Uungwana: DC Mstaafu Richard Kasesela awashukuru wananchi wa Iringa Mjini, aomba radhi

Uungwana: DC Mstaafu Richard Kasesela awashukuru wananchi wa Iringa Mjini, aomba radhi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Baada ya Utumishi wake kukoma kutokana na Mkeka mpya uliotolewa wa Wakuu wapya wa Wilaya, Mh Kasesera amewashukuru wananchi wa Iringa kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote alichowatumikia, ambapo pia ametumia nafasi hiyo kuwaomba radhi wale wote aliowakwaza wakati wa utekelezaji wa Majukumu yake.

Chanzo: Mwananchi

Mwananchi_on_Instagram:_“"Wana_Iringa_imekuwa_furaha_kufanya_kazi_na_nyie_nimejenga_mahusi...jpg
 
Mkuu Kasesera karibu sana uraiani, rudi nyumbani Rungwe tulime maparachichi, hakuna atakae kusumbua wala hautakuwa na presha sijui ya niseme nini au nimemuudhi mkuu, kwa sasa kilimo kinalipa na hata usiombe tena ajira kule ulikotoka TMARC, sasa umekuwa ni senior citizen mkuu, karibu sana Rungwe tuchangamkie fursa ya kilimo cha maparachichi.
 
Kwa hili unastahili kupongezwa! Mbele za Mungu hakuna asiyekosea kikubwa mbele za Mungu ni kuomba msamaha tu kwa wale ulio wakosea! Mungu akubariki sana.
 
Mkuu Kasesera karibu sana uraiani, rudi nyumbani Rungwe tulime maparachichi, hakuna atakae kusumbua wala hautakuwa na presha sijui ya niseme nini au nimemuudhi mkuu, kwa sasa kilimo kinalipa na hata usiombe tena ajira kule ulikotoka TMARC, sasa umekuwa ni senior citizen mkuu, karibu sana Rungwe tuchangamkie fursa ya kilimo cha maparachichi.
Hana njaa kabla ya JK kumteua alikua ana export dhahabu ya Tanzania kwenda Australia na Dubai unapaswa ujisikitikie wewe na sio huyo jamaa, ni muungwana hasa ndio maana unaona ni mtu wa kushukuru hana kinyongo na mtu.
 
Mkuu Kasesera karibu sana uraiani, rudi nyumbani Rungwe tulime maparachichi, hakuna atakae kusumbua wala hautakuwa na presha sijui ya niseme nini au nimemuudhi mkuu, kwa sasa kilimo kinalipa na hata usiombe tena ajira kule ulikotoka TMARC, sasa umekuwa ni senior citizen mkuu, karibu sana Rungwe tuchangamkie fursa ya kilimo cha maparachichi.
Hawezi kukaa hapo kwenu KK huyu ni mtoto wa mjini hawezi kutuliza Yale mavitu aliyomwambia yule bodaboda ayatulize
 
Hiyo kustaafu imekaaje? Hivi vyeo vya kuteuliwa kuna kustaafu au kuna kutemwa? Msituharibie kiswahili.
 
Kati ya aliyemwambie akalishe makalio chini na yeye,nani kakalisha?
Umeambiwa jamaa u DC haikuwa ishu kihiiivyo ila heshima. Yuko vizuri kwa hiyo aliyemwambia atulize masaburi ndio ametulia. Kwa taarifa yako Rich ni jamaa poa sana
 
Asikuambie mtu kazi za kuteuliwa hakuna mtu anayekaataa,acha kumtetea kufanya kazi za kujiajiri kwa mtu kama yeye itamchukua muda sana kuendana na mazingira ya jamii,ukiwa dc vitu vingi unakuwa unaenjoi sana
Unaongea nini?ajiajiri huyo wakati ye ndo mwajiri miaka na miaka
 
Asikuambie mtu kazi za kuteuliwa hakuna mtu anayekaataa,acha kumtetea kufanya kazi za kujiajiri kwa mtu kama yeye itamchukua muda sana kuendana na mazingira ya jamii,ukiwa dc vitu vingi unakuwa unaenjoi sana
babu ee huyu jamaa alikuaga marekani huko kwa miaka mingi hana njaa njaa anajiweza Sana tu pia ni mfanyabiashara na ana connection mambele huko

Yupo njema tu Hana Cha kupoteza maana hata huo ukuu wa wilaya alikua ni Kama
Anapumzikia tu!
 
Back
Top Bottom