sentensi yako ujue unazungumzia maswala ya Imani hivyo hakikisha unaelewa hilo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio sababu hata hayo mabalaa niupendo mkubwa piaMaswala ya imani yanampa authority Mungu mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye mabalaa kama haya?
Ndio lengo la ulimwengu hiloMaswala ya imani yanampa authority Mungu mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye mabalaa kama haya?
Ndio sababu hata hayo mabalaa niupendo mkubwa piaMaswala ya imani yanampa authority Mungu mwenye upendo wote kuumba ulimwengu wenye mabalaa kama haya?
Yaani hayo ya kujirudia ni lazima, hawawezi pigwa na tetemeko kubwa na madogo yasifuate au mitikisiko mingine midogo isifuate. Uwa ni kawaida.BBC Swahili wamepost muda huu kuwa Uturuki na Syria zimekumbwa tena na tetemeko muda huu
Habari zaidi zinakuja
View attachment 2524377
====
Siku 14 tangu kutokea kwa Tetemeko la Ardhi lililoua zaidi ya Watu 47,000, taarifa mpya ni kuwa kumetokea Matetemeko mengine mawili kwenye Miji ya Antakya na Adana na Mpakani mwa Nchi hizo.
Taarifa za awali zinaeleza kuwa majengo kadhaa yameharibiwa katika miji hiyo ingawa bado hakuna ripoti haraka za madhara kwa Binadamu.
Kwa mujibu wa Mamlaka, ndani ya wiki 2, yamerekodiwa Matetemeko zaidi ya 6,000 baada ya Tetemeko la awali lililosababisha madhara kwenye Nchi za Syria na Uturuki.
Kuhusu Ripoti za Tetemeko la kwanza lililotokea Febuari 6, 2023, soma: LIVE - UPDATE: Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia
SadistNdio sababu hata hayo mabalaa niupendo mkubwa pia