Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika Uingereza

Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika Uingereza

Nyuchi za hawa viumbe zinapitishwa vitu vingi,matango,chupa za soda yan vyenye ncha twende,nawaza hiyo mbao ka haikupigwa msasa,mhhh
 
Uume wa bandia uliotumika na watu wa kale wagundulika huko Uingereza. Umetengenezwa kwa mbao. Wataalam wa mambo ya kale wanasema ulitumika katika karne ya pili.

Wataalam wanasema ulikuwa unatumiwa na wanawake kama dildo. Dildo hilo lina urefu wa sentimita 16, kwa kawaida uume wa binadamu uliosimama huwa una urefu wa sentimita 14.

View attachment 2525009
Hilo ndo lenyewe.
 
Biashara ya dildo ipande Sasa, Maana waneamua kututhibutishia kuwa hakuna jipya chini ya jua
Mbna ishapandaa dear, sahv zimekuja dildo za umeme zinatekenyuaa balaaa mkunyenge enyewe unasubiri.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu bei ya kutupa tyuuuh.
 
Back
Top Bottom