Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YeahAiseee
Hapana haitatokea akapata ruhusa hiiHayo unamruhusu mkeo yenye kimpasuo?
Ukweli uliotukuka.. wavaa nusu uchi ni viburudisho vya macho na usiku mmoja. ila mke wa maisha lazima ajistiriMmh hawaelewekagi hao mwisho wa siku utakuta wenza wao au wake zao ni wanawake wanaovaa kiheshima hata kama sio shungi na magauni marefu basi zile nguo zenye Stara kwa mwanamke.
hao unawapa ofa ya bia tuu usiku unamla kiulainiiiIla wadada wamependeza kwa macho wanavutia hasaaa
amna banaHaugopi magonjwa? Maana kila mtu anawapata kiulaini
Hapo itakuwa toroka uje Tabata sanene yaani wadada wa hapo wanavaa nguo fupi za kubana sawa na miili yao hadi utamu wote nje njeNipo maeneo flani hapa kuna bar nakula lunch yangu sasa hii bar bwana wadada wanavaa nguo fupi mno yani fupi.
Ila nimegundua kitu kimoja pamejaa wakaka na wababa wanaokula na wengine wanaibia ibia kunywa japo muda wa serikali wa kunywa haujafika.
Kwa jinsi wanavyoonekana hawa wakaka wanavutiwa mno na hawa mabinti jinsi walivyoumbika yani ni full kuwaangalia.
Kumbe wakaka mnapenda nguo fupi zilizoacha sehemu kubwa ya mwili wa mwanamke nje? sasa kwanini wanawake/ wake zenu mnawakataza.
Au nyie mnavutiwa na mavazi gani mwanamke akivaa unasisimkwa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji124][emoji124]Sasa home noma nimeoa mke anitunzie watto wenye maadili sasa mtt akikuta mama yao anavaa nguo za ajabu wakiiga mwisho wa siku wakinitega nisema shetani hapana ndio waliweka bar ukikosa nyumbani nenda bar utawakuta nguo fupi na ukitaka akuonyeshe zaidi ndio unaongea naye sasa.
Kwan sumu ile [emoji3][emoji3][emoji124][emoji124]Waafrika tamaa nje nje! Yaani hadi watoto wako wanaweza kukutega??