Uturuki yapeleka Vikosi na Drones Somalia, karibu na mpaka wa Kenya

Uturuki yapeleka Vikosi na Drones Somalia, karibu na mpaka wa Kenya

ungekuwa na hasira na maisha yako kama unavyowachukia watz,saa hii usingekuwa mlinzi haki[emoji23][emoji23][emoji23].
Huenda mimi ni mlinzi but I am not among the 28 million extremely poor souls 😂
 
Huoni ni uchokozi Ethiopia kuangusha ndege za Kenya kwenye ardhi ya Kenya na kuua watu kwenye territory ya Kenya? Mnachekesha kweli nyie watu
Kwa iyo Ethiopia kaamua tu kutungua ndege yenu without any reasons, like you did nuthn to them and they just decided to shoot your planes down.
 
Hiviajeshi ya nchi jirani yanavamia ardhi yenu(Migingo) na kuwapiga raia wenu na wengine kupoteza maisha, hamuwezi kulinda ardhi yenu na raia wenu bado mnasema mko na jeshi, kazi ya keshi ni ipi kama sio kulinda mipaka ya nchi yenu?
Tukipiga Uganda si wewe ndio utakuwa mstari wa mbele kusema kuwa Kenya haiwezi kuishi na jirani zake? Kuwa Kenya ni mchokozi?
 
Somalia coz ndio mtakao pambana nao physically..but strategy atatoa mturuki same Vita ya Azeri na Armenia.
Kwa hivyo unataka kucompare jeshi la Somalia na jeshi la Azerbaijan in terms of equipments, training and number of personel? Wewe wacha kuvuta bangi mchana. Drones mbili au tatu ndio zinakufanya upunyeto. Hivi wewe hujui kuwa Kenya ndio ina the biggest airforce ukanda huu wote? Kuanzia Ethiopia hadi Tanzania, Rwanda hadi Uganda hakuna anayetufikia kwenye attack helicopters. Tuna attack helicopters zaidi ya 30 ambazo kazi yao ni kufanya mashambulizi. Na hio bado sijahesabu jets zaidi ya 14. Cheza mbali wewe. Airforce ya Kenya sio ya kucheza nayo. Armenia walikuwa na a very weak airforce na ndio maana walipigwa.
 
Kwa iyo Ethiopia kaamua tu kutungua ndege yenu without any reasons, like you did nuthn to them and they just decided to shoot your planes down.
Ndio. We did nothing wrong. Kwani unadhani Wahabeshi ni Mungu kwamba hawawezi kutungua ndege bila sababu? Wacha ujinga. Wao walitungua ndege yetu baadaye wakakiri kwamba wao walidhani ilikuwa ndege ya adui. Wao ndio wenye makosa kwa sababu ndege hio ilikuwa inaruka kihalali kwa mujibu wa sheria. Hakukuwa na sababu zozote ya wao kutungua ndege hio maana ndege hio haikuwa ndege ya kivita na maisha yao hayakuwa hatarini. Isitoshe, hio airspace haikuwa imefungwa na ndege yoyote ilikuwa na ruhusa ya kuitumia hio airspace. Halafu serikali ya Somalia tu ndio ina uwezo wa kufunga hio airspace lakini Ethiopia hawana ruhusa ya kufunga airspace ya nchi nyingine.
 
Ndio. We did nothing wrong. Kwani unadhani Wahabeshi ni Mungu kwamba hawawezi kutungua ndege bila sababu? Wacha ujinga. Wao walitungua ndege yetu baadaye wakakiri kwamba wao walidhani ilikuwa ndege ya adui. Wao ndio wenye makosa kwa sababu ndege hio ilikuwa inaruka kihalali kwa mujibu wa sheria.
Haya, what are you doing to Somalia, creating jubaland, kwann, nyinyi mtafurahi tukija pea nguvu mombasa ijitenge
 
ndo yupi? huyo mfupi na mwenye kitambi cha Mtura na kashika fimbo?
Ulikuwa unataka ashike bunduki kama generals wenu? Generals wetu hawashiki bunduki maana wako well protected na junior officers na non-commisioned officers.
 
Kenya msijali Jiwe will come to your rescue kudadadeki🤦🏽‍♂️😂😂
 
Kwa iyo Ethiopia kaamua tu kutungua ndege yenu without any reasons, like you did nuthn to them and they just decided to shoot your planes down.
Since you seem to have inside info, hebu tuambie ni nini tulifanyia Ethiopia ndio watungue ndege zetu
 
Why sisi pekee yetu? The answer is so simple: We are the kingpins of the region. When Kenya coughs, the whole of EA catches a flu
Sasa mbona hatusikii nchi iliyoendelea kama South Africa ikigombana na Msumbiji au Zimbabwe?
Ndiyo iwe hii Kenya ni nchi fukara ya Ulimwengu wa Tatu? Jibu ni kuwa Kenya inatumiwa vibaya na wazungu kupitia viongozi wake vibaraka na hiyo ndiyo sababu kuu. Hatuoni Nchi zilizoendelea kama Misri au Tunisia au Algeria zikigombana na majirani wote kama Kenya.
Ikumbukwe Kibaraka mkuu wa wazungu alikuwa mzee Jomo Kenyatta mwanzilishi wa Taifa lenu, hanif leo familia yake inatawala ndio maana imekuwa ni kama mwendelezo tu.
 
Kenya isikubali kuwa ya kinyonge ipigane tu isijali hivyo vikosi ingawa najua uhuru mjanja sana hatapigania lakini kenya ni lazima ilinde heshima yake na iwe nchi ya misimamo😀😀😀[emoji216][emoji216][emoji2764][emoji2764]
Kenya ikiamua Vita ile Mbio hao Waarabu watakimbia ni Mungu tu anajua [emoji57]. Akili zao ndogo sana bado hawajui kenya vizuri
 
Back
Top Bottom