Uturuki yapeleka Vikosi na Drones Somalia, karibu na mpaka wa Kenya

Uturuki yapeleka Vikosi na Drones Somalia, karibu na mpaka wa Kenya

Kweli ujinga haina dawa. Migingo ni ardhi ya Kenya na imekaliwa na Uganda kimabavu
ndio uone jinsi mlivyo underdog ukanda huu[emoji23][emoji23][emoji23]

yaani uganda wanakaa kwenu kimabavu na mmekausha,hata ushawishi kumaliza hili swala hamna,maana vita sio ishu!!!!
 
ndio uone jinsi mlivyo underdog ukanda huu[emoji23][emoji23][emoji23]

yaani uganda wanakaa kwenu kimabavu na mmekausha,hata ushawishi kumaliza hili swala hamna,maana vita sio ishu!!!!
Underdog?? 😂 😂 That's what you think? Kenya has the biggest military size in the region and also the biggest military budget in the region. Ours is over $1b while Uganda's is a paltry $347m. How do you even start comparing the two? Our military is ranked above all the east African countries. Kama sisi ni underdogs how comes we are ranked top in the region? Tukiamua kuemploy diplomacy instead of mivurugano, don't think we don't know our position in this region
 
Underdog?? [emoji23] [emoji23] That's what you think? Kenya has the biggest military size in the region and also the biggest military budget in the region. Ours is over $1b while Uganda's is a paltry $347m. How do you even start comparing the two? Our military is ranked above all the east African countries. Kama sisi ni underdogs how comes we are ranked top in the region? Tukiamua kuemploy diplomacy instead of mivurugano, don't think we don't know our position in this region
ukajifunze maana ya diplomat ndio uje tuendelee.

swala mfano la ethipia kuangusha ndege zenu,kuwa calm ni sawa kisha kuchukua diplomat move,maana inawezekana ni kichaa tu cha askari fulani.

ila hiyo ya kuchukua aneo la kenya linalofahamika kimataifa[emoji23][emoji23],hiyo haiwezi kuwatoa kwenye fact kwamba nyinyi ni underdog.mnaya zaidi mlijaribu kupigania wakawazidi mkatimka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Underdog?? [emoji23] [emoji23] That's what you think? Kenya has the biggest military size in the region and also the biggest military budget in the region. Ours is over $1b while Uganda's is a paltry $347m. How do you even start comparing the two? Our military is ranked above all the east African countries. Kama sisi ni underdogs how comes we are ranked top in the region? Tukiamua kuemploy diplomacy instead of mivurugano, don't think we don't know our position in this region
Kazi kubwa ya jeshi ni kulinda mipaka yake na nyie uganda kanyakua aridhi yenu act of war[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Kazi kubwa ya jeshi ni kulinda mipaka yake na nyie uganda kanyakua aridhi yenu act of war[emoji23][emoji23][emoji1787]
Hata sasa jeshi letu inalinda mipaka dhidi ya Somalia. But what have you people said? kwamba Kenya inapenda kuvurugana na majirani zake. Tukiamua pia kutumia diplomacy dhidi ya Uganda, mnasema sisi ni dhaifu. Swali ni: tutakuwaje dhaifu dhidi ya jeshi ambalo tuko juu yao kwa kila kitu?
 
Hata sasa jeshi letu inalinda mipaka dhidi ya Somalia. But what have you people said? kwamba Kenya inapenda kuvurugana na majirani zake. Tukiamua pia kutumia diplomacy dhidi ya Uganda, mnasema sisi ni dhaifu. Swali ni: tutakuwaje dhaifu dhidi ya jeshi ambalo tuko juu yao kwa kila kitu?
Ubora wa jeshi hupimwa kwa mafanikio waliyopata kwenye medani

kitendo alichofanya uganda ni act of war mlijaribu kumtoa kwa nguvu lkn mkachezea kichapo na mpaka sasa kisiwa kipo chini ya waganda [emoji23][emoji23]
 
Kenya shida yao wanajiona US ya Afrika Mashariki. Wameshavutana na Uganda, Tanzania na sasa Somalia. Hawa manyang'au hawsna nidhamu kabisa
Gunzi linaanza kuwaingia matakoni.
 
Mkuu shababi ikiamua kuvuruga Nairobi ni suala la sekunde tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio hawa shabibi unaowasifia kama bwana zako. Tumewatuma Ahera wakajivinjari na mabikra, ni kama washakuchoka!
FB_IMG_16090765091640115.jpg
FB_IMG_16090764896510229.jpg
FB_IMG_16090764828198044.jpg
FB_IMG_16090764714086688.jpg
FB_IMG_16090764672538194.jpg
FB_IMG_16090764564806439.jpg
FB_IMG_16090764513433497.jpg
FB_IMG_16090764435710012.jpg
FB_IMG_16090764392527073.jpg
FB_IMG_16090764345377275.jpg
FB_IMG_16090764313426532.jpg
FB_IMG_16090764256536157.jpg
 
sisi tunasubiri majibu yao[emoji23][emoji23][emoji23].

bahati mbaya wao huwa wanafanya mbaya zaidi[emoji24][emoji24]
 
sisi tunasubiri majibu yao[emoji23][emoji23][emoji23].

bahati mbaya wao huwa wanafanya mbaya zaidi[emoji24][emoji24]


Mbona unasupport Al Shabab dhidi ya Wakenya innocent ambao hawajafanya makosa yoyote? Hii ni kama mimi kusupport magaidi walioshambulia Mtwara na kuuwa Watanzania innocent. Kamwe siwezi kufanya kitu kama hicho. Japo tuna ushindani lakini siwezi kuomba kuwa hawa magaidi wafanye mashambulizi na kuuwa Watanzania wasio na makosa? Yaani wewe ni mjinga tu.
 
Mbona unasupport Al Shabab dhidi ya Wakenya innocent ambao hawajafanya makosa yoyote? Hii ni kama mimi kusupport magaidi walioshambulia Mtwara na kuuwa Watanzania innocent. Kamwe siwezi kufanya kitu kama hicho. Japo tuna ushindani lakini siwezi kuomba kuwa hawa magaidi wafanye mashambulizi na kuuwa Watanzania wasio na makosa? Yaani wewe ni mjinga tu.
mkuu watanzania wengi hapa JF wana roho za kishetani.....natumai watanzania kwa ujumla wapo tofauti
 
Mbona unasupport Al Shabab dhidi ya Wakenya innocent ambao hawajafanya makosa yoyote? Hii ni kama mimi kusupport magaidi walioshambulia Mtwara na kuuwa Watanzania innocent. Kamwe siwezi kufanya kitu kama hicho. Japo tuna ushindani lakini siwezi kuomba kuwa hawa magaidi wafanye mashambulizi na kuuwa Watanzania wasio na makosa? Yaani wewe ni mjinga tu.
shida ni kwamba mnaleta ushabiki kwenye ishu serious,nasisi tunafanya kama burudani.

mwezako yuko anajisifu kwamba hawa ni polisi tu wamewafanya hivi alshabaab,vipi kdf!!!sijui anajua nini kuhusu ugaidi!!!

sisi tumepigwa na ugaidi pia,mbaya zaisi wa kwetu haukuwa na sababu za msingi,kama wa kwenu.hao watawasumbua sana,muhimu acheni sifa za kijinga namna hii.
 
shida ni kwamba mnaleta ushabiki kwenye ishu serious,nasisi tunafanya kama burudani.

mwezako yuko anajisifu kwamba hawa ni polisi tu wamewafanya hivi alshabaab,vipi kdf!!!sijui anajua nini kuhusu ugaidi!!!

sisi tumepigwa na ugaidi pia,mbaya zaisi wa kwetu haukuwa na sababu za msingi,kama wa kwenu.hao watawasumbua sana,muhimu acheni sifa za kijinga namna hii.
tena bila asisti awawezi chochote kile
 
shida ni kwamba mnaleta ushabiki kwenye ishu serious,nasisi tunafanya kama burudani.

mwezako yuko anajisifu kwamba hawa ni polisi tu wamewafanya hivi alshabaab,vipi kdf!!!sijui anajua nini kuhusu ugaidi!!!

sisi tumepigwa na ugaidi pia,mbaya zaisi wa kwetu haukuwa na sababu za msingi,kama wa kwenu.hao watawasumbua sana,muhimu acheni sifa za kijinga namna hii.
Lakini wewe pia umefanya makosa sana kutuombea mabaya. Yaani kabisa unaomba kwamba hawa magaidi waje Kenya kuangamiza watu innocent? Ni lini uliona Mkenya yeyote akiomba kuwa magaidi waje Tanzania kuwaangamiza?
 
Lakini wewe pia umefanya makosa sana kutuombea mabaya. Yaani kabisa unaomba kwamba hawa magaidi waje Kenya kuangamiza watu innocent? Ni lini uliona Mkenya yeyote akiomba kuwa magaidi waje Tanzania kuwaangamiza?
kuna sehemu nimeomba. unionyeshe!!zaidi ya kukwambia nasubiri majibu yao!!!
 
Back
Top Bottom