Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

red bandama

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2016
Posts
483
Reaction score
574
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo. Huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli. Katika umri wake aliyeishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa. Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Millya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza rafiki!

Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.

Kero kubwa iliyojitokeza msibani ni wanawake waliotokea Dar es Salaam walivaa kiaibu sana. Waligeuza msiba sehemu ya kutangaza viungo vyao!

carol Ndosi ambaye ni mfiwa, alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi nguo ya ndani aliyovaa. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwake kwa maskitiko

Mwanamke yeyote kwenye msiba wa jana alivaa nguo inayoonesha mapaja. Hii iliwahuzunisha sana wazee wa kimeru.

Wanawake wa Dar, msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni ya mavazi.

Nyie wanawake wa Dar badilikeni!
 
Last edited:
Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!
 
Wewe ujue kutofautisha watu wa dar na watu wa mikoani waliohamia dar!!.. nyinyi mliokuja dar ndio tatizo mnaiga kila kitu hadi ushoga!!.. huo msiba wenu ulijaa machalii wa kaskazini wamejiremba na kujipamba halafu unawaita wa dar!!.. miyeyusho sana nyinyi wakuja
 
Wewe ujue kutofautisha watu wa dar na watu wa mikoani waliohamia dar!!.. nyinyi mliokuja dar ndio tatizo mnaiga kila kitu hadi ushoga!!.. huo msiba wenu ulijaa machalii wa kaskazini wamejiremba na kujipamba halafu unawaita wa dar!!.. miyeyusho sana nyinyi wakuja
umeona eeeehhh
 
Mkuu mbona unakuwa mchoyo wa fadhila?? Si ungesifia tu kuliko kuponda? Yaani tuseme kweli kama we ulienda msibani kwa kuguswa na msiba ulipata wapi mda wa kukagua mpka chupi za wafiwa!! Na nywele za wanaume wenzio? Okay iko hivi hatuwezi kuishi na kutenda kama babu zetu! Kumbuka wao walivaa vidude tu vya kufunika mahali flani hivi kwingine kote ilikuwa free! Walau sisi kidogo tunafichaficha
 
Ungezungumzia tu uvaaji mbaya kwenye msiba bila kumtaja dada wa marehemu. Kumtaja kwako inaweza kuleta dhana kuwa lengo lako lilikuwa kumshambulia tu huyo dada ila umetumia mgongo wa mavazi.
Kipindi anachopitia sasa hivi si kizuri kuanza kumshambulia kuhusu mavazi kwenye msiba wa mpendwa kaka yake.
 
Dar hamna hiyo tabia hao ni watu wa mkoani walikuja dar kusaka maisha sasa wanarudi makwao wanajionyesha walikuwa mambele
Dhambi ya ubaguzi haikuachi salama, sasa wanawasema ndugu zao bila kujijua.
 
Ungezungumzia tu uvaaji mbaya kwenye msiba bila kumtaja dada wa marehemu. Kumtaja kwako inaweza kuleta dhana kuwa lengo lako lilikuwa kumshambulia tu huyo dada ila umetumia mgongo wa mavazi.
Kipindi anachopitia sasa hivi si kizuri kuanza kumshambulia kuhusu mavazi kwenye msiba wa mpendwa kaka yake.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!
Bora wafanyie huko huko dar
 
Wewe ujue kutofautisha watu wa dar na watu wa mikoani waliohamia dar!!.. nyinyi mliokuja dar ndio tatizo mnaiga kila kitu hadi ushoga!!.. huo msiba wenu ulijaa machalii wa kaskazini wamejiremba na kujipamba halafu unawaita wa dar!!.. miyeyusho sana nyinyi wakuja
Hamna sio kweli mkuu vijana wa daresalama ndo walijiremba
 
Back
Top Bottom