SI KWELI Uume wa mtoto ukidondokewa na kitovu chake huacha kusimama

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Ushirikina tuu wa wavaa kobazi
Usipuuz mila za watu ilikuwaj watu dunia nzima wakaamini hivo? Majuzi serikali imelazimika kukiri nguvu ya msitu baada ya kufyeka msitu wa kimila watoto shuleni wakaanza kudondoka bila sababu
 
Usipuuz mila za watu ilikuwaj watu dunia nzima wakaamini hivo? Majuzi serikali imelazimika kukiri nguvu ya msitu baada ya kufyeka msitu wa kimila watoto shuleni wakaanza kudondoka bila sababu
Nijuze mkuu
 
Je kuna ukweli wowote kuhusu hilo? Na je ni kweli ili apone lazima uume wake uingizwe kwenye uchi wa mama ake mzazi?

Nasubiri majibu yenu wakuu

πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»πŸ™πŸ»
Sio lazima aingize Utume wake kwenye uchi wa mama yake!
Kuna njia rahisi NAYO!
Mama Anapanda darini akivaa kanga moja bila chupi, na kumuita mwanae aliye athirika!; kisha kumtuma ampe kapu la kuwekea mahindi huku yule mama AKIWA amepanua miguu yake AKIWA penye mlango wa Dari!
Yule mtoto akiinua macho yake juu Ili ampe mama yake kikapu macho yake yanakutana na uchi wa mama yake!
Kuanzia Hapo yule kijana ATAKUWA Amepona na Kuwa RijaliπŸ’ͺπŸ’ͺπŸ‘
Yule mtoto b
 
Kuna tiba nyingine!; unachukua mboo ya mbuzi unakunja Mti kutega(mwambi)....
Kisha unafyatua ule mtego KILE kimboo kitakapo angukia, unachimba! Mzizi wa kwanza utakao ukuta pale wakati unachimba unaenda uchemsha pamoja na ile mboo ya mbuzi anakunya ile supu na kutafuna kimboo!
Hapo itakuwa beberu kasingiziwa kubebesa!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Wabongo wanazusha mambo sana...hakuna mantiki kitovu kidondokee uume kisha usisimame....Wazee walisema hayo mambo ili kuwapa umakini wazazi kuzingatia mwenendo wa mtoto.
 
Naomba mlete na hili la kubemenda Mtoto kama ni kwel au imani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…