kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kuvaa kiislam kwenda kuomba msamaha ni kejeliHuyu ajibinue mwenyewe asisubili kubinuliwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuvaa kiislam kwenda kuomba msamaha ni kejeliHuyu ajibinue mwenyewe asisubili kubinuliwa
Haoni ndani siku hizi huyo anasubiri taarifa kama sisi tuKigogo ameshasema kwamba Pdf ni kubwa kidogo la DC/RC.
babu asubuhi yote hii matusi,ni dalili mbaya ya kunyimwa unyumba na mkeo.kalisha matako weweWasenge Unafki, akitolewa we inakuhusu nini malaya we, utapewa wewe huo uongozi.
Mijitu michawichawi km nyinyi ni kupiga risasi ya utosi tu hamfai hata kupumua mnatuibia hewa tu humu duniani pumbavu.
Kasese huyoPovu hili kilo ngapi?
Kuna Mataga wanamtetea huyu jamaa, Shameless peopleIringa tangu enzi za marehemu Klerruu imeendelea kuwa na viongozi wa ajabu ajabu sana.
Laana ya Mwamwindi inawatafuna.
😂😂😂😂Kasese huyo
Haoni ndani siku hizi huyo anasubiri taarifa kama sisi tu
JF hairuhusu post zenye matusi.Aisee hapo kweli kakosea
Weka video
Mbona unamtetea Sana?Ila mama ningemuomba sana sana kisarawe amuache tu JOKATE asimuondoe pale au kama ikibidi amuhamishie wilaya nyingine ila asimtoe kabisa unless kama kuna yaliyo chini siyajui kumuhusu.
Ikija vice versa mtajua mtu wenu fekiAnapitia file maana pdf ni kubwa kidogo ,kashatoa hint kwamba Kasesela ameenda na "MMA".
Ila ni kazi ngumu kuhutubia kundi la wanyonge "madereva wa bajaji" wakiwa katika hali ya mihemuko, hasa pale wanapohisi wanaonewa wakati unajaribu kuwafafanulia kuhusu kufuata utaratibu mzuri uliowekwa.
Hii kauli siipendi basi tuKwani wana iringa wanasemaje?
Kivipi, kama sio tatizo kubwa kwanini DC anaomba msamaha. Lingekuwa sio big deal kama lingefanywa na machinga mtaa waliodhulumiana.Kiukweli binafsi sioni kabisa kama ni big deal..
Naona kama kuna kampeni ya kulikuza
Mkuu Tindo, naheshimu mno maoni yako, isipokuwa kuna mazingira ambayo hujitokeza ambapo kunatokea uropokaji wa maneno yenye kuudhi ambayo humfanya mtu naye ajibu mapigo kwa lugha ya hovyo vilevile. Najaribu kuliangalia tukio hili kama "mutually exclusive case" kwa hiyo siwezi kumtetea Bibo ikiwa hiyo ndiyo kawaida yake kufanya hivyo.Utetezi dhaifu, hilo tukanaji lina tabia za kihuni toka zamani. Uchaguzi mkuu wa 2010 aliwahi kumpiga mtama polisi, hivyo huyo ni muhalifu toka zamani.
HutaaminiHaiihitaji Akili nyingi sana ukirejea Kuangalia ile Video ya Mtukanaji wa Iringa kujua kuwa Jamaa ( Mtukanaji ) yupo Frustrated mno na kwamba kuna Taarifa alishadokezwa ndiyo maana nae kaona amalize hasira zake za mwisho mwisho kwa Raia wa Iringa...