Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

Uvaaji mpya wa wanawake kwenye misiba unatia aibu

Mkuu mbona unakuwa mchoyo wa fadhila?? Si ungesifia tu kuliko kuponda? Yaani tuseme kweli kama we ulienda msibani kwa kuguswa na msiba ulipata wapi mda wa kukagua mpka chupi za wafiwa!! Na nywele za wanaume wenzio? Okay iko hivi hatuwezi kuishi na kutenda kama babu zetu! Kumbuka wao walivaa vidude tu vya kufunika mahali flani hivi kwingine kote ilikuwa free! Walau sisi kidogo tunafichaficha
Kuonyesha maungo msibani Ni sawa
 
Ungezungumzia tu uvaaji mbaya kwenye msiba bila kumtaja dada wa marehemu. Kumtaja kwako inaweza kuleta dhana kuwa lengo lako lilikuwa kumshambulia tu huyo dada ila umetumia mgongo wa mavazi.
Kipindi anachopitia sasa hivi si kizuri kuanza kumshambulia kuhusu mavazi kwenye msiba wa mpendwa kaka yake.
Kuja na nguo inayoonesha chupi msibani Ni Sawa?
Wacheni kujitia upofu
 
Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!
Unamaanisha mkuu tuanze kuvaa nguo za asili yetu walizokuwa wanavaa mababu zetu ama?
 
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli katika umri wake alioishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa.

Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Milya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza Rafiki. Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.

Kero iliyojitokeza ni wanawake hasa waliotokea Dar es Salaam waliovaa kiaibu sana. Waligeuza msiba kuwa sehemu ya kutangaza viungo vyao.

Cha kushangaza hata Carol Ndosi ambaye ni mfiwa alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi chupi iliyokuwepo ndani. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwakwe kwa masikitiko.

Wadada wengi kwenye msiba wa jana walivaa nguo zinazoonesha mapaja na hii iliwahuzunisha sana Wazee wa Kimeru.

Wanawake wa Dar es Salaam msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni za mavazi.
Mkuu ungetupia na kapicha japo kamoja ingependeza zaidi
 
Mlikuwa mmekaa karibu na Gardiner habash muda wa kuzika?

Kuna kundi la wadada wa daresalama walikuwa wanapepesa sana macho
Yaani unavyoongea humu ni wazi ulikuwa msibani kutazama na kufuatilia wengine.
 
Huu mtindo ulianza like six years back wa kinadada na wamama kuvaa vimini kwenye misiba!
Inasikitisha na kuhuzunisha sana!
Sio kila jambo la wadhungu la kuigwa jamani uwiii!
TUBADILIKE WALAHI!
Biashara na matangazo popote.Wengine humuendi beach au klabu mtaonaje bidhaa?
 
Utadhani wote humu tulikuwa msibani, weka kapicha tuone hao wadada walivyojiachia
 
Jana tulikuwa tunamzika brother Kizzo huyu jamaa alikuwa mtu wa watu kweli kweli katika umri wake alioishi duniani amegusa watu wengi waliokuwepo msibani watanielewa.

Kila aliyesimama alisema Kizzo was a friend hata kina Milya, Lema, Nassary waliposimana walisema tumpoteza Rafiki. Kiukweli huyu jamaa alikuwa mtu poa sana kuanzia hometown Arusha hadi Dar.

Kero iliyojitokeza ni wanawake hasa waliotokea Dar es Salaam waliovaa kiaibu sana. Waligeuza msiba kuwa sehemu ya kutangaza viungo vyao.

Cha kushangaza hata Carol Ndosi ambaye ni mfiwa alivaa vibaya sana. Alivaa dera ambalo ni transparent tulikuwa tunaona hadi chupi iliyokuwepo ndani. Hii ilipelekea wanaume kuhamishia macho kwakwe kwa masikitiko.

Wadada wengi kwenye msiba wa jana walivaa nguo zinazoonesha mapaja na hii iliwahuzunisha sana Wazee wa Kimeru.

Wanawake wa Dar es Salaam msibani sio sehemu ya kuonesha fasheni za mavazi.
Biashara ni Matngazo
 
Back
Top Bottom