bo adams
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 213
- 351
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ilikuwa mpya mkuu sio mtumbamitumba mipya?
sijakimbia mkuu nawashangaa tu watoto wanavopanic cha ajabu ni nini?Miss natafuta kakimbia[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
huku watoto wengi hawawezi kuelewa mkuuDemu ukimnunulia chupi asilimia kubwa atakuonyesha ilivyo mfit, then one thing leads to another!!
Kuna boss wangu wa kike ni rafiki yangu kiaina, ana roho nzuri sana na tunaelewana sana kiaina.
Alisafiri siku zilizopita kuna mtu akawa amepitisha chupi anauza nikamnunulia nae za kutosha jana nikampa. Asubuhi kanionesha ameivaa nikamuuliza umefua saa ngapi akaniambia chupi mpya unafua kwanini?
Huyu mama ni msomi na kaishi mbele miaka mingi tu kwahiyo anajua mambo mengi. Je chupi mpya haifuliwi?
sijali kuhusu wao kama wamesema so what?Walosema wewe ni wa kiume ila Unatumia ID ya kike wako sawa
yule ni mdVipi yule bosi anayefahamu kama uko kwenye mambo yetu hajambo?
Usijali just an example ntakutumia zingine
Mmmmmmh... jf siku hizi imevamiwa.
Kumbe kuwa mdada dili eeeh
achana nao mamy tatizo huku watoto wengiSijaelewa hapa tatizo n nn had kumsakama Miss N. Kwangu mi kununuliana underwear na rafiki yangu n kitu cha kawaida wala sioni ajabu. Ninyi ndo mnahisi watu tofauti.....
kawaida tu mkuuKumbe mnaoneshana?
Hakuna anachobembeleza nimemwambia tu marangi ya hizo chupi hayavutiiHahaha. Hili jibu kama unabembeleza kitu hivi. Safi sana.
WE NI MWANAUME.sijali kuhusu wao kama wamesema so what?
na wewe ni mwanamkeWE NI MWANAUME.
hapana watu wazima kuoneshana pichu sio kawaidakawaida tu mkuu
Mtoto wa Mama, James Delicious au kaogeUyu ni wa kiume,ila anatumia ID ya kike,tumuiteje kwa majina ya siku iz?