jinga sana wewe umeamua kujijibu na multiple ID'Sficha upumbavu wako! ulinijulia wapi kwa mfano? halafu nijitetee ili iweje naitaji nini kwako kwa mfano jiangalie kwanza? wanaonijua wapo tena
mkuu watasema hii ni id yangu ! hebu njoo pm mpenzi wangu nikuhug kabla sijalala babe
nakuona hapo Miss Natafuta na ID nyingine hapa wooden flagWaache wachonge mama,asiyejua maana usimwambie maana
halafu wengi mabwabwa cc rayyoungrMadada wa humu sikuizi kuna utata kumbe wengi wao ni madume kwa ID za kike
Shemale...Uyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
Aysher usinifanyie hivyo, mwanza mbali utaniua mimiWa Mwanzanian kunako sato [emoji4]
Hizo za dukani ukitoa nguo za ndani kuna wanaojaribu na jioni zinatundikwa tena kwenye hanger, labda ushonewe na fundi Said pale Magomeni ndiyo inakuwa mpya.Story ni tamu tena ni nzuri.
Ujumbe wake pia ni mzuri.
Umeiweka stori kikike kike imekataa[emoji23]
Nikirudi kwenye Mada: nguo special za dukani hakuna haja ya kuifua sababu inatoka moja kwa moja kiwandani. Lakini nguo za mtumba inabidi uifue tu hata kama ni tshirt unaweza kutoka vipele mwili mzima, fungus na majipu
haha mkuu ufe kisa nyuchi?Aysher usinifanyie hivyo, mwanza mbali utaniua mimi
Siaminimimi ni wa kike
Hebu twende ukalale loooh!!jinga sana wewe umeamua kujijibu na multiple ID'S
nakuona hapo Miss Natafuta na ID nyingine hapa wooden flag
Utanifukuzia ndege wangu mkuu[emoji1] [emoji1]haha mkuu ufe kisa nyuchi?
Kwa hiyo ukinunua viatu dukani unaenda kuviosha na sabuni mkuu?[emoji1]Hizo za dukani ukitoa nguo za ndani kuna wanaojaribu na jioni zinatundikwa tena kwenye hanger, labda ushonewe na fundi Said pale Magomeni ndiyo inakuwa mpya.
What!!!!!! Vp kuhusu vipimoHizo za dukani ukitoa nguo za ndani kuna wanaojaribu na jioni zinatundikwa tena kwenye hanger, labda ushonewe na fundi Said pale Magomeni ndiyo inakuwa mpya.
Jamani fundi Said si ana tape measure? Kwa wale mliozoea kununua nguo dukani za wanawake kuna size 8, 10, 12, 14, 16, 18, 20, 22 on and on.What!!!!!! Vp kuhusu vipimo
Unakosea sana kijana, ila haiharibu kitunakuona hapo Miss Natafuta na ID nyingine hapa wooden flag
KinjekitileUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?
hahahaha umenibambaa ngoja nije tuimbe kuch kuch ho taeHebu twende ukalale loooh!!
tafuta ulimbo atanasa tu usijali _aysherUtanifukuzia ndege wangu mkuu[emoji1] [emoji1]
shauri yakoUnakosea sana kijana, ila haiharibu kitu
gay litamfaa zaidiUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?