Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,413
- 4,020
miwani meusi wakitinga nayo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hawa wakuja wanatabu sana.Dar hamna hiyo tabia hao ni watu wa mkoani walikuja dar kusaka maisha sasa wanarudi makwao wanajionyesha walikuwa mambele
We ulikua umevaaje?Kumbe walikuwepo walovaa hivyo? Niliowaona wengi walikua wamevaa suruali. Sema ujumbe tumeupata
Wa mkoani huyo hatakuelewa.Mkuu mbona unakuwa mchoyo wa fadhila?? Si ungesifia tu kuliko kuponda? Yaani tuseme kweli kama we ulienda msibani kwa kuguswa na msiba ulipata wapi mda wa kukagua mpka chupi za wafiwa!! Na nywele za wanaume wenzio? Okay iko hivi hatuwezi kuishi na kutenda kama babu zetu! Kumbuka wao walivaa vidude tu vya kufunika mahali flani hivi kwingine kote ilikuwa free! Walau sisi kidogo tunafichaficha
Suruali tuuWe ulikua umevaaje?
Asante dear ila nilikwambiaNingejua ningekuja.
Ila pole sana my best mzigua
Yes dearNa ww ulikuwepo msibani?
Na T shirt nyeupe au?Suruali tuu
NyeusiNa T shirt nyeupe au?
Kuna dots nilikua najaribu kuconnect lakini naona nimekwamaNyeusi
Ahahahahahahah duhkwani uyo kizzo alikuwa ninani hapa Tz maana kizzo amekuwa kizzo.
Utoage hata taarifa best,kimya kimya sio poa...Yes dear
Poleee. Nyeupe za vipi? Utakua umeona rafiki zangu labdaKuna dots nilikua najaribu kuconnect lakini naona nimekwama