Uvaaji wa Culture (Bracelet) na tabia za ukahaba kwa dada zetu

Uvaaji wa Culture (Bracelet) na tabia za ukahaba kwa dada zetu

Kwahyo mleta uzi umefukunyua porno zote za kibongo na magrupu ya telegram, ulipomaliza haja zako , ndo ukaja na hitimisho kama hili!?

mbona mpaka wanaume wanaovaaa hizo bracelets wako wengi!? na wao wanaliuza!?

Hizi tafiti zenu ambazo mkukuta kitu in common mnaleta generalization zisizo na msingi sio fair kabisa! Kuhusu vikuku naelewa ila kacha/bracelet huko mmefika mbali!
 
Mkuu unaloongea lina ukweli asilimia mia, hiki ni kizazi cha laana kisicho na punje ya maadili, hadi unajiuliza endapo watoto wataendelea kuzaliwa na kulelewa kwenye familia kama tulivyozaliwa na kulelewa sisi na wazazi wetu. Hadi huwa najiuliza kuna connection gani kati ya kuwa muhaya na kupenda ngono kupita kiasi, unakuta kumbe ni laana au maroho machafu yanakuwa yamewavagaa watu.......
 
Ni kama utani ila hatua hii ni msaada na ni moja ya njia ya kutatua.....

Itapunguza ukahaba/umalaya hasa wenye lengo la kusambaza/kuuza video maana hakuna soko...

Matatizo yanayosababishwa na kuangalia sana video za ngono mtandaoni hali inayotia chachu kupiga Punyeto inayoweza kuleta madhara mengine INAPOZIDI.

Uvivu, Mawazo ya ngono, Umaskini n.k. Kuna watu Hakosi bundle, lakini bundle hilo ni la kuingia kwenye mitandao hio pendwa na kuangalia videos za XXX, hapa nazungumizia wale addicted, kwa siku anatumia masaa kuangalia, Sasa kama anatumia mda mrefu kufanya hivyo Kazi/Elimu au shughuli yoyote ya msingi anafanya kwa mda gani? Na kama hafanyi Mambo ya muhimu kama hayo Atapataje pesa?

Kwahiyo unakuja kuona mtu anatumia pesa pasipo ya mda kuzitafuta, hapa sasa ndio kutafuta njia kitonga za upataji wa hizo pesa, naamini zinajulikana.

Kama ni kweli basi kati ya Mambo ya Msingi Serikali imefanya basi hili nawapa heko, na hakuna Sababu ya Kurudi nyuma... Kuna watu watasaidika katika hili Japo Mwanzoni ataona ni mateso.
Mkuu hiki ni kizazi kilichooza, uhalali wa mwanadamu kuendelea kuishi hapa duniani ndani ya kusudi la Mungu ni kama haupo tena......ibilisi almost anaendesha kila aspect ya maisha.
 
Kweli site zenu zimefungiwa?
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji25][emoji25]
 
Ivi wewe inakuuma nini mtu akijiuza mwili wake au hata kama anaingiliwa kinyume wewe unaumia wapi?

Watanzania tuache unafiki na kuingilia maisha binafsi wewe huyo mtu haumlishi,haumvishi wala hamsaidii kwa lolote unataka kuingilia maisha yake aliyochagua, ukiona huduma inatangazwa jua kuna wateja japo sio lazima uwe wewe au wewe uipende hiyo huduma
Nadhani hata dada yako akiwa anajiuza mwili wake na kuingiliwa kinyumenyume uwe na moyo huohuo wa kutoumia pumbavu sana
 
Nadhani hata dada yako akiwa anajiuza mwili wake na kuingiliwa kinyumenyume uwe na moyo huohuo wa kutoumia pumbavu sana
Kwani kuna shida gani kama Mimi haugusi mwili wangu na havunji sheria yaani hata Kama ni mama yako anapakwa mafuta kwenye tundu la haja kubwa mimi nitakua mteja wake
 
Upuuzi huu yaan mtu kuvaa Culture mkononi mmeanza kuleta na Tafsiri zenu zisizo na Maana. Ebu tumia akili yako vzr basi. Umalaya uko ndani ya Mtu siyo aina ya Vitu anavyovaa kweny Mwili
 
Eehhh bwana umenikumbusha, jana nilitoka kazini nimechoka tena asubuhi night ya kwanza, nikapita sehemu nikakuta saluni nikaingia kunyoa, nilivyo maliza nikawaona kwa ndani wadada wanafanya massage nikazama aisee, kufika tu nikapewa bei ya elfu tano na tatu ila cha kushangaa alivyozidi kunikanda uso na bega na utalaam mwingi kwenye shingo yaani mashine ikaanza kucheza kwenye suruali

Kila akiniambia tufanye ni hii mwanaume niko hoi na huku wallet nilikuwa na 400k hivi mpaka anamaliza kunihudumia zilinitoka kama elfu 40 hivi na vicenti kadhaa

Niseme sisi wanaume kuruka kwa mwanamke ni ngumu na walivyokuwa wazuri aisee unashawishika [emoji3][emoji3]

Mda huo ananishika kifua iko wazi na mwili wangu wa gym yule dada naona alipagawa, huku wengine pia wananipiga vijicho vya hatari, mbona niliomba namba mwenyewe[emoji3]
 
Habari,

kwanza niipongeze serikali kwa kufungia tovuti zote za video za porn( maarufu kama X videos) uamuzi huo umefikiwa leo tarehe 19/7/2021, ambapo tovuti zote za ngono zimekuwa burned na serikali hutaweza kuziangalia kwa kupitia kifaa chochote iwe ni simu wala computer

JE, SERIKALI INALIJUA HILI:
Ni kwamba kwa sasa biashara ya ukahaba imeshamiri mno hasa dar es salaam na Zanzibar na imekuwa ni biashara kubwa mno ambayo ndugu zetu( dada zetu) wanaifanya bila ya kificho,kiasi imefikia anakufata mpaka nyumbani kwako kwako kabisa mnafanya unamlipa mnafanya mpaka asubuhi anaondoka kwake.

Dada zetu wamekuwa wanajiuza kupitia mitandao ya badoo, tinder, tagged na hasa huko telegram ndo kumeoza kabisa,wengine ni wadogo umri wa miaka hata 15 maskini ya mungu,na wengine ni wake kabisa wa watu na wengine masupa star kabisa ndani ya nchi hii, serikali iangalie na huko hakika kumeoza mno.

Kwa sasa madanguro ya malaya, hasa Sinza, Tabata, Kinondoni, Temeke na Mwananyamala yamezid imefikia hatua wamekuwa wanakodi nyumba hata kumi katika mtaa mmoja na kuzifanya madanguro ya kufanya biashara hiyo sasa sijui serikali za mitaa zinafanya kazi gani maana ukifika kituoni ukimuuliza mtu yoyote akwambie wapi wanapopatikana wahaya utapelekwa.

Sehemu zote wanakofanya massage ndani ya dar es salaam kumeoza biashara ya hivi vituo vya massage kupewa vibali na serikali ni kuruhusu kushamiri kwa biashara hii ya ukahaba kwani asilimia kubwa ya watoa huduma hiyo huwa wanatoa huduma nyingine ya kimwili,ukitaka kuthibitisha hilo tembelea sehemu yoyote yenye huduma ya massage then waambie huduma zao lazma uchoke wanafanya mpka body to body massage mkiwa uchi wa mnyama.

Najua unaweza kuwa unayasoma haya lakini ukaona kama hayakuhusu lakini kiukweli ni kwamba yanakuhusu kama siyo anafanya dada yako basi jua ni dada yako,mkeo,shangazi yako na hata mama yako anaweza kuwa anaifanya na kwa sasa biashara nyingine kubwa wanayoifanya dada zetu ni kwamba mbali ya kufanya biashara hii ya ukahaba wana biashara nyingine kubwa ya kutengeneza na kuuza video zao za ngono mtandaoni.

wengi watastuka lakini serikali inapaswa kujua kuwa kila siku zinatengenezwa video zaid ya 1000 na kurushwa kwenye application nilizozitaja hapo juu kwa kiasi cha fedha hivyo kufungwa kwa hizo sites za ngono tutarajie kupatikana kwa video nyingi mno za ngono za kitanzania ambazo zinazalishwa na watanzania tena wengi wakifanya kinyume na maumbile na wengine wakidiriki hata kufanya threesome.

Mwanzo walikuwa wakionyesha sura zao live na wakiwa wanafanya uchafu wao lakini siku hizi kumekuwa na fashion hasa kwa wanawake wengi kuvaa bracelet(culture)za bendera ya Tanzania au kenya mkononi.

ndugu yangu ukimuona mkeo,au mpenzi wako anavaa hivyo mkononi au kuvaa shanga mguuni hesabu huna mtu hapo huyo ni kahaba na hiyo ndo huwa inatumika kama alama yao na wengi utawapata magomeni,sinza,tabata,mbezi,kinondoni,mwnanyamala,temeke,mbagala na kimara

hizi hapa ukimuona mtu kavaa ujue yupo kazini na kwa ushahidi angalia wengi waliocheza/au kuweka video zao za ngono lazma utawaona wamezivaa hizi culture mkononi.

serikali ikimalizana nao mtandaoni ihamie mitaani hali ni tete wasagaji kila mtaa wamejaaView attachment 1898942View attachment 1898943
Naunga mkono kufungiwa kwa hizo site za ngono maana dah! Bando na muda vilikua vinapotea tu[emoji3] huko kwenye kujiuza nankuvaa braclet cjui
 
Kuhusu website za ngono kufungiwa sina la kusema......... ila kuhusu huu urembo wa kuvaa mkononi wa shanga siwezi acha kuvaa sababu naupenda sana. Na hizo shutuma zako niko nazo mbali. Kiurefu hazinihusu.
 
wapo baadhi wanao vaa bila kujua lakin wengi wapo kwenye mtandao pendwa na ili uuze video yako wateja waipende na kuamini ni lazma utumie hyo ili wajue ni made in Tanzania.

hope kwa waliowahi angalia porn za Tanzania hawawezi kubisha hili la uvaljwaji culture
Hizo porn za tz unazipataje? Nipe link nizame chap au mtandao gani
 
wewe bwege sana.....hao waliozifungia wanapoteza nguvu nyingi za bure......BINADAMU tumeumbwa na AKILI nyingi sana.......nilitegemea ungeishauri sereikali iangalie namna ya kukusanya TOZO na huko.....unakuja na povu la sabuni LIMAO.......kausha blaza....watu wanaPONA huko....kuna watoto wanasomeshwa na hizo kitu......we elimisha wanao na dada zako....huku duniani tuachie...
 
Itasikitisha sana, endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Back
Top Bottom