Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika Uingereza

Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika Uingereza

Dildo hilo lina urefu wa sentimita 16, kwa kawaida uume wa binadamu uliosimama huwa una urefu wa sentimita 14.
16cm = 6.299213 inches
14cm = 5.511811 inches

14cm ambayo ni 5.5 inches wengi huona ni kibamia kwa baadhi yao, wengi hutaka 20cm ambayo ni sawa na 7.7 inches urefu sio upana na ndiyo madildo wanayoyaagiza kwa sana

Nikuta.
 
Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika huko Uingereza. Umetengenezwa kwa mbao. Wataalam wa mambo ya kale wanasema ulitumika katika karne ya pili.

Wataalam wanasema ulikuwa unatumiwa na wanawake kama dildo. Dildo hilo lina urefu wa sentimita 16, kwa kawaida uume wa binadamu uliosimama huwa una urefu wa sentimita 14.

View attachment 2525009
Sentimita 14 kasema nani!?..nilipokuja nabaleghe nilikua na sentimita 15
 
Itapendeza kuzimu ikikosa mtu. Mungu hakukosea kukupa maumbile ya kike... kazi yake ni kupokea p.enis na sio kukoboa wengine.

Okoka Yesu anakupenda na sasa anakuita!
Mbona sijasikia sauti yake akiniita jamani 🥲
 
Hii nikuandikiayo ni sauti yake..

Okoka culture me... usagaji ni chukizo kwa Mungu.

Yesu anakupenda na sasa anakuita!!

Yafaa nini mtu aupate ulimwengu, na mambo yake yote; aangamie au aiponye nafsi yake?

Ukate shauri ndugu yangu mrudie Yesu!
Bhana Lusungo hapo umeniibia 🤣
Unasema umeandika sauti yake mimi nikajua namsikia mwenyewe hapa nilipo jamani
 
Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika huko Uingereza. Umetengenezwa kwa mbao. Wataalam wa mambo ya kale wanasema ulitumika katika karne ya pili.

Wataalam wanasema ulikuwa unatumiwa na wanawake kama dildo. Dildo hilo lina urefu wa sentimita 16, kwa kawaida uume wa binadamu uliosimama huwa una urefu wa sentimita 14.

View attachment 2525009
Asee hiki ni kigwanzi Kwa kweli
 
16cm = 6.299213 inches
14cm = 5.511811 inches

14cm ambayo ni 5.5 inches wengi huona ni kibamia kwa baadhi yao, wengi hutaka 20cm ambayo ni sawa na 7.7 inches urefu sio upana na ndiyo madildo wanayoyaagiza kwa sana

Nikuta.
Kwa Nini waagize ma dildo wakati miwa ipo! hapa Nchini!!??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom