Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli katika umri wake alioishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa.
Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Milya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza Rafiki. Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.
Kero iliyojitokeza ni wanawake hasa waliotokea Dar es Salaam waliovaa kiaibu sana. Waligeuza msiba kuwa sehemu ya kutangaza viungo vyao.
Cha kushangaza hata Carol Ndosi ambaye ni mfiwa alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi chupi iliyokuwepo ndani. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwakwe kwa masikitiko.
Wadada wengi kwenye msiba wa jana walivaa nguo zinazoonesha mapaja na hii iliwahuzunisha sana Wazee wa Kimeru.
Wanawake wa Dar es Salaam msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni za mavazi.