Uume hausimami asubuhi

Uume hausimami asubuhi

Mahug

Member
Joined
Nov 14, 2013
Posts
36
Reaction score
7
Jamani uume wangu imekuwa ni kawaida hausimami kila asubuhi, na kwa upeo wangu mdogo, mwanaume anatakiwa asimamishe kila asubuhi..

Msaada tafadhali!
 
Teh teh kwi
Pole sana
kamuone Dokta
 
Kula vyakula vyenye virutubisho na fanya mazoezi...epuka matumizi ya pombe/sigara/chipsy mayai/....epuka kuvaa nguo nyingiii zikabazo maeneo hayo
10393679_1389240331391681_8327403993325617956_n.jpg
 
A moment of silence please!!! for a dead penis
🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁
 
jamani uume wangu imekuwa ni kawaida hausimami kila asubuhi,na kwa upeo wangu mdogo mwanaume anatakiwa asimamishe kila asubuhi......Msaada tafadhari!

Kwa muda gani uume hausimami kwa muda wa asubuhi? Hata usiku unapolala unatakiwa uume usimame...
 
hili tatizo ni la muda kdogo sikumbuki vzuri...ila situmii pombe wala sigara,.....isipokuwa kujaa gesi tumboni hasa asubuhi kwasabu nina vidonda vya tumbo huwa vinanisumbua kwa miaka kadhaa sasa, na umri wangu ni miaka25
 
Jamani uume wangu imekuwa ni kawaida hausimami kila asubuhi, na kwa upeo wangu mdogo, mwanaume anatakiwa asimamishe kila asubuhi..

Msaada tafadhali!
Acha kupiga punyto kama hupigi punyeto nenda kacheki hospitali maradhi ya kisukari, au una ugonjwa wa ngiri? Mkuu Mahug Ukitaka dawa ya uume wako kusimama nitafute kwa wakati wako kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
 
Last edited by a moderator:
Acha kupiga punyto kama hupigi punyeto nenda kacheki hospitali maradhi ya kisukari, au una ugonjwa wa ngiri? Mkuu Mahug Ukitaka dawa ya uume wako kusimama nitafute kwa wakati wako kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano

poa poa mzizimkavu
 
Last edited by a moderator:
Pole ndugu, Huwa unakutana na demu wako asubuhi tu, au hata usiku?
 
Pole ndugu, Huwa unakutana na demu wako asubuhi tu, au hata usiku?

nakutana nae mida yote tunaweza kusex ata mara3 au mara 2 kwa siku katika mida tofauti tofauti
 
nakutana nae mida yote tunaweza kusex ata mara3 au mara 2 kwa siku katika mida tofauti tofauti


Kwa hiyo mkikutana asubuhi ndo noma? Acha utani aise!
 
Back
Top Bottom