Uturuki na Syria zapigwa tena na Matetemeko ya Kipimo cha Richa 6.4 na 5.8

Uturuki na Syria zapigwa tena na Matetemeko ya Kipimo cha Richa 6.4 na 5.8

Kwako

Ila Muumba anaupendo waajabu sanaaaaa
Hiyo ni logical contradiction

Hakuwezi kuwa na baba mwenye upendo wote kwa watoto zake ambaye yuko tayari kufanya kila awezalo kuhakikisha watoto wanakuwa salama

Halafu on other hand ukamuona anawafungia watoto wake kwenye chumba chenye wanyama wakali wakutisha kama mamba na mijoka yenye sumu kali

Mtu aliyekuambia mzazi huyo anaupendo sana kwa watoto zake huwezi kushawishiwa na kauli yake hata akisema hiyo ni kwako
 
Then mtu anakuja anakuambia Mungu kaumba ulimwengu bora kwa binadamu kuishi na anaupendo wote
Tuanze kwanza na wewe, unawapenda jirani zako
Lini umejinyima kidogo , ili mwanadamu mwingine kama wewe apate
Lini umetoa sehemu ya pesa yako ya starehe , ukaenda kumchangia mtu aliyeshindwa kulipa bill hospitali

Kama umeshindwa kufanya haya , unataka ukaribu na MUNGU wa nini?
MUNGU anahitaji kuwa karibu na wanadamu wenye tabia kama zake ,
 
Zimwi likujualo, Halikuli lika kwisha.

Uturuki itakuwa ni Fault line ya Earthquake.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile
Muda wa hayo matetemeko yanapotokea ni dalili mbaya kwa watu wake kwamba ni adhabu.Watakuwa wamepindukia kwenye maasi fulani.Hakuna cha fault line.
 
Tuanze kwanza na wewe, unawapenda jirani zako
Lini umejinyima kidogo , ili mwanadamu mwingine kama wewe apate
Lini umetoa sehemu ya pesa yako ya starehe , ukaenda kumchangia mtu aliyeshindwa kulipa bill hospitali

Kama umeshindwa kufanya haya , unataka ukaribu na MUNGU wa nini?
MUNGU anahitaji kuwa karibu na wanadamu wenye tabia kama zake ,
Mimi sina upendo wote, nina mapungufu mengi

Sina uwezo wote wa kuwafanya majirani zangu wapate mahitaji kulingana na matamanio yao

Mungu hana sababu ya kushindwa kufanya hayo
 
Mimi sina upendo wote, nina mapungufu mengi

Sina uwezo wote wa kuwafanya majirani zangu wapate mahitaji kulingana na matamanio yao

Mungu hana sababu ya kushindwa kufanya hayo
Skia, Boss kutoa ni moyo si utajiri

Kile kidogo ulicho nacho ukishindwa kukitumia , Basi kikubwa ndo itakuwa ngumu kabisa (utakuwa mbinafsi zaidi )

Mfano: Baba alitoa chungwa kwa mtoto wake mkubwa(kaka) , ila wale wadogo hakuwapa kwa makusudi - ili aone kama atagawia wenzake
 
Then mtu anakuja anakuambia Mungu kaumba ulimwengu bora kwa binadamu kuishi na anaupendo wote
Utalaumu Hadi jua Kali na mafuriko, Mungu kakuumba hakukuacha Kama jiwe alikupa akili upambane na mazingira
 
Hii kitu isikieni tu wakuu,juzi nilikuwa Dodoma kwenye mjengo mmoja wa ghorofa na nguzo za zege za maana sana,yani lilipopiga niliona zinacheza kama makaratasi,nikasema kumbe humu duniani hakuna kitu kigumu...
 
Hii kitu isikieni tu wakuu,juzi nilikuwa Dodoma kwenye mjengo mmoja wa ghorofa na nguzo za zege za maana sana,yani lilipopiga niliona zinacheza kama makaratasi,nikasema kumbe humu duniani hakuna kitu kigumu...
Kitunkigumu hakiwezi kuwa kigumu ikiwabkimewekwa kwenye kitu kinacho weza kutikisika, kuchanika, kujitutumua na kufanya mawimbi na nyufa.

Tetemeko zito likipiga wakati unatembea hata motion yako inabadilika ni kama mawimbi ya bahari yanavyotembea mbele na kurudi nyuma. Sasa hapo hata kama mjengo ni imara kiasi gani lazima uyumbe tu
 
Skia, Boss kutoa ni moyo si utajiri

Kile kidogo ulicho nacho ukishindwa kukitumia , Basi kikubwa ndo itakuwa ngumu kabisa (utakuwa mbinafsi zaidi )

Mfano: Baba alitoa chungwa kwa mtoto wake mkubwa(kaka) , ila wale wadogo hakuwapa kwa makusudi - ili aone kama atagawia wenzake
Hukunielewa

Sikumaanisha kuwa siwezi kutoa kwasababu ninacho kidogo

Hata ningekuwa na kikubwa bado vile vile kusingenifanya nikatoa kwasababu sina upendo wote.

Mungu mwenye upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote hana sababu ya kutofanya mambo yaliyo mema bila ubaya
 
Utalaumu Hadi jua Kali na mafuriko, Mungu kakuumba hakukuacha Kama jiwe alikupa akili upambane na mazingira
Akili aliyokupa ukiitumia inaweza ikakusaidia kuepuka kifo?
 
Back
Top Bottom