Uturuki na Syria zapigwa tena na Matetemeko ya Kipimo cha Richa 6.4 na 5.8

Uturuki na Syria zapigwa tena na Matetemeko ya Kipimo cha Richa 6.4 na 5.8

Morocco nayo ipo ukanda wa matetemeko ya ardhi. Hii dunia ilivyo, kuna maeneo mengine ni vimbunga, mengine ni ukame, volcano na mafuriko. Kuna maeneo maeneo mengine ya dunia hata hali ya hewa ni nzuri ajabu
Halafu kuna maeneo yamejaa binadamu wajinga kupita maelezo.
 
BBC Swahili wamepost muda huu kuwa Uturuki na Syria zimekumbwa tena na tetemeko muda huu

Habari zaidi zinakuja
View attachment 2524377

====

Siku 14 tangu kutokea kwa Tetemeko la Ardhi lililoua zaidi ya Watu 47,000, taarifa mpya ni kuwa kumetokea Matetemeko mengine mawili kwenye Miji ya Antakya na Adana na Mpakani mwa Nchi hizo.

Taarifa za awali zinaeleza kuwa majengo kadhaa yameharibiwa katika miji hiyo ingawa bado hakuna ripoti haraka za madhara kwa Binadamu.

Kwa mujibu wa Mamlaka, ndani ya wiki 2, yamerekodiwa Matetemeko zaidi ya 6,000 baada ya Tetemeko la awali lililosababisha madhara kwenye Nchi za Syria na Uturuki.

Kuhusu Ripoti za Tetemeko la kwanza lililotokea Febuari 6, 2023, soma: LIVE - UPDATE: Tetemeko kubwa lazikumba Uturuki na Syria. Watu zaidi ya 36,257 Wafariki Dunia
Yaani hayo ya kujirudia ni lazima, hawawezi pigwa na tetemeko kubwa na madogo yasifuate au mitikisiko mingine midogo isifuate. Uwa ni kawaida.
 
Back
Top Bottom