Uume kupinda ni tatizo au kama ni tatizo msaada please

Nenda kariakoo pale sunderland ya kule sokon kuna duka la fimbo ya musa ulizia dawa ya kigshaft
 
Ni wao alafu sio kila mtu mwenye tatizo mnafikiria ushoga mm toka na balehe uume ulikuwa unapinda nikiwa nadindisha nikafikiria ni hali ya kawaida badae itapotea nikiwa mkubwa bado naona ipo vile vile
Tatizo kwenu huko Dar si kila umuonaye mwanamme ni mwanamme, wengi wenu ni vigarasa tu, nyumbani unaitwa baba ukienda nyumba ya pili unapakatwa na wenzako huku unaminywa pumbu.
 

Kuna mdogo wangu alikua na iyo namba 2, ( Peyronie disease) tulienda hospital 2 na wanashinda kuelewa na tiba hakuna mara ya mwisho daktar alimuambia hakuna shida wewe ishi ivyo ivyo tu. Hakuna madhara yoyote.))
 
Naufanyisha mazoezi wakati uume umedinda au wakati umenyong'onyea pia ukiachana na hio hakuna dawa inaweza kusaidia uunyooke
 
Hayo ndiyo madhara ya kupiga punyeto kwa muda mrefu, pole sana...au kama vipi ikate ti kwani lazima kuwa na uume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…