Uvaaji wa chupi mpya kwa wanawake

Sijaelewa hapa tatizo n nn had kumsakama Miss N. Kwangu mi kununuliana underwear na rafiki yangu n kitu cha kawaida wala sioni ajabu. Ninyi ndo mnahisi watu tofauti.....
 
Najua lengo ni kufikisha ujumbe kuwa umenunua hiyo na unategemea kupata anachokificha ndani ya hiyo nguo na wewe akileta boxer usifue
 

Vipi yule bosi anayefahamu kama uko kwenye mambo yetu hajambo?
 
Sijaelewa hapa tatizo n nn had kumsakama Miss N. Kwangu mi kununuliana underwear na rafiki yangu n kitu cha kawaida wala sioni ajabu. Ninyi ndo mnahisi watu tofauti.....
achana nao mamy tatizo huku watoto wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…