Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
😹😹😹 ninayo ila kwa sasa sina nimefua ipo juu ya kamba, around saa kumi nitakua nayoUna nyash?🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 ninayo ila kwa sasa sina nimefua ipo juu ya kamba, around saa kumi nitakua nayoUna nyash?🤔
Tukutane kigambonino tunywe biaUko wapi.....
Aaah! Acha masikhara kama unalo nije unipunguzie 😂😹😹😹 ninayo ila kwa sasa sina nimefua ipo juu ya kamba, around saa kumi nitakua nayo
Wanpandisha midadiTukutane kigambonino tunywe bia
Hahahaaaa.Mdogo wangu kwa nini lakini? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Siksiyiaziegoohuko. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji81][emoji81][emoji81] ninayo ila kwa sasa sina nimefua ipo juu ya kamba, around saa kumi nitakua nayo
Mbona ni safi tuu..dunia tunayoelekea tutavaa tuu mitandio...😊😊😊View attachment 3056651View attachment 3056652
Mie napenda vikaptula na tshirt, ilitakiwa nisiishi uswazi mie 😔😔😔
Mke wa mtu anaheshima zake,Nipo maeneo flani hapa kuna bar nakula lunch yangu sasa hii bar bwana wadada wanavaa nguo fupi mno yani fupi.
Ila nimegundua kitu kimoja pamejaa wakaka na wababa wanaokula na wengine wanaibia ibia kunywa japo muda wa serikali wa kunywa haujafika.
Kwa jinsi wanavyoonekana hawa wakaka wanavutiwa mno na hawa mabinti jinsi walivyoumbika yani ni full kuwaangalia.
Kumbe wakaka mnapenda nguo fupi zilizoacha sehemu kubwa ya mwili wa mwanamke nje? sasa kwanini wanawake/ wake zenu mnawakataza.
Au nyie mnavutiwa na mavazi gani mwanamke akivaa unasisimkwa?
Mkivaa suti inafanya muonekane Diplomatic women'sMi mwenyewe nazipenda Abaya japo sio utamaduni wetu....nitanunua moja...
Suti daily? Au to some matukio...
Hahahaa. Lol.Hahahaaaa.
Mtu ali like comment yangu nikaja kuangalia nikasema nisiondoke hivi hivi bila kuacha tafaruku