mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
ungekuwa na hasira na maisha yako kama unavyowachukia watz,saa hii usingekuwa mlinzi haki[emoji23][emoji23][emoji23].Hivi ndivyo mibongolala wote hufikiria?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungekuwa na hasira na maisha yako kama unavyowachukia watz,saa hii usingekuwa mlinzi haki[emoji23][emoji23][emoji23].Hivi ndivyo mibongolala wote hufikiria?
Huenda mimi ni mlinzi but I am not among the 28 million extremely poor souls 😂ungekuwa na hasira na maisha yako kama unavyowachukia watz,saa hii usingekuwa mlinzi haki[emoji23][emoji23][emoji23].
kipato chako kwa mwaka ndio kinachoamua sio mawazo yako[emoji23][emoji23].Huenda mimi ni mlinzi but I am not among the 28 million extremely poor souls [emoji23]
Kwa iyo Ethiopia kaamua tu kutungua ndege yenu without any reasons, like you did nuthn to them and they just decided to shoot your planes down.Huoni ni uchokozi Ethiopia kuangusha ndege za Kenya kwenye ardhi ya Kenya na kuua watu kwenye territory ya Kenya? Mnachekesha kweli nyie watu
wacha ujinga mmeiba territory ya Somalia halafu mnadai kuchokozwa?Wao ndio wanatuchokoza. Nini ngumu kuelewa hapo?
ndo yupi? huyo mfupi na mwenye kitambi cha Mtura na kashika fimbo?Cdf alikuwa Somalia for two days ,cha kushangaza ni hawakupata Intel yoyote ati ako huko ......"deep "operations indeed.
View attachment 1657958
Tukipiga Uganda si wewe ndio utakuwa mstari wa mbele kusema kuwa Kenya haiwezi kuishi na jirani zake? Kuwa Kenya ni mchokozi?Hiviajeshi ya nchi jirani yanavamia ardhi yenu(Migingo) na kuwapiga raia wenu na wengine kupoteza maisha, hamuwezi kulinda ardhi yenu na raia wenu bado mnasema mko na jeshi, kazi ya keshi ni ipi kama sio kulinda mipaka ya nchi yenu?
Kwa hivyo unataka kucompare jeshi la Somalia na jeshi la Azerbaijan in terms of equipments, training and number of personel? Wewe wacha kuvuta bangi mchana. Drones mbili au tatu ndio zinakufanya upunyeto. Hivi wewe hujui kuwa Kenya ndio ina the biggest airforce ukanda huu wote? Kuanzia Ethiopia hadi Tanzania, Rwanda hadi Uganda hakuna anayetufikia kwenye attack helicopters. Tuna attack helicopters zaidi ya 30 ambazo kazi yao ni kufanya mashambulizi. Na hio bado sijahesabu jets zaidi ya 14. Cheza mbali wewe. Airforce ya Kenya sio ya kucheza nayo. Armenia walikuwa na a very weak airforce na ndio maana walipigwa.Somalia coz ndio mtakao pambana nao physically..but strategy atatoa mturuki same Vita ya Azeri na Armenia.
Ndio. We did nothing wrong. Kwani unadhani Wahabeshi ni Mungu kwamba hawawezi kutungua ndege bila sababu? Wacha ujinga. Wao walitungua ndege yetu baadaye wakakiri kwamba wao walidhani ilikuwa ndege ya adui. Wao ndio wenye makosa kwa sababu ndege hio ilikuwa inaruka kihalali kwa mujibu wa sheria. Hakukuwa na sababu zozote ya wao kutungua ndege hio maana ndege hio haikuwa ndege ya kivita na maisha yao hayakuwa hatarini. Isitoshe, hio airspace haikuwa imefungwa na ndege yoyote ilikuwa na ruhusa ya kuitumia hio airspace. Halafu serikali ya Somalia tu ndio ina uwezo wa kufunga hio airspace lakini Ethiopia hawana ruhusa ya kufunga airspace ya nchi nyingine.Kwa iyo Ethiopia kaamua tu kutungua ndege yenu without any reasons, like you did nuthn to them and they just decided to shoot your planes down.
Haya, what are you doing to Somalia, creating jubaland, kwann, nyinyi mtafurahi tukija pea nguvu mombasa ijitengeNdio. We did nothing wrong. Kwani unadhani Wahabeshi ni Mungu kwamba hawawezi kutungua ndege bila sababu? Wacha ujinga. Wao walitungua ndege yetu baadaye wakakiri kwamba wao walidhani ilikuwa ndege ya adui. Wao ndio wenye makosa kwa sababu ndege hio ilikuwa inaruka kihalali kwa mujibu wa sheria.
Tumeiba territory ipi ya Somalia wewe mzee?wacha ujinga mmeiba territory ya Somalia halafu mnadai kuchokozwa?
Ulikuwa unataka ashike bunduki kama generals wenu? Generals wetu hawashiki bunduki maana wako well protected na junior officers na non-commisioned officers.ndo yupi? huyo mfupi na mwenye kitambi cha Mtura na kashika fimbo?
Jaribuni kuja Mombasa muone kitakachowapata.Haya, what are you doing to Somalia, creating jubaland, kwann, nyinyi mtafurahi tukija pea nguvu mombasa ijitenge
Hatutaki jeshi lenu hafifu kuja kutusaidia.Kenya msijali Jiwe will come to your rescue kudadadeki🤦🏽♂️😂😂
Uhafifu wake upo wapi?Hatutaki jeshi lenu hafifu kuja kutusaidia.
Since you seem to have inside info, hebu tuambie ni nini tulifanyia Ethiopia ndio watungue ndege zetuKwa iyo Ethiopia kaamua tu kutungua ndege yenu without any reasons, like you did nuthn to them and they just decided to shoot your planes down.
Kama unajua hilo, ungejisumbua kunikumbusha kwamba mimi ni "mlinzi"kipato chako kwa mwaka ndio kinachoamua sio mawazo yako[emoji23][emoji23].
Sasa mbona hatusikii nchi iliyoendelea kama South Africa ikigombana na Msumbiji au Zimbabwe?Why sisi pekee yetu? The answer is so simple: We are the kingpins of the region. When Kenya coughs, the whole of EA catches a flu
Kenya ikiamua Vita ile Mbio hao Waarabu watakimbia ni Mungu tu anajua [emoji57]. Akili zao ndogo sana bado hawajui kenya vizuriKenya isikubali kuwa ya kinyonge ipigane tu isijali hivyo vikosi ingawa najua uhuru mjanja sana hatapigania lakini kenya ni lazima ilinde heshima yake na iwe nchi ya misimamo😀😀😀[emoji216][emoji216][emoji2764][emoji2764]