#COVID19 Uvaaji Barakoa kwa watoto wenye matatizo ya ukuaji na akili na si wa lazima

#COVID19 Uvaaji Barakoa kwa watoto wenye matatizo ya ukuaji na akili na si wa lazima

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
WatotoBarakoa.png


Shirika la Afya Duniani (WHO) linashauri kuwa matumizi ya barakoa kwa watoto wa umri wowote walio na shida ya ukuaji wa akili au mwili, upumuaji na matatizo mengine maalum ya kiafya hayapaswi kuwa ya lazima na kwamba tahmini ya hali ya mtoto ni muhimu kuelezwa na mzazi, mlezi au mtoa huduma wa afya.

Pia, inapendekezwa kuwa usimamizi wa kutosha wa watu wazima na maelekezo kwa mtoto ni muhimu kuzingatiwa ili kuhakikisha usalama wake dhidi ya COVID-19

=====

The use of masks for children of any age with developmental disorders, disabilities or other specific health conditions should not be mandatory and be assessed on a case by case basis by the child’s parent, guardian, educator and/or medical provider.


Source: WHO
 
Back
Top Bottom