Mwanga Lutila
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 4,208
- 14,143
Unaambiwa msibani ndio sehemu pekee ya mtu kuonekana alivyo.
Mtu anajiuliza avae nguo gani na anaenda na Saluni kabisa.
Mtu anajiuliza avae nguo gani na anaenda na Saluni kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaleta huko mikoani sasa!Bora wafanyie huko huko dar
Binadamu hawana jema hata kuvaa tuwapunguzie sononeko wanatusema [emoji23][emoji23][emoji23]Wenzenu wanawapunguzia maumivu na masikitiko ya kupoteza kipenzi chenu, bado mnalalamika?! Kweli binadamu haridhiki aise..🙁😡😕😎
Unafiki kitu kibaya sana mkuu, hahahahaha,.Eti wanaume wanageuzia macho kwao 'kimasikitiko', hakuna masikitiko hapo mkuu waligeuzia macho kwao kwa matamanio tu hao
[emoji1] [emoji1] naona mnatupiana mpira tu.Hamna sio kweli mkuu vijana wa daresalama ndo walijiremba
Mnazingua mjuwe nyie maana kizzo insta alikuwa na followers 2K elfu mbili tu.Kama upo kwenye Social.media na hamkumjua Kizzo bas tena..in short alikuwa activist, entrepreneur na mwanaharakati wa mabadiliko kwa vijana..n.k
HahahaaAhaa wachina wao wanagiza wacheza uchi kuburudisha wafiwa. Kwa maudhulio msibani waombolezaji nyomiii mi napenda wanatusahausha kama tunakufa nakuondoa sononeko moyoni
Usiseme watu wa Dar sema watu wa mikoani mliohamia darJana tulikuwa tunamzika brother Kizzo huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli katika umri wake alioishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa.
Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Milya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza Rafiki. Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.
Kero iliyojitokeza ni wanawake hasa waliotokea Dar es Salaam waliovaa kiaibu sana. Waligeuza msiba kuwa sehemu ya kutangaza viungo vyao.
Cha kushangaza hata Carol Ndosi ambaye ni mfiwa alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi chupi iliyokuwepo ndani. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwakwe kwa masikitiko.
Wadada wengi kwenye msiba wa jana walivaa nguo zinazoonesha mapaja na hii iliwahuzunisha sana Wazee wa Kimeru.
Wanawake wa Dar es Salaam msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni za mavazi.
Na ww ulikuwepo msibani?Kumbe walikuwepo walovaa hivyo? Niliowaona wengi walikua wamevaa suruali. Sema ujumbe tumeupata
Hata huku mjini wanaofanya mambo ya ajabu wengi wametoka mikoani sie wazawa hatuna tabu..Wewe ujue kutofautisha watu wa dar na watu wa mikoani waliohamia dar!!.. nyinyi mliokuja dar ndio tatizo mnaiga kila kitu hadi ushoga!!.. huo msiba wenu ulijaa machalii wa kaskazini wamejiremba na kujipamba halafu unawaita wa dar!!.. miyeyusho sana nyinyi wakuja