Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Minofu gani tenaa[emoji3][emoji3][emoji124][emoji124]Umeona eeehhh[emoji122] [emoji122] !! Raha ya kimin uwe na minofu aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Minofu gani tenaa[emoji3][emoji3][emoji124][emoji124]Umeona eeehhh[emoji122] [emoji122] !! Raha ya kimin uwe na minofu aisee
[emoji85] [emoji85]Sanaaa ,ukipita mbele yangu umebeba chakula lazima niseme "Chakula ikoooo kimebeba Chakula chenzake"
vaa bikini mama mie hoiNusu uchi.
Acha uthengevaa bikini mama mie hoi
Akivaa mini skirt Cc Fake P Hope urassa [emoji7] ephen_Nipo maeneo flani hapa kuna bar nakula lunch yangu sasa hii bar bwana wadada wanavaa nguo fupi mno yani fupi.
Ila nimegundua kitu kimoja pamejaa wakaka na wababa wanaokula na wengine wanaibia ibia kunywa japo muda wa serikali wa kunywa haujafika.
Kwa jinsi wanavyoonekana hawa wakaka wanavutiwa mno na hawa mabinti jinsi walivyoumbika yani ni full kuwaangalia.
Kumbe wakaka mnapenda nguo fupi zilizoacha sehemu kubwa ya mwili wa mwanamke nje? sasa kwanini wanawake/ wake zenu mnawakataza.
Au nyie mnavutiwa na mavazi gani mwanamke akivaa unasisimkwa?
Mmmhh[emoji85][emoji85][emoji85]Mmh hawaelewekagi hao mwisho wa siku utakuta wenza wao au wake zao ni wanawake wanaovaa kiheshima hata kama sio shungi na magauni marefu basi zile nguo zenye Stara kwa mwanamke.
Huu Uzi ni mzuri sana mtani 😎😎Ww ndo umeufufua huu uzi nini??maana leo naona mmeamua kunifufua...🙃😃😃😃
Mdogo wangu kwa nini lakini? 🤣🤣🤣Mmmhh[emoji85][emoji85][emoji85]
😎😁🤣🤣😁😁 Tatizo macho mtani wanguYah uko vzr mtani.. maana twajiulizaa mbona mwakodolea macho kwenye vi minoo? Ila sie wake zenu hamtakiii...
Una nyash?🤔View attachment 3056651View attachment 3056652
Mie napenda vikaptula na tshirt, ilitakiwa nisiishi uswazi mie 😔😔😔
Analo huyo mzuri sana huyoUna nyash?🤔
Uko wapi.....Analo huyo mzuri sana huyo