Uvaaji gani unaokuvutia mwanamke akivaa?

Uvaaji gani unaokuvutia mwanamke akivaa?

5e2796d4853b5dd284d3e3ac8e434750.jpg
 
ila mara nyingi hata kama kavaa bikini bado huwa hutuangalii zile sehemu zilizobaki wazi huwa tunaangali pale ambapo bikini imefunika bado tunatamani na yenyewe iondolewe hayo ndio maajabu yetu wanaume.
N:B Sio kwa wanaume wa dar.
 
Mi mwanamke mwembamba mrefu akivaa suruali zao flan hivi zipo nyepesi nyepesi hazikamati mwili na shati ya hivo hivo...aloooo
 
Back
Top Bottom