Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kweli bongo kuna viwanda vya kuzalisha uongo, alijisemeaga jk.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha nikiweka picha zao ntahamasishaUzi mzuri picha mbaya!!
WAKENYA MPAKA MAPROFESA WANAVAA. NILIMUONA PROFESA WA PSYCHOLOGY AKIHOJIWA NA MUHAMMAD ALI AMEKULA SUTI MKONONI AMEVAA BRACELET, BINAFSI HATA MIMI NAPENDA BRACELET ZENYE NEMBO YA NCHIMkuu acha kupotosha watu aisee, yani mtu kuvaa hiyo culture ndo anafanya biashara?? Watu wengi tu hupendelea kuvaa hivyo na hata hawajihisishi na hizo mambo.
Ukienda mikoa nje ya dar hasa iringa nSIa njombe wengi wanapendelea kuvaa hivyo vidude na wanapokuja dar huja navyo. Hilo la kusema kisa video za utupu ulizoangalia ukakuta wamevaa hiyo na kuja na hoja jumuishi kama hiyo ni kuharibu biashara ya wanaotengeneza hizo culture.
Si ajabu uliona video ya mtu mmoja ila kasex na watu tofauti tofauti ukadhani ni watu wengi ama lah basi wewe ni mdau mkubwa wa pilau.
mawazo mazuri, lakini usisahau pia kuna watu wanatafuta sana pesa ila mwanatenga muda pia kuangali LIVE PORN, NA KUNUNUA MAKAHABA HATA WAWILI ANALALA NAO KWA 3SOME....Ni kama utani ila hatua hii ni msaada na ni moja ya njia ya kutatua.....
Itapunguza ukahaba/umalaya hasa wenye lengo la kusambaza/kuuza video maana hakuna soko...
Matatizo yanayosababishwa na kuangalia sana video za ngono mtandaoni hali inayotia chachu kupiga Punyeto inayoweza kuleta madhara mengine INAPOZIDI.
Uvivu, Mawazo ya ngono, Umaskini n.k. Kuna watu Hakosi bundle, lakini bundle hilo ni la kuingia kwenye mitandao hio pendwa na kuangalia videos za XXX, hapa nazungumizia wale addicted, kwa siku anatumia masaa kuangalia, Sasa kama anatumia mda mrefu kufanya hivyo Kazi/Elimu au shughuli yoyote ya msingi anafanya kwa mda gani? Na kama hafanyi Mambo ya muhimu kama hayo Atapataje pesa?
Kwahiyo unakuja kuona mtu anatumia pesa pasipo ya mda kuzitafuta, hapa sasa ndio kutafuta njia kitonga za upataji wa hizo pesa, naamini zinajulikana.
Kama ni kweli basi kati ya Mambo ya Msingi Serikali imefanya basi hili nawapa heko, na hakuna Sababu ya Kurudi nyuma... Kuna watu watasaidika katika hili Japo Mwanzoni ataona ni mateso.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na ww ushaanza kuvaaHahhaaaa dunia ina vituko sana
Kwa hiyo siku hizi tunaovaa culture ni wauzaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu vipi umeshapata connection au nikusambazie 😀Hahaha, upo vizuri mkuu! Hivi hizo connection za telegram mnazipataje?
Kumbe hao Wanawake wapo[emoji848] Basi mawakala wa shetwani ni wengi sana[emoji849]Kuvaa culture sina wasiwasi, wasiwasi ni tattoo ya kipepeo au nanga juu ya kiuno.
Nitupie pm mzee🙂
Ndiyomaana jua linawaka kali sana na laana za magonjwa ya ajabu ajabu hadi yasiyo na tibaAcha watu watumie miili yao vile wanajiskia. Unataka Mabachelor wakapunguzie wapi ugwadu? Au unataka ubakaji uongezeke mtaani? Ikiwezekana serikali ihalalishe hii biashara na wakusanye kodi kabisa, watoe na elimu kwa wauzaji na wanunuzi jinsi ya kujikinga na magonjwa ya zinaa
Japan wanahitaji Wanaume marijali toka popote duniani wakawazalishe Wanawake wa nchi yao sababu Wanaume wengi wameathirika na pornography, video za X na upigaji punyeto.Yaan tumekua nanchi yakipuuzi sana. Kama kunamtu anamlipa mwanamke kwaajili yasex mtu inamsumbua nin?? Au walitaka watu waishi vip???
Video zangono nimoja ya elimu Kama elimu nyingine (Sex education). Nchi nimaskini Sana wengi wao wanaishi kwakipato cha chini ya dola moja, Kuna walio barikiwa kuoa, Kuna waliobarikiwa kulipia Malaya na Kuna wapiga punyeto wote wanafanya hayo kujitosholewa mahitaji ya miili yao, navideo zangono pamoja nauwepo wahao wanaojiuza zinasaidia kua source ya furaha nastarehe kwenye maisha yawatu.
Tumekua hatuna agenda zamaana zamaendeleo nimambo yakipumbavu tu kila kukicha
Ndiyo matatizo ya kuiga iga kila kitu bila ya kujua chanzo chake na maana yake, kuna Wanawake walivaa vikuku kama urembo hatimaye walilazimishwa kufanywa kinyume na maumbile wakadhurika na kuathirika.Nimejikuta tu nawawaza wale wanaovaa hizo bracelets kama urembo huku wakiwa hawana wanalojua kuhusu hili.
Video za X zimepelekea kuvunjika kwa ndoa nyingi sana, jitu bila ya kuangalia huo ujinga halisisimuki.Mkuu hiki ni kizazi kilichooza, uhalali wa mwanadamu kuendelea kuishi hapa duniani ndani ya kusudi la Mungu ni kama haupo tena......ibilisi almost anaendesha kila aspect ya maisha.
Wanawake gani Hao walioingiliwa kinyume kisa wamevaa Vikuku? Labda wanawake wa Family yako. Mie navaa Vikuku na sijawahi kutiwa hata Kidole cha takoNdiyo matatizo ya kuiga iga kila kitu bila ya kujua chanzo chake na maana yake, kuna Wanawake walivaa vikuku kama urembo hatimaye walilazimishwa kufanywa kinyume na maumbile wakadhurika na kuathirika.
Sawa, endelea kwa wakati wako sababu ni uhuru wako na naheshimu mawazo yako.Wanawake gani Hao walioingiliwa kinyume kisa wamevaa Vikuku? Labda wanawake wa Family yako. Mie navaa Vikuku na sijawahi kutiwa hata Kidole cha tako
Usipende kuhukumu watu kisa aina ya Urembo alochagua kuvaa. Vikuku ni Urembo tu kama ilivo Earings, Bracelets, Waist chain, head chain etc! haina uhusiano wowote na kuingiliwa nyuma.Sawa, endelea kwa wakati wako sababu ni uhuru wako na naheshimu mawazo yako.