lahauula .....Ivi wewe inakuuma nini mtu akijiuza mwili wake au hata kama anaingiliwa kinyume wewe unaumia wapi?
Watanzania tuache unafiki na kuingilia maisha binafsi wewe huyo mtu haumlishi,haumvishi wala hamsaidii kwa lolote unataka kuingilia maisha yake aliyochagua, ukiona huduma inatangazwa jua kuna wateja japo sio lazima uwe wewe au wewe uipende hiyo huduma