Uungwana: DC Mstaafu Richard Kasesela awashukuru wananchi wa Iringa Mjini, aomba radhi

Uungwana: DC Mstaafu Richard Kasesela awashukuru wananchi wa Iringa Mjini, aomba radhi

Alikuwa wapi kuomba msamaha,mpk atumbuliwe?
Una ushahidi gani kuwa ile kauli yake, ndii chanzo cha kutenguliwa kwake, hadi unafikia hitimisho hilo?!!hivi vyeo vya uteuzi ni vigumu sana, kuvilinda kwani itategemea na aliyekuteua alivyoamka siku hiyo, mbona kuna DC, mmoja huko mkoa wa simiyu ni balaa kwa matusi, na matendo ya hovyo kama kiongozi , lakini mbona ameteuliwa tena?!!na kuomba msamaha sio kwamba ni kwa lile tusi tu, hata kama asingetukana, yeye kama kiongozi lazima kuna mambo aliyafanya ktk kutekeleza majukumu yake ambayo kwa vyovyote vile yaliwaudhi wengine.Hata leo hii labda mama Samia ajiudhuru ki ungwana lazima atawaomba radhi watu kwani kuna watu tu kwenye uongozi wake, wataona kuwa aliwaudhi!!!ni kauli za kawaida tu mbona!!Mimi hata huwa sielewi kwanini watu huwa tunafurahia matatizo ya wengine?!!
 
Tuache kumtetea, jamaa katemwa mazima, kwa sasa hana ajira rasmi, anarudi mtaani kuunga unga. Ule uDC ndio ulikuwa unampa kiburi, jeuri, heshima, connection na chakula.
Jamaa angekuwa yuko fresh kimaisha kabla ya kuteuliwa uDC basi angeweza kukataa au kuukubali kwa heshima na kuishi kiuungwana. Badala yake jamaa akawa kama karogwa na uDC, visa, vituko na mikasa vikawa ndio style ya utendaji wake ili tu kuendelea kuteuliwa.

Kwa sasa jamaa ni mnyonge na mpole, kachoka ghafla.
 
babu ee huyu jamaa alikuaga marekani huko kwa miaka mingi hana njaa njaa anajiweza Sana tu pia ni mfanyabiashara na ana connection mambele huko

Yupo njema tu Hana Cha kupoteza maana hata huo ukuu wa wilaya alikua ni Kama
Anapumzikia tu!
Marekani na Iringa wapi na wapi?
Kasesera hakuna kitu pale.
Ni njaa tupu, usanii na utapeli.

Yaani mtu uwe fresh kimaisha huko Marekani halafu urudi Tz kuja kudanga ili kupewa vyeo vya dizaini ya ukuu wa wilaya, maana yake ni nini?
 
Mkuu Kasesera karibu sana uraiani, rudi nyumbani Rungwe tulime maparachichi, hakuna atakae kusumbua wala hautakuwa na presha sijui ya niseme nini au nimemuudhi mkuu, kwa sasa kilimo kinalipa na hata usiombe tena ajira kule ulikotoka TMARC, sasa umekuwa ni senior citizen mkuu, karibu sana Rungwe tuchangamkie fursa ya kilimo cha maparachichi.
Ana asili ya Rungwe, ni Mdar e salaam huyo. Karibu mjini. Jitahidi tutafutane nchi iko wazi kuendesha maisha.
 
Asikuambie mtu kazi za kuteuliwa hakuna mtu anayekaataa,acha kumtetea kufanya kazi za kujiajiri kwa mtu kama yeye itamchukua muda sana kuendana na mazingira ya jamii,ukiwa dc vitu vingi unakuwa unaenjoi sana
Sisi tulipata taabu kidogo alipokubali uteuzi, na wakati huo alikuwa yako Amsterdam, Uholanzi kwenye mishe mishe na akiwa fit kwenye kipato. Mashaiba zako tunafikiri umepoteza muda bure kwenda Iringa.

Tunafahamu, wengine wanaweza kukuzomea, kumbe unapangisha majengo Masaki kabla hata haujaenda Iringa.
 
Marekani na Iringa wapi na wapi?
Kasesera hakuna kitu pale.
Ni njaa tupu, usanii na utapeli.

Yaani mtu uwe fresh kimaisha huko Marekani halafu urudi Tz kuja kudanga ili kupewa vyeo vya dizaini ya ukuu wa wilaya, maana yake ni nini?
wewe jamaa Hivi unadhani mtu akiwa amepata cheo Cha kisiasa ndio anakua na njaa?
Daaa una akili nusu Sana Hivi kipindi kile Mo dewji alivyokua mbuge alikua anapigania tonge kwa kugombea?
Mkuu kasesera Yule jamaa anajiweza Sana tu hata kipindi mwendazake anampa hio teuzi alikua marekani akataka apotezee akaushe ila kuna washauri wakamwambia arudi kupiga kazi tu maisha yaende asije akakataa akaundiwa zengwe kumbuka mtu pori alichokisema ni sheria na yeye ili kulinda business zake akaamua akubali tu kutumikia
Na ndio maana alivyotenguliwa hakua na nongwa kashukuru tu

NB Kiufupi jamaa anamiliki apartment masaki wanaye wote wapo states,mke wake naye yupo njema tu !
 
Sisi tulipata taabu kidogo alipokubali uteuzi, na wakati huo alikuwa yako Amsterdam, Uholanzi kwenye mishe mishe na akiwa fit kwenye kipato. Mashaiba zako tunafikiri umepoteza muda bure kwenda Iringa.

Tunafahamu, wengine wanaweza kukuzomea, kumbe unapangisha majengo Masaki kabla hata haujaenda Iringa.
mkuu kwa wasiomjua kasesera wajua jamaa alikua njaa Kali Kama kina Sabaya hapana Kuna jamaa hapo juu namwambia kabla ya teuzi jamaa alikua mbele ananibishia balaa anasema Kama ana mawe alikuaje akawa DC iringa
Huko akisahau Mo dewji aliwahi kua mbunge cheo Cha kisiasa licha ya kua na mpunga wa kutosha!
 
Back
Top Bottom