SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Ile si ndiyo walifaidi akina Polepole katika ule mradi wa kununua wapinzani uchwaraVipi kuhusu Ile michango yetu ya tetemeko kule Kagera ilifika Kwa walengwa? Tuanze Kwanza na magufuli tena dhambi Ile hakutubu mpaka anakufa.
Ana nesa nesaLeo umelipwa posho zote mpk na ya bando
Hahahaaaa........ Mungu anawaona mjue!Haziwezi kurudishwa kwani ile ilikuwa rushwa ya kumrubuni Mch. Msigwa aisaliti Chadema. Kwetu ile tunaihesabu kuwa ni nyara tuliyoiteka uwanja wa vita.
Hujambo manka?Ana nesa nesa
Kwani walizitoa mifukoni mwao?Za Mzee Halima na Bulaya utazijengeaje ofisi ya chama?!
Una uhakika alizikataa?!!Acha majungu. Msigwa alikataa kutolewa kwa fedha iliyotolewa na aliyemweka ndani. Mwulizeni Polepole, alizipeleka wapi baada ya Msigwa kukataa.
Lakini zitarudishwa kwenye account zao! Mawazo ni mazuri sana, lakini pesa ni nzruri kabla haijapatikana tu! Kumbuka yale machozi mazito ya Lijuhalikali, ya kulilia Laki 5 yake, aliyo saini kukichangia chama!Kwani walizitoa mifukoni mwao?
Huyo Lijualikali ajue kuna watu walikuwa wanakatwa hizo laki tano na ndiyo ziliwezesha yeye kuupata Ubunge.Lakini zitarudishwa kwenye account zao! Mawazo ni mazuri sana, lakini pesa ni nzruri kabla haijapatikana tu! Kumbuka yale machozi mazito ya Lijuhalikali, ya kulilia Laki 5 yake, aliyo saini kukichangia chama!
Yupo imaraAna nesa nesa
Kwanza tujue hizo pesa zilitoka wapi serikalini ama familiya. Pili jamaa alikuwa si mkweli na mambo yake alifanya kwa kutamka hata uongo ukaonekana ukweli. Tutaaminije ? Kama kweli alilipa hizo pesa. Mf alituaminisha shirika la ndege linapata faida hadi wanatoa gawio. Jiulize ilo gawio walilitoa kutoka wapi wakati juzi tu CAG katuambia shirika lilikuwa likipata hasara.. LABDA WAONGEZEE UREFU WA SHIMO LA KABURI ILI HAKI NA UHURU UZIDI KITAMARAKINawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Ulikuwa wapi we johnthebaptist !!??Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
CHADEMA haijawahi kupigwa faini/kuhukumiwa ni Watu individual hivyo na faini ililipwa Kwa jina la mtu aliyehukumiwa.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Kwa nini unataka zirudi alizotoa mwendazake tu? Kwa nini zilizotolewa na wananchi zisirudishwe?Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ikumbukwe kuwa hayati Magufuli kama mwanafamilia alichangia Tsh. 38,000,000 katika mchango wa wanafamilia ili kuwezesha malipo ya faini ya mchungaji Msigwa.
Pamoja na ukweli kwamba fedha hizi zilitumika kumtoa Freeman Mbowe kwani mchungaji Msigwa alibahatika kutoka kwa michango ya wanachama na sisi wadau wa siasa.
Je, CHADEMA watarudisha hizi tsh 38m kwa familia ya mwendazake Magufuli?
Uungwana na Vitendo.
Jumapili njema!
Amina mkuu!Ulikuwa wapi we johnthebaptist !!??
Nimefurahi kukuona jukwaani.
Hizo fedha zitarudishwa serikalini.